Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Walisema Sukuma gang mnaumia[emoji1787]Walikua wanasema mama anaupiga mwingi[emoji23][emoji23]. Siku hizi sijui mpira umetoboka ama umepasuka, sisikii tena habari za kuupiga mwingi, ama ni half time?
Eti Magu ameshakufa.
Sasa wapo wananena kwa lugha zote[emoji1787]