Neuro
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 1,551
- 1,721
[emoji23][emoji23] tufanyeje wakati tukiondoka mnaiba vitu vyetuWanaume wa Tz mkiachana mkawasiliana wanawqza kupasha viporo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] tufanyeje wakati tukiondoka mnaiba vitu vyetuWanaume wa Tz mkiachana mkawasiliana wanawqza kupasha viporo
Bado anakidonda kinauma kwa ndani ndio maana imembidi kuwa na multi relationship kwa fujo aliamini na anaamini yamemponya maumivu lakini sivyo.Ruhusu moyo upone.
Shida alifunuliwa...nawe umefunua sana.
Kubali muyamalize...umesema maisha mafupi na yamejaa ubatili
Safi sana,point nzuri sana hiina kwa nini uwahadhithie ndugu masuala yako na mkeo, na kama utawahadithia kwa nini usiweke mpaka wasikuingilie wakapitiliza? Kwa sababu unapaswa kujua kuwa huyo mnayeachana naye kama mmeshakuwa na watoto, lazima maisha yenu yote utawasiliana naye kwa njia moja au nyingine na si ajabu mkizeeka watoto wanaweza wakawakusanya kuwatunza. baba ukakaa kwa mtoto mmoja mama kwa mwingine.
Na hata hatma ya watoto baada ya kuachana haitakuwa juu ya ndugu zenu, itakuwa juu yenu ninyi wawili. Ni lazima ujue kufunga milango ndugu wasiwavuruge zaidi.
Mmmh! Moyo umekuwa mzitoOoh sasa si mrudiane tu mkuu[emoji17]
Mmmh ngoja tuone...qRuhusu moyo upone.
Shida alifunuliwa...nawe umefunua sana.
Kubali muyamalize...umesema maisha mafupi na yamejaa ubatili
[emoji14][emoji14][emoji1]Kuna siku utamkula tu
Niliwadanganya kila mtu na chumba chake kwahiyo hata wao kila mtu alala single ! Watajua wakiwa wakubwa kidogo ingawa huyu mkubwa ndio source wa haya yote.Sasa watoto hawaulizi kwann mama Yao analala chumba cha wageni ?
Asante sana[emoji120]U mwanaume wa tofauti wewe...
Uendelee na tabia hiyohiyo uiendeleze kwa watoto wako wa kiume, msimamo lakini wenye kuleta tija...[emoji106][emoji106]
Kifamilia tu hakuna mgawanyo wowote wa maliHii imeniumiza moyo wangu honestly..pole sana kamanda na hongera...je mliachana kisheria na kugawana stahiki zenu???
Pole chief Ila wakifika umri fulani let them know kabla mama hajawajaza uongoNiliwadanganya kila mtu na chumba chake kwahiyo hata wao kila mtu alala single ! Watajua wakiwa wakubwa kidogo ingawa huyu mkubwa ndio source wa haya yote.
Yeye alinisaniua kila kitu kinachofanywa na mama yake
[emoji120]Safi sana mwanawane ndio inavyotakiwa. Hatuwezi kuwa wapenzi haimaanishi hatuwezi kuendelea kuwa marafiki
Simfatilii mimi mambo yake,mimi sijaoa tena ila ni kila dizaini ya wanawake, ( napima afya sana na hao wanawake)Kwa hiyo umeoa mwingine na yeye anaendelea kuliwa na Boss?
[emoji120][emoji120]Wafundishe na wanaume wenzako wengine njia umetumia....
Pamoja na uhasama/kutofautiana ila mwanaume anatakiwa kubaki kama mwanaume kama baba....
Heshima kwako Mkuu, salute.
Hapana! Nilipata maumivu makubwa sana nashukuru kwa kuwa hai mpaka sasa, kwahiyo lolote litakalotokea sasa nachukulia kawaida mnoMkuu ujapewa chai iliyochujwa vizuri na kafuli?
[emoji14][emoji14][emoji14],ngoja tuone...[emoji1][emoji1]Inawezekana sana kama jogoo hapandi mtungi. Ila kwahili linaloendelea kwenu ni swala la muda tu mtapigana miti na kurudiana.
[emoji1][emoji1]Mnayafanya hayo kuwa kuwa mmoja wenu hajaoa au kuolewa, subiri vita ya tatu ya dunia inakuijia muda si mrefu ndo utajua mnaishi kama marafiki au mnaishi kinafiki, huwajui wanawake vizuri wewe!
Aamin nitafanya hivyoPole chief Ila wakifika umri fulani let them know kabla mama hajawajaza uongo
Mkuu idhindi wa mambo magumu tayari unao.Mmmh ngoja tuone...q
Asante sanaHongera sana , Wengi hatuwezi
Hahaaa! Miye nilikuwa mtulivu sana akanivuruga akili...[emoji1][emoji1]Mkuu idhindi wa mambo magumu tayari unao.
Huenda sasa unaogopa jamii au ndg.
Mrudishe mzinzi mwenzako mmalize uzee huenda amejifunza