Brilliant Beauty
Member
- Jul 8, 2022
- 76
- 134
Hello, ladies and gentlemen wa jamii forum , Kama uzi unavojielezea hapo juu . Nina live example . Mimi ni mwanafunzi wa sheria, Jumatatu nilipeleka barua ya field katika mahakama ya wilaya X hawakuipokea wakaniambia nafasi zimejaa katafute sehemu zingine na kunirudishia barua yangu .. nikasema isewe case acha niende nyumbani nikafikirie sehemu nyingine. Basi Jana Nikapata wazo nikaenda prosecution ya wiłaya x .. wakaipokea na Nikaacha details zangu watani notify ….. Ila swali langu ni hili kwanini wanafunzi wa field wanaogopwa na Kama huna mdhamini Basi Huwezi ukapata field ? … hichi kitu kina discourage Sanaa na nilichukia mnoo maana aliepelekwa the same place na ndugu yake ambae ni police kapata .. Mimi nilienda kivyangu nimekosa 🥱 .. au ni kisirani