Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteePole bahati mbaya ndio mfumo wetu ulivyo kujuana zaidi ndio upate nafasi
Nilikuwa Sijui hii struggle aloooNdio Nampa lecture kidogo uwakili sio kukaririsha vifungu vya CPA, Penal Code, LMA, Evidence Act, etc inabidi ujue kuvumilia kukataliwa unaweza ukakataliwa mpaka ukahisi kupasuka
Mje Kuniteka maana siku hzi wanaharakati hawatakiwi 😂uko wapi
#ponda mali kufa kwaja
Hili ni tatizo Sanaa, kuna watu wanauwezo Ila hawapewi nafasi ya kuonesha uwezo waoPole bahati mbaya ndio mfumo wetu ulivyo kujuana zaidi ndio upate nafasi
Msomi mzima umeshindwa hata kuandika vizuri kwa paragraphs? Hiyo field unayoililia utaiweza kweli?
Huko chuo mnaenda kusomea ujinga? Cc😡FaizaFoxy
Sent using Jamii Forums mobile ap
Informal language bro.. unataka Nitumie modality ya kiofisi Ili iweje. Hapa n mtandaoni tu kikubwa umeelewa nilichosemaMsomi mzima umeshindwa hata kuandika vizuri kwa paragraphs? Hiyo field unayoililia utaiweza kweli?
Huko chuo mnaenda kusomea ujinga? Cc😡FaizaFoxy
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto mdogo huyu.Utoto raha.
Imagine hili ni tatizo la kumsumbua mtu kichwa
Ushauri wangu, zoea kukataliwa. Ukiweza kuhandle kukataliwa with grace maisha yako yatakuwa ya amani sana
Ungekuwa mkubwa na mwerevu usingeuliza hili swali maana ungekuwa unalifahamu jibu lake.kwani connection ata kwa kazi za kujifunza ..?
😁😁 Hili swali unatakiwa ujiulize na kutafuta majibu mwenyewe. Huku nje hakuna atakayekupatia jibu!sio kila mtu atakuwa na connection .. na ambao Hawana connection nani atawasaidia
Ni kweli ni tatizo hili. Ila hii ikupe motisha ya kujituma zaidi sababu tayari umejua ugumu tu wa kupata field na kazi kwa ujumla. Siku ukipata golden chance ikamate na uitumie haswa.Hili ni tatizo Sanaa, kuna watu wanauwezo Ila hawapewi nafasi ya kuonesha uwezo wao
Sio kwamba sielewi naelewa Sana tu Ila naona mambo ya connection ni ya kijinga Sanaa . Hzo connection Kama huna ndo utaelewa nachoongea apa lasivyo tulia tuUngekuwa mkubwa na mwerevu usingeuliza hili swali maana ungekuwa unalifahamu jibu lake.
Endelea kuishi, utaona na kujifunza mengi!
Huo ndo ubinafsi ninao uongelea sasa .. ata msipojibu ila imewaingia akilin , Acheni uchoyo bhn . Field sio kitu cha kunyimana😁😁 Hili swali unatakiwa ujiulize na kutafuta majibu mwenyewe. Huku nje hakuna atakayekupatia jibu!
Sawa mkuu🫶🏾Ni kweli ni tatizo hili. Ila hii ikupe motisha ya kujituma zaidi sababu tayari umejua ugumu tu wa kupata field na kazi kwa ujumla. Siku ukipata golden chance ikamate na uitumie haswa.
Hayo si mambo ya kijinga, huo ni mfumo wa kibepari. Jikaze na ujipange kuukabili. Bado mengi yanakujia, hadi maji utaita mma!Sio kwamba sielewi naelewa Sana tu Ila naona mambo ya connection ni ya kijinga Sanaa . Hzo connection Kama huna ndo utaelewa nachoongea apa lasivyo tulia tu
Haha ni moja ya skills chungu but muhim sanaUtoto raha.
Imagine hili ni tatizo la kumsumbua mtu kichwa
Ushauri wangu, zoea kukataliwa. Ukiweza kuhandle kukataliwa with grace maisha yako yatakuwa ya amani sana
Usifananishe ubepari na upumbavu , huu unaoendelea nchini ni upumbavu na ukosefu wa maadili , kukosa maadili si mpaka uwe kahaba au mwizi tu ,bali hata tabia za kutojali na kuendekeza hongo + nepotism Kwa kila kitu ni ukosefu wa maadiliHayo si mambo ya kijinga, huo ni mfumo wa kibepari. Jikaze na ujipange kuukabili. Bado mengi yanakujia, hadi maji utaita mma!
we bado hujajua mambo yanavyoenda. Siku ukija kujua utakuwa ushakuwa dalali na ulisoma sheria.Twende taratibu bro Amna mtu mjinga wala mtoto Hapa wote tunaelewa .. kwani connection ata kwa kazi za kujifunza ..?