Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
- Thread starter
-
- #81
Huwa ni zuga tu mkuuApa ndiyo utajua chanjo wakubwa huwa wanatuekitia tu
ππππMaadui zetu washatushinda mkuu,tunafanya Kama kubeti .panapotiki tumo[emoji23][emoji23]
Hivi nyie hamshtuki Tu kuwa Huu Ni mpango wa wazungu kuwamaliza madiktetaMwaka wa madikteta huu
Tusifurah Sana hata wapenda demokrasia mda wetu unakuja pia
Ni kweli lakiniHivi nyie hamshtuki Tu kuwa Huu Ni mpango wa wazungu kuwamaliza madikteta
Sio kweli. Wameshakanusha
Hata kwetu walikanusha hivohivoπ€π€
Eeeeh Magu alipata chanjo ya Covid...???????Hata magu pia tulimchanja na kumlinda
Aliipata ya kichina
Tena hatari sana mkuuNoma sana!
Anaumwa mtoto sio yeyeNgoja tuone
Inasadikika alichanjwa ile iliyoyetengenezwa India,ile iliyoua wahindi maelfu kwa mamia.
OkAnaumwa mtoto sio yeye
ππππInasadikika alichanjwa ile iliyoyetengenezwa India,ile iliyoua wahindi maelfu kwa mamia.
Hata hapa walikanusha na wengine wakatiwa ndaniSio kweli. Wameshakanusha
Mwisho wakatangaza kuwa jiwe is no more aliveHata hapa walikanusha na wengine wakatiwa ndani
Hahahaha Ila wakaishia kuutangaza tuHata hapa walikanusha na wengine wakatiwa ndani
ππππMwisho wakatangaza kuwa jiwe is no more alive
ππππSiii mbaliii,karibuuuu tutashirikii nae.
Kuna kiongozi alijitokeza hadharani akasema "yupo anachapa kazi", aliporudi ndani akawauliza wenzake, "hivi kwani yuko wapi", na wao wakasema "tulijua mwenzetu unajua alipo"Mwisho wakatangaza kuwa jiwe is no more alive