Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
But not REALITY!FACT!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But not REALITY!FACT!!
Ndoa ikiwa changa anapendeza akishapata mtoto tu anaaanza mara kavaa shati yako , mara akiwa anafua kavaa dekio yaan haeleweki
Nmekuelewa sanaThis is true ila lemme tell you Lucha…kuzaa, kulea sio rahisi kama uonavyo.
It changes you, your body, your likes, your beliefs, your priorities.
Kwanza ni hadi mtoto afike kama 1 year ndo unafeel like yourself. Akili ya kuwa sexy unaitoa wapi yaani.
Cha msingi, hakikisha mama ana msaada wa kutosha ktk malezi, hakikisha unafuatilia kujua challenge zake. Hakikisha pia hauwi sababu ya yeye kujiona “basi tena” especially kwa kauli.
Tumshukuru Mungu kwa wamama wote duniani.
Yeah,heshima,utulivu na upendo❤❤❤😘🙏Nimeyaona dear Hapo pa ku just stay not to this era kipenzi walau Nawewe ukiwa na kakitu kidoooogo mambo yanakua mukide . Kujishughujulisha kunaifanya hata akili inakua bize sometimes!
Pia financially uwezo unatofautiana muhimu heshima utulivu na upendo .
Amina,Amina momThis is true ila lemme tell you Lucha…kuzaa, kulea sio rahisi kama uonavyo.
It changes you, your body, your likes, your beliefs, your priorities.
Kwanza ni hadi mtoto afike kama 1 year ndo unafeel like yourself. Akili ya kuwa sexy unaitoa wapi yaani.
Cha msingi, hakikisha mama ana msaada wa kutosha ktk malezi, hakikisha unafuatilia kujua challenge zake. Hakikisha pia hauwi sababu ya yeye kujiona “basi tena” especially kwa kauli.
Tumshukuru Mungu kwa wamama wote duniani.
utii tu basiWake zenu,siyo wapenz wala wachumba, wake zenu yaani.
Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke. Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake. Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki, nguvu za kiume hupungua(stress). Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata, kimahesabu.
Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki, kila siku kusifia michepuko, kusifia mahousegirl, kusifia viuno vya wanaume wenzenu, wake zenu mnataka tuwatendee nn; ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu(Tulie kivulini)?
What's reality? Wewe unachukulia reality kuwa subjective kwa sababu unaendeshwa na emotions na personal opinion, lakini ukweli ni kuwa kwenye suala la mahusiano reality ni objective, yaani ukweli wake hauwezi kubadilishwa na mtazamo mpya.But not REALITY!
Aah basi we mpole sana me mwenzio siogopi kuachwa hata kidgNimejaribu njia zote ila ya kuishi nao kiubabe imegonga mwamba cute
Hiyo msitoeWanaomba mpaka Tigo mkuu....nashauri utii uwe na kiasi
Kwa hiyo hapo ushaachika mara ngapi?Aah basi we mpole sana me mwenzio siogopi kuachwa hata kidg
Moja, mbili, tatu yani hata haihesabiki tena. Khekhekhekhekhe.😊Kwa hiyo hapo ushaachika mara ngapi?
Kikubwa upo happyMoja, mbili, tatu yani hata haihesabiki tena. Khekhekhekhekhe.😊
Ndo manakeKikubwa upo happy
Asante sanaMie anipee tu punani, jikoni, bafunj, sebuleni, anipe tu, masuala ya utakatifu kwenye tendo sipendi hata kidunchu, anaitoa kwenye kipochi anaitia mdomoni, anaifyonza, naangusha mzigo, anaumeza mzigo wenyewe, ananisukumia kitandani anaikalia, mwendo mpera mpera.
Halafu heshima na mengine yafate baadae.
Lililo halali ndio tamuSiwez kabisa