Kwani wanaume ni mambo gani yanawapa amani mkifanyiwa na wake zenu?

Kwani wanaume ni mambo gani yanawapa amani mkifanyiwa na wake zenu?

Hivi hawafahamu baadhi tunapenda sana hiyo.
Tatizo Nini Hadi wanakuwa hivyo sikuhizi?
Hata sijui mkuu, huenda ni ile kutojua hulka za kike(mwanamke anatakiwa kuwaje). Kuna baadhi yao wana bezi flani kwa mbali na hata akionge na wewe wala hainururishi(kuiremba) walau kidogo sauti yake japokua anaweza kufanya ivo na asiathirike chochote.

Mwingine hata kuchart anachart kiume kabisa, zile fresh, inakuaje na anaitika "naam" kabisa . Inaletaga tabu sana kuchart na mwenza wa hivi.
 
Mwanamume halisi anataka FEMININE ENERGY. Yaani awapo ndani tofauti kati ya mume na mke iwe wazi. Wanawake wengi hii leo ni majike dume, ni kama kuna wanaume wawili ndani isipokuwa tu mmoja ana makalio makubwa. Wanawake hawana ile haiba ya kike, mwanamke hana aibu, ana overconfidence, hapendi majukumu ya nyumbani kama kupika, kufagia nyumba, kufua, kulea watoto nk. Muda wote ni habari za vikoba na ujasiriamali tu, amejigeuza mtafutaji naye. Kwa mwendo huu kwa nini kusiwe na mlipuko?
Ni kweli mkuu
 
Katika dunia hii hakuna kiumbe ambaye ni mwepesi mno kumtawala kama mwanamume. Najua hili litawashangaza lakini ndio ukweli. Mwanamume wala hahitaji mwanamke mjasiriamali mali, sijui mwenye akili ya kutafuta pesa nk. Hizo wala sio siga za mke wa ndoa kwenye list ya mwanamume.

Wanawake tambueni kuwa wanaume wanatakiwa kwa SIFA ZA KIJINGA. Why?

Mume hata kama ni mvivu kitandani wewe mpe sifa zote za mwanamume halisi, kama hana kipato cha kutosha hata akileta buku mbili chamngamka msifie jinsi gani anavyohangaika kutafuta kwa ajili yako, kama watu wanamdharau wewe usiungane na kamwe kwako awe shujaa nk. Au hamjifunzi kwamba haya ndiyo hufanyiwa na nyumba ndogo? Akifika atapewa sifa zote kiasi kwamba yuko tayari kufa akitafuta kwa ajili ya mchepuko. Mwanamume hugeuka mpumbavu kwa sifa za kijinga, ukifanya haya mumeo atageuka kuwa msiri wako, atakuamini kwa kiwango kisichoelezeka. Atajiona kwako yuko salama.

Lakini ukigeuza nyumba yenu kuwa ndio Ukraine, kila akija anakutana na drone za mapigo, atakimbilia taifa jingine kwa usalama wake. Atakuwa anakuja kwako mara moja moja pale tu anaposikia leo Russia hawatarisha drone zao.

Hii ndio inaitwa KUTENGENEZA MFALME WAKO, ili hata kama alikuwa hajitambui ghafla fahamu zitamjia kwamba anapaswa kufanya kitu kwa ajili ya familia
 
Wanaomba mpaka Tigo mkuu....nashauri utii uwe na kiasi
tigo mnatoa wenyewe hakuna mtu anaomba hiyo nyaaa

Wakolosai 3:18-19​

Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
 
Katika dunia hii hakuna kiumbe ambaye ni mwepesi mno kumtawala kama mwanamume. Najua hili litawashangaza lakini ndio ukweli. Mwanamume wala hahitaji mwanamke mjasiriamali mali, sijui mwenye akili ya kutafuta pesa nk. Hizo wala sio siga za mke wa ndoa kwenye list ya mwanamume.

Wanawake tambueni kuwa wanaume wanatakiwa kwa SIFA ZA KIJINGA. Why?

Mume hata kama ni mvivu kitandani wewe mpe sifa zote za mwanamume halisi, kama hana kipato cha kutosha hata akileta buku mbili chamngamka msifie jinsi gani anavyohangaika kutafuta kwa ajili yako, kama watu wanamdharau wewe usiungane na kamwe kwako awe shujaa nk. Au hamjifunzi kwamba haya ndiyo hufanyiwa na nyumba ndogo? Akifika atapewa sifa zote kiasi kwamba yuko tayari kufa akitafuta kwa ajili ya mchepuko. Mwanamume hugeuka mpumbavu kwa sifa za kijinga, ukifanya haya mumeo atageuka kuwa msiri wako, atakuamini kwa kiwango kisichoelezeka. Atajiona kwako yuko salama.

Lakini ukigeuza nyumba yenu kuwa ndio Ukraine, kila akija anakutana na drone za mapigo, atakimbilia taifa jingine kwa usalama wake. Atakuwa anakuja kwako mara moja moja pale tu anaposikia leo Russia hawatarisha drone zao.

Hii ndio inaitwa KUTENGENEZA MFALME WAKO, ili hata kama alikuwa hajitambui ghafla fahamu zitamjia kwamba anapaswa kufanya kitu kwa ajili ya familia
Kabisa kabisa
 
1.Kusikilizwa
2.Kuheshimiwa & utii
3.Kukosolewa kwa kificho
4.Kusaidiwa inapobidi
5.Kupewa uhuru

Mwisho wa yote ni communication and friendship btn you two guys ndio inafanya kila kitu kuwa mukide sana.Muwe marafiki kabla ya kuwa wapenzi.
 
Wake zenu,siyo wapenz wala wachumba.....wake zenu yaan

Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke...
Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake ....Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki...nguvu za kiume hupungua(stress)....Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata,kimahesabu.

Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki...kila siku kusifia michepuko,kusifia mahousegirl...kusifia viuno vya wanaume wenzenu....wake zenu mnataka tuwatendee nn.....ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu.(Tulie kivulini)
Tupewe mbususu ya Hela yote ,utiifu na uaminifu , being a wife and a mother to our kids
 
Mwanaume anadekezwa kwa vyakula, mahaba, uvumilivu, unyenyekevu na kikubwa kabisa ni MAOMBI NA SIO NDUMBA, KIBURI WALA GUBU

Nadhani nitakuwa sahihi kumtaja bintu yangu mmoja hapa ili ajifunze , kwa hili nadhani tunashare mtazamo mmojo.

Niongeze la kukosolewa bila kificho, inapotokea sintofahamu kisa life linaendela kama vile hakikutokea kitu.

Awe msaada pale mwanaume wake anapomuhitaji kwanamna yoyote ile, hata kimawazo, ushauri & mipango, na hata in other terms kama hali inaruhusu. Wanaume pia hukwama, ni vile kusema huwa inakuwa ngumu kwakuogopa kuharibu ile pride yetu mbele ya wanawake wetu.



Cc Carleen
 
Nadhani nitakuwa sahihi kumtaja bintu yangu mmoja hapa ili ajifunze , kwa hili nadhani tunashare mtazamo mmojo.

Niongeze la kukosolewa bila kificho, inapotokea sintofahamu kisa life linaendela kama vile hakikutokea kitu.

Awe msaada pale mwanaume wake anapomuhitaji kwanamna yoyote ile, hata kimawazo, ushauri & mipango, na hata in other terms kama hali inaruhusu. Wanaume pia hukwama, ni vile kusema huwa inakuwa ngumu kwakuogopa kuharibu ile pride yetu mbele ya wanawake wetu.



Cc Carleen
Ahsante kwa somo zuri Baba Carleen..! Nimebeba madini ya kutosha.!!
Nakupenda..!!
 
Wake zenu,siyo wapenz wala wachumba.....wake zenu yaan

Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke...
Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake ....Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki...nguvu za kiume hupungua(stress)....Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata,kimahesabu.

Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki...kila siku kusifia michepuko,kusifia mahousegirl...kusifia viuno vya wanaume wenzenu....wake zenu mnataka tuwatendee nn.....ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu.(Tulie kivulini)
Kiapo cha kuishi pamoja kama wamoja mpaka kifo kinafanyiwa usanii, fikiria unakubali kisanii kuishi na mwenza wako mtavuna nini hapo? Mume ni nani na mke ni nani hii elimu ni muhimu sana, utii, upendo, heshima, unyenyekevu, uelewa, ustahimilivu, hofu ya Mungu na matendo mema.
 
Kiapo cha kuishi pamoja kama wamoja mpaka kifo kinafanyiwa usanii, fikiria unakubali kisanii kuishi na mwenza wako mtavuna nini hapo? Mume ni nani na mke ni nani hii elimu ni muhimu sana, utii, upendo, heshima, unyenyekevu, uelewa, ustahimilivu, hofu ya Mungu na matendo mema.
Amina
 
Wake zenu,siyo wapenz wala wachumba.....wake zenu yaan

Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke...
Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake ....Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki...nguvu za kiume hupungua(stress)....Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata,kimahesabu.

Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki...kila siku kusifia michepuko,kusifia mahousegirl...kusifia viuno vya wanaume wenzenu....wake zenu mnataka tuwatendee nn.....ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu.(Tulie kivulini)
Jifunzeni kwa Delila yulee msamisoni hapo mtatuweza
 
My love...Kwa ruhusa yko naomba nichangie kidogo

Ndoa yenye afya ni Ile yenye utulivu na upendo,na ukiacha mambo yote utulivu ndio kila kitu.

Sasa mwanamke mtiifu kwa mumewe huleta Sana utulivu na upendo katika ndoa

Na

Utiifu uonekane katika namna unavyoongea na mumeo, utiifu katika kutekeleza maagizo yake, na utiifu hata katika kutoa ushauri pia.

Hakikisha unatimiza majukumu yako kama mke pale nyumbani kwako, mume anapenda kufanyiwa mambo mbali mbali na mkewe, mfano kupikiwa chakula,usafi WA nguo zake. Hata Kama mke nae anaenda kazini basi walau siku moja moja apatapo nafasi aingie jikoni na mume atajisikia burudani kabisa.

Mwanamke siku zote ainamishe bawa lake Chini, ajishushe hata kama ana mashahara mkubwa kuliko mumewe au cheo, atambue pale nyumbani atabakia kuwa mke Tu,na akifanikiwa katika Hilo atauteka Sana moyo WA mumewe .

Aepuke haya yafuatayo:

Kumpandishia mwanaume sauti juu katika mikwaruzo, yaani akifanya hivyo ujue amechokoza nyuki

Asionyeshe dharau yoyote Ile kwa mumewe

Na hata kama kuna jambo ambalo halipendi kwa mumewe basi amfikishie ujumbe katika namna ambayo haita vunja hadhi na utu WA mwanaume.

Shukrani.
 
Back
Top Bottom