Kwani wanaume ni mambo gani yanawapa amani mkifanyiwa na wake zenu?

Kwani wanaume ni mambo gani yanawapa amani mkifanyiwa na wake zenu?

Kwenye ujana nilipenda mwanamke mwenye kashkash, mara hivi mara vile, na kwenye uzee huu napenda mwanamke mcha Mungu sio mlokole,
 
Anakuachia majukumu 90% yaan yeye anadeal na 10%
Sababu ni mfumo wa kisasa, wanawake wamegeuka watafutaji hivyo wanaume wengi hawahangaiki tena na majukumu ya familia. Wanawake wanajitafutia na kujihudumia wao wenyewe na familia nzima. Wanaume wamegeuka wala Bata tu kwa sasa.
 
Sababu ni mfumo wa kisasa, wanawake wamegeuka watafutaji hivyo wanaume wengi hawahangaiki tena na majukumu ya familia. Wanawake wanajitafutia na kujihudumia wao wenyewe na familia nzima. Wanaume wamegeuka wala Bata tu kwa sasa.
Aisee,maisha haya bhana...
 
Heshima,mdekee aiseeh hii kitu inanikuna moyo yaan Mwanamke adekee aloooh inaleta mzuka
Wanawake wengi saivi ni madumejike hata hayadeki aisee.

Mnapiga story kama mtu na mchizi wake tlfauti ni sauti tu, mideko ya kidemdem hamna daah.
 
Basi njoo pembeni tuyajadili bila aibu, nataka kuona kama nikiwa na wewe nitakuwa na aibu ama vipi!![emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo kwenye Tent la blue nyuma huku..
 
Wanawake wengi saivi ni madumejike hata hayadeki aisee.

Mnapiga story kama mtu na mchizi wake tlfauti ni sauti tu, mideko ya kidemdem hamna daah.
Hivi hawafahamu baadhi tunapenda sana hiyo.
Tatizo Nini Hadi wanakuwa hivyo sikuhizi?
 
Aisee,maisha haya bhana...
Unajua dunia ilibadili mfumo, mwanamke aliyekuwa na jukumu la kulea familia akageuzwa naye mtafutaji, ndio haki sawa hiyo.

Hii imemwondolea nguvu mwanamume kama baba na MFALME wa familia yake. Nguvu ya mfalme yeyote ni mali, lakini ukikuta malkia naye ana mali ya kutosha basi ujue UTII hautokuwepo na mfalme hatokuwa na mamlaka ya kifalme. Sasa kwa kuwa mwanamume si mfalme tena nyumbani kwake, anatafuta mahali pengine atakapohesabiwa kuwa mfalme, ndio nyumba ndogo hizo. Nyumba ndogo ni hodari sana kwa hadaa ili kumfanya mwanamume ajione amepata mamlaka ambayo ameyapoteza nyumbani kwake, nyumba ndogo itanyenyekea hata pasipohitaji unyenyekevu, Italia hata isipopigwa, itasafisha hata pasipochafuka nk.

Mke wa ndoa? Kwa kuwa naye ni boss, atatafuta kibarua wa kutekeleza majukumu ya mfalme huku yeye akijipa hadhi sawa na mfalme. Ndipo mfalme ataona huyu kibarua (house girl) ana sifa zote za mke wa ndoa kumzidi hata malkia. Hapo mapenzi ya thamani automatically
 
Niambie umevaaje na umesukaje ili nikija niondoe aibu zangu kwa kukuchum[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko tu na Upara mmoja hivi...
Nimevaa Dera...
 
Subiri kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umevaa dera, hahaha ngoja nifunge mkanda wa bukta yangu vizuri[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naaaaaam!!!!
If you know........
 
Mwanaume anakuwa na amani na anapenda anapotegemewa na mke wake.

Mwanaume anahitaji kuona kwamba mke wake anamtegemea yeye.

Muoneshe shemeji kwamba unamtegemea kama sio kiuchumi basi muoneshe unategemea mawazo yake.
Watapuuza ila umenena jambo kuu
 
Hayana fomula mapenzi kama waya tu, we chomeka chomeka utakapokubali ndio hapo hapo kesho tena unachomoa na kuchomeka chomeka.....ukijifanya kuwa mtii sana kuna ladha anakosa anakukimbia anaenda kusaka viswaswadu
Maneno haya yaandikwe kwa wino wa dhahabu toka Buzwagi
 
Wake zenu,siyo wapenz wala wachumba.....wake zenu yaan

Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke...
Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake ....Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki...nguvu za kiume hupungua(stress)....Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata,kimahesabu.

Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki...kila siku kusifia michepuko,kusifia mahousegirl...kusifia viuno vya wanaume wenzenu....wake zenu mnataka tuwatendee nn.....ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu.(Tulie kivulini)
ulie kivulini na nan?!😂
 
Back
Top Bottom