Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
Ngoja tusiooa tuchukue moja mbili kutoka Kwa mabro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nahisi kuna vingine mkuu,mbona kuna jitu nililipa vyote lakini bado liliniona ndezi.....mi naona ya kwanza mume awe na upendo wa kweli kwanzaKuna vitu vitatu wanaume wengi wanapenda kutoka Kwa wenzi wao iwe mke, girl friend, mchepuko, etc vitu hivyo ni ni
1. Heshima
2. Nafasi siyo kila mda mke anamchunga chunga, kukagua sim mara miamia, wivu uliopitiliza kutobadili au kuzuia rafiki zake.
3. Se_x Au mbususu, Tena umpe bila masharti Wala kinyongo na isiwe ndio fimbo akikuudhi humpi hapana, pia wakat unampa unampa ushirikiano kama wote.
Sawa,ila wanawake wa kileo wanapendeza sana ndaniWakati unamtongoza mwanamke anakua kapendeza, ukiwa unataka kuonana nae anakuja kapendeza ila ukimuoa tu anaanza kuvaa nguo za ajabu ajabu mara kavaa dera kama kanzu Mara kavuruga vuruga nywele
Aaaahhhh ndo hapo tunarudi mtaani kutafa alie pendeza tena
Ndoa ikiwa changa anapendeza akishapata mtoto tu anaaanza mara kavaa shati yako , mara akiwa anafua kavaa dekio yaan haelewekiSawa,ila wanawake wa kileo wanapendeza sana ndani
Hujui kumdekea Mwanaume ?😅😳kumdekeaje tena,maana mi hata sijui mkuu
😂😂😂hili neno kuna mwamba aliongea pia....kwamba MTU sahihi kwako ni yule aliyekupa Mungu mwenyewe Bujibuji Simba NyamaumeDemand za binadamu hazina kikomo , Binti fanya unachoona sahihi kwako !! Yeye akitaka atakaa akiona haimpendezi ataondoka !
Mungu mwenyewe ameshindwa kuaccomodate mahitaji yetu anajua kabisa tabia ya binadamu haridhiki ukishika hapa anataka huku !! Akakaa mbali ndo maana tunasemaga "utakalo lifanyike duniani kama mbinguni" na "mapenzi yako yatimizwe" atakavyopenda yeye !!
Kwahiyo wewe mtendee kwa uwezo wako ila eti utamkalisha labda apende yeye 😀😀
😀😀 Yaan wewe hata ukaange mayai umletee kwenye kisosi cha dhahabu hashikiki😂😂😂hili neno kuna mwamba aliongea pia....kwamba MTU sahihi kwako ni yule aliyekupa Mungu mwenyewe Bujibuji Simba Nyamaume
Factos FactosMwanaume aliyekataliwa akiwa masikini akija kupata pesa akioa hawezi kutulia,