Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wake zenu,siyo wapenz wala wachumba.....wake zenu yaan
Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke...
Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake ....Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki...nguvu za kiume hupungua(stress)....Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata,kimahesabu.
Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki...kila siku kusifia michepuko,kusifia mahousegirl...kusifia viuno vya wanaume wenzenu....wake zenu mnataka tuwatendee nn.....ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu.(Tulie kivulini)
Heshima,mdekee aiseeh hii kitu inanikuna moyo yaan Mwanamke adekee aloooh inaleta mzuka
Sawa mkuu,ni kweli mwanaume hapendi mwanamke anayejimwambafaiMwanaume anakuwa na amani na anapenda anapotegemewa na mke wake.
Mwanaume anahitaji kuona kwamba mke wake anamtegemea yeye.
Muoneshe shemeji kwamba unamtegemea kama sio kiuchumi basi muoneshe unategemea mawazo yake.
[emoji1787][emoji1787]Mi nahisi kuna vingine mkuu,mbona kuna jitu nililipa vyote lakini bado liliniona ndezi.....mi naona ya kwanza mume awe na upendo wa kweli kwanza
[emoji1787][emoji1787]Siku unayo mtongoza mwanamke anakua kapendeza vizuri tu, ukiwa unataka kuonana nae anakuja kapendeza ila ukimuoa tu anaanza kuvaa nguo za ajabu ajabu mara kavaa dera kama kanzu Mara kavuruga vuruga nywele
Aaaahhhh ndo hapo tunarudi mtaani kutafa alie pendeza tena
Wanaomba mpaka Tigo mkuu....nashauri utii uwe na kiasi
Sijaoa ila nadhani heshima na utii vinaenda sambamba na Uzi wakoWake zenu,siyo wapenz wala wachumba.....wake zenu yaan
Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke...
Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake ....Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki...nguvu za kiume hupungua(stress)....Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata,kimahesabu.
Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki...kila siku kusifia michepuko,kusifia mahousegirl...kusifia viuno vya wanaume wenzenu....wake zenu mnataka tuwatendee nn.....ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu.(Tulie kivulini)
Zaidi ya hapo ni ubatili, ongezea na kuishi nao Kwa akiliIko hivi,
Enyi wanaume wapendeni wake zenu....
Enyi wanawake watiini waume zenu...
Shika sana haya maneno mdogo wangu
Hivi To yeye ww humpendi kabisa tuseme Mama yangu hivi unategemea Mimi ntaweza kuwa na ww kweli? KibandamuVyote wanawake wanaweza ila la kupenda ndugu kiukweli wanawake wameingiliwa na mwovu
Heri ya Mwaka Mpya kwako pia Eroni...Nini kinaendelea humu Maki? Nimesoma ila sijaelewa, heri ya mwaka mpya kwako.
Tigo Pesa au?Tigo