Nimeona video jamaa anapigwa kwa kula mchana,wanamuambia huku sio BaraKwamba Rais mpaka sasa haoni kile kinacho endelea Zanzibar ? Au kwa sababu ni watu wa imani yake na ndugu zake Wazanzibari ?
Mnataka mturudishe kwenye fujo za mabucha ya ng'ombe wakati wa Jakaya ?
Sheria za kishenzi hazina nafasi katika Jamhuri ya watu wote na wa dini zote na hata wale wasio na dini.Acheni kukuza mambo zazibar ina haki ya kutunga by laws zake.
Watu kunyanyaswa,kubaguliwa,kupigwa,kutupwa rumande na kuteswa ni mambo madogo sana.Wavumilie hadi wauawe,au siyo?Acheni kukuza mambo zazibar ina haki ya kutunga by laws zake.
Kwani bara wezi wasimu hawakamatwi? Muharifu ni mharifu popote.Watu kunyanyaswa,kubaguliwa,kupigwa,kutupwa rumande na kuteswa ni mambo madogo sana.Wavumilie hadi wauawe,au siyo?
Huyo atakuwa ana shida kichwani naona wanataka kutupeleka Nigeria vita vya wakristo na waislam au zama za JK fujo ja mabucha ya ng'ombe na tindikaliWatu kunyanyaswa,kubaguliwa,kupigwa,kutupwa rumande na kuteswa ni mambo madogo sana.Wavumilie hadi wauawe,au siyo?
Mkuu wewe unataka kuwatungia sheria nchini kwao, acheni mihemuko.Sheria za kishenzi hazina nafasi katika Jamhuri ya watu wote na wa dini zote na hata wale wasio na dini.
Na hata hiyo sheria nikikuambia unitajie hautaweza kufanya hivyo
Mtu kula chakula chake kwa hiyari yake na njaa yake ni uhalifu kwa kipengele kipi kisheria ya Tanzania?Kwani bara wezi wasimu hawakamatwi? Muharifu ni mharifu popote.
Ni kifungu gani kwenye laws zake , probably sheria za nchi zinazoainisha wafanye hivyo?Acheni kukuza mambo zazibar ina haki ya kutunga by laws zake.
Kila sehemu ina sheria zake usiwe mjinga na mpumbavu ,unafikiria demokrasia ni kila mahali tafuta exposure unaonekana mjinga sanaπ πSheria za kishenzi hazina nafasi katika Jamhuri ya watu wote na wa dini zote na hata wale wasio na dini.
Na hata hiyo sheria nikikuambia unitajie hautaweza kufanya hivyo
Mihemko ipi ? Kichwa chako kipo timamuMkuu wewe unataka kuwatungia sheria nchini kwao, acheni mihemuko.
Polisi wamesema ni kinyume cha sheria za Zanzibar ,sasa wewe unapinga nn?π πNi kifungu gani kwenye laws zake , probably sheria za nchi zinazoainisha wafanye hivyo?