bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaTuambie hiyo ni by law gani ,ilitungwa mwaka gani na taasisi Ipi ,na watu hao wanaokula hadharani wakikamatwa hupelekwa wapi polisi au sehemu gani kabla ya kugikishwa mahakamani na wakipatikana na hatia nini adhabu Yao kwa mujibu wa hiyo subsidiary legislation naa kanuni.zake?
Hakuna tamaduni na Mila za Allah zinawaambia Waislamu mtu asipofunga akala mchana basi achapwe fimbo au afanyiwe vurugu acha ujinga ficha upumbavu wako hao ni wahuni wachache tu wanaoamua kuuchafua uislamu na usichanganye Dini na Siasa kwenye kapu moja, onyesha kifungu gani cha Msaafu kinachosema mtu akila hadharani kipindi cha mfungo apigwe fimbo au azaririshwe onyesha ni Aya IPI inayotoa maelekezo hayo?Wana nchi Yao wana serikali yao wana katiba yao wana sheria zao wewe mtanganyika inakuuma kitu gani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Mngekua mna Nguvu km Amerika,USA Dunia ingepata taabu sanaHizo sheria ni za znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani ? Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Wewe njoo znz halafu ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua Asili yao karibu sana znzKwani zanzibar asili yake ni watu gani?
Na je utamaduni huo wanaofuata wamerithishwa na mababu zao wa asili ya hapo au wamerithishwa na waliowatawala?
Nyie watanganyika mlikuja zanzibar kuua tu na sio kumuondoa mkoloni, mkoloni aliondolewa Dec 1963 , ile Jan 1964 ilikuwa kuhalalisha mauaji tu...na mlitamani kila alie mweupe are siku ileHawa. Zanzibar kumwondoa mkoloni tu ilibidi askari watoke bara halafu Leo. Wanajifanya vidume
Utumwa ni mbaya sana...Huo ni uvunjifu mkubwa wa amani na haki za raia katika hii Jamuhuri, hao wanaompiga huyo kijana ni watu mafedhuli sana wanaoonekana kuwa na akili finyu sana.
Umaskini shida sana, cha ajabu huwezi, kukuta mzungu anafanyiwa vitu kama hv,Huo ni uvunjifu mkubwa wa amani na haki za raia katika hii Jamuhuri, hao wanaompiga huyo kijana ni watu mafedhuli sana wanaoonekana kuwa na akili finyu sana.
Mkuu unaonekana hujashiba kabisa ktk Imani nakusihi ongeza juhudi uijue dini vyema kama wenzio wengi hasa wazazibar.Qurani imefaradhisha jambo hilo kwa waumini yaani waisilamu walioiamini dini,na wala Qurani haijamtenza nguvu mtu mwingine kwamba ni lazima asile na hata hadharani.
Qurani iliyokuamrisha kufunga wewe muisilamu wapi Qurani hiyo imemkataza asiye muisilamu kula hadharani,aya ipi ?
Ndio Maana Qurani imeamrisha watu tumuabudu Mungu ila amri hiyo haitufanyi sisi tuwazuie wengine wasifanye ibada zao tofauti na za uisilamu.
Huwezi kusema kwamba kwa kuwa sisi waisilamu tumeamrishwa kusali basi tunawakataza wasiokuwa waisilamu wasisali kwa sababu sisi tunatekeleza ibada yetu.
Basi ndio katika funga iko hivyo hivyo,sisi tunaofunga ramadhani isitufanyd tukawakataza wasiokuwa waisilamu kula mchana tena hadharani,uisilamu hauko hivyo kama ndio tunaoufuata,ila kama tumeamua kwa utashi wetu ni vizuri tukawaeleza watu ili jambo hili lisilo na logic lisinasibishwe na uisilamu
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyikaKwani mtu akila nje mchana na wewe ukifunga unapungukowa nini? Mbona Mimi mTAG na tulikuwa na mfungonwa siku 28 na hatukubugudhi watu? Hiyo sio hoja, umefunga wewe mi kula kwangu haikuhusu japo hii video sio ya leo jamaa humu JF wameamua kukashfiana na kulikiza hili jambo bila sababu.
Leta hapa hio Sheria Aya IPI ya Qur'an inayosema hivyo itaje tuipambanue, Aya gani kwenye Qur'an inayoamrisha hivyo? Hakuna Aya mnaleta uhuni wa mapokeo hapa eti Sheria vifungu huna unaambiwa ilete hio Sheria huna unaambiwa leta Aya ya Qur'an huna,Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaWewe kwenu unapajua au ni ukinga tu umekujaa.
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaMngekua mna Nguvu km Amerika,USA Dunia ingepata taabu sana
Mungu kawanyima Uwezo
Sheria gani wewe Ng'ombe? Sheria gani leta hio Sheria hapa na vifungu ionyeshe sio unajiongelesha tuTii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Hakika. Lakini serikali ya Zanzibar ina mkono wake katika hili maana ndiyo iliyotoa katazo la watu kula hadharani wakati wa mfungo. Nonsense. Kwani mimi nisiyefunga nikila aliyefunga akiona, chakula kinamrukia mdomoni? Tatizo la kuunganisha serikali na mambo ya imani. Watangaze hadharani kuwa wanaongozwa na sharia tujue.Huo ni uvunjifu mkubwa wa amani na haki za raia katika hii Jamuhuri, hao wanaompiga huyo kijana ni watu mafedhuli sana wanaoonekana kuwa na akili finyu sana.
Kwa znz ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaSheria gani wewe Ng'ombe? Sheria gani leta hio Sheria hapa na vifungu ionyeshe sio unajiongelesha tu
Ndio nimekwambia leta hicho kifungu cha Sheria msituletee uhuniKwa znz ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika