Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Hizo ni sheria za muungano ,utakuja kufeli kwenye kuchambua Act za sheria.

Applicability ya hiyo ni chini ya muungano sio ardhi moja wapo ,mpaka kweny ishu za muungano.

Zanzibar ni nchi kamili ,iliporwa na Nyerere kwa sababu aliambia na uingereza kwa sababu za kiusalama .

View attachment 2948085
Sio kweli, Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inatawala hadi Zanzibar na ndio maana hata Zanzibar imeshindwa kujiunga na Umoja wa Nchi za kiislamu kwa sababu Zanzibar ni sehemu ya muungano hivyo kwa Zanzibar kujiunga na OIC ilikuwa ni kuvunja Katiba ya muungano
 
Tamaduni, asilimia zaidi ya 90 ya wazanzibari ni Muslims. Na Quran imeandika tumefaradhishiwa kufunga mwezi wa Ramadhani. Issue ni kutokula hadharani. Mbona wapo hata walio waislam zanzibar hihii hawafungi wanajipikia majumbani na wanakula fresh tu hawabughudhiwi na mtu muhimu stara tu hakuna haja ya kufanya fujo. Hata migahawa haifunguliwi we unakula hadharani icho chakula umekitoa wapi kama sio fujo
Kwa mujibu wa katiba yake Zanzibar ni secular si ndio?
Basi basi hao 10% wako huru kufanya mambo yao.
Na kula hadharani maana yake nini? Kwanini wajifiche? Hawavunji sheria yoyote ya nchi.....
Majority or not, Waislam hawana haki ya kulazimisha mtu yoyote afuate imani yao.
Zanzibar sio Islamic State.
 
Hii video ya Zamani sana
Ndivyo mnavyojitetea kwa kila kosa mnalofanya nyinyi waumini wa ALLAH YULE SHETANI MKUBWA ZAIDI. hata kama ni zamani haiondoi ukweli kuwa akili zenu za kupewa na SHETANI ni finyu. Zamani ilianza na nyinyi raia kwa sasa hata polisi na viongozi wenu wamefuata huu ujinga
 
Mkuu unaonekana hujashiba kabisa ktk Imani nakusihi ongeza juhudi uijue dini vyema kama wenzio wengi hasa wazazibar.
Kuna tofauti ya imani na ujinga.

Hata waisilamu magaidi wanaojiripua wale hutuona sisi wenzao ambao hatujiripui kwamba tuna imani dhaifu,rejea mawaidha ya aboud rogo namna anavyotunanga waiisilamu ambao hatujiripui.

Hivyo huwenda ukadhani ni imani kumbe ni ujinga
 
Ndivyo mnavyojitetea kwa kila kosa mnalofanya nyinyi waumini wa ALLAH YULE SHETANI MKUBWA ZAIDI. hata kama ni zamani haiondoi ukweli kuwa akili zenu za kupewa na SHETANI ni finyu. Zamani ilianza na nyinyi raia kwa sasa hata polisi na viongozi wenu wamefuata huu ujinga
Mnashindwa kumilia wenzetu tukio la Mwezi mmoja tu?
 
Mimi uniguse Mzeewangu ngumi mkononi nasemaje hata km nipo kwenye Nchi yako tutagawana majengo ya Serikali tusileteane usengerema hao wanawafanyia maboya tu,
Usiandikie mate shuka pale zanzibar ujidai kula kula tu ungalie kibano utajuta, mnakuja Zanzibar kutafuta nini bakieni huko huko unyamwezini
 
nimekuja kugundua wazanzibar wengi hawana exposure kabisa....


shida waislamu wanafundishwa dini ndo kinachowaharibu huwa hawafundishwai maadili jinsi ya kuishi kijamii.

mimi ni muislamu ila sitokuja kumpleleka mwanangu chuo(madrasa)...hakuna cha maana atakachoenda kujifunza zaidi ya kupandikizwa, chuki, udini na ukatili dhidi ya watu wasio dini yake..

ebu sikiliza hata mawaidha yao, kutishana, ku-criticize wakristo, yaani hawa wafundishi watoto, kuishi kijamii...hata ukienda zanzibar ukitoka bara, lazima watakuletea ubaguzi,..inashngaza sana aisee
 
Usiandikie mate shuka pale zanzibar ujidai kula kula tu ungalie kibano utajuta, mnakuja Zanzibar kutafuta nini bakieni huko huko unyamwezini
Nasemaje mnatafuta machafuko kichwa kichafu kije ukianzishie tu mambata haukijui wala nini Mzeewangu jiandae kulala Mwaisela utaibukia Mloganzila mamamaezako
 
Kwa mujibu wa katiba yake Zanzibar ni secular si ndio?
Basi basi hao 10% wako huru kufanya mambo yao.
Na kula hadharani maana yake nini? Kwanini wajifiche? Hawavunji sheria yoyote ya nchi.....
Majority or not, Waislam hawana haki ya kulazimisha mtu yoyote afuate imani yao.
Zanzibar sio Islamic State.
Hujalazimishwa kufuata Imani ni wajibu wako kufuata sheria za nchi, umeambiwa usile mchana wa ramadhan wazwazi ufanye hivyo otherwise utachezea tu mikwaji hakuna namna nyengine
 
Nasemaje mnatafuta machafuko kichwa kichafu kije ukianzishie tu mambata haukijui wala nini Mzeewangu jiandae kulala Mwaisela utaibukia Mloganzila mamamaezako
Mwezi wa ramadhan bado haujaisha wewe funga safari nenda Zanzibar ule mchana waziwazi
 
Mwezi wa ramadhan bado haujaisha wewe funga safari nenda Zanzibar ule mchana waziwazi
Nipo kwenye maandalizi nitafikia Paje kwa Isiaka na ninakuja na kitimoto yangu ya kutosha uje maeneo hayo siku ya pasaka utakae muona anakula kitimoto hadharani ndio Mimi alafu njoo uniguse sawa
 
Hawa wakazi wa huko visiwani na viongozi wa huko ni wapumbavu sana. Wanajiona wao ni watu special sana. Sijajua kwann mamlaka zinawachekea takataka hawa.

Hadi polisi wa huko visiwani wanashirikiana na hawa raia kufanya ufala. Hizi sio tabia za kuungwana na sio sehemu ya tamaduni zetu sisi waafrika.
Magufuli angewanyoosha Nguruwe awa.
 
Waislam bana. Unakuta mke wa ustaadh kavaa mabaibui anazini analiwa hadi tigo. Baada ya kumfumua marinda anavaa nguo zake za heshima nakutaka kuondoka kwa mume wake. Lakini unamkaribisha kitimoto kabla ya kuondoka anakataa anakuambia hawezi kula eti hiyo ni haramu unabaki kushangaa WTF!
🤣🤣🤣🤣Mlevi umekimbia fimbo migombani. Acha pombe utachapwa sana.


Kuzini ni kosa mbona wakijulikana mpaka talaka wanapewa ,ila wagalatia mpaka kifo kiwatenganishe.
 
Sio kweli, Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inatawala hadi Zanzibar na ndio maana hata Zanzibar imeshindwa kujiunga na Umoja wa Nchi za kiislamu kwa sababu Zanzibar ni sehemu ya muungano hivyo kwa Zanzibar kujiunga na OIC ilikuwa ni kuvunja Katiba ya muungano
Elewa kwamba Zanzibar ni nchi na ina katiba yake, kuhusu Jamhuri ya Muungano inahusu kwenye mambo ya muungano tu, yaliyobaki yote yanasimamiwa kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar
 
Sio kweli, Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inatawala hadi Zanzibar na ndio maana hata Zanzibar imeshindwa kujiunga na Umoja wa Nchi za kiislamu kwa sababu Zanzibar ni sehemu ya muungano hivyo kwa Zanzibar kujiunga na OIC ilikuwa ni kuvunja Katiba ya muungano

Hujui kitu kuhusu zenji basi !Tutabishana tu.🤣🤣
20240329_132356.jpg
 
Wenzetu Imani yao imejikita zaidi kwa matendo ya kimwili, hata KUENEA kwake sio kwa mahuburi, na kumfanya mtuu aamini na aamue kujiunga : Ila na kwa Vita na kwa kuoa mtu wa Imani tofauti na kumlazimisha mtu wa Imani tofauti ndio aamie upande wao, au kwa kuwagawia msaada wenye njaa na umasikini uliopindukia na kuwashawishi waamie upande wao.

Matendo ya Imani za wafuasi wa Yesu ni ya kitoho zaidi yaani mtu anafanya Jambo kwa Imani rohoni , na anapofunga ni commitment ya kutokula chakula Wala kutotamani akiona chakula. Kuifunga kwa wafuasi wa Yesu tendo la ibada kamili kujizuia kwa kitu kilichozoeleka kufanyika.

Lakini wenzetu wa pale maka na Madina kufunga ni Sheria ya kushinda njaa kwa lazima unataka au hutaki. Na ndio maana baadhi ya nchi zinazoendeshwa kwa sharia zao,kipindi Kama hiki unapitishwa msako wa Nyumba kwa Nyumba kuangalia nani kapika wakati wa mfungo
 
Nipo kwenye maandalizi nitafikia Paje kwa Isiaka na ninakuja na kitimoto yangu ya kutosha uje maeneo hayo siku ya pasaka utakae muona anakula kitimoto hadharani ndio Mimi alafu njoo uniguse sawa
Labda jifungie ndai kwa Isiaka, kwanini huli pale wakati unashuka boti au maeneo ya mjini nani atakuona huko shamba paje
 
Labda jifungie ndai kwa Isiaka, kwanini huli pale wakati unashuka boti au maeneo ya mjini nani atakuona huko shamba paje
Kwani Paje sio Zanzibar msengekisenge wewe kwani Zanzibar ni mjini tu? Wewe sema location ulipo nije kula mbele yako alafu tuone utanifanya nini uniguse nikufirigise
 
Back
Top Bottom