Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Ibara ya 13 (2) "Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake" Hii ni extract kutoka kwenye katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
na pia katiba ikaenda mbali ikasema hivi ibara ya 19(2) "Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi"
Serikali hairuhusiwi kueneza dini, wala kuatangaza kwa njia yoyote
Hizo ni sheria za muungano ,utakuja kufeli kwenye kuchambua Act za sheria.

Applicability ya hiyo ni chini ya muungano sio ardhi moja wapo ,mpaka kweny ishu za muungano.

Zanzibar ni nchi kamili ,iliporwa na Nyerere kwa sababu aliambia na uingereza kwa sababu za kiusalama .

20240329_132356.jpg
 
Hizo ni sheria za muungano ,utakuja kufeli kwenye kuchambua Act za sheria.

Applicability ya hiyo ni chini ya muungano sio ardhi moja wapo ,mpaka kweny ishu za muungano.

Zanzibar ni nchi kamili ,iliporwa na Nyerere kwa sababu aliambia na uingereza kwa sababu za kiusalama .

View attachment 2948085
Leta kifungu kinachotoa AMRI mtu achapwe fimbo na kufanyiwa vurugu anapokula hadharani leta kifungu screenshot km hivyo

Hamjakutana na vichwa vichafu Mbwa nyie mtachapika mtaa mzima, mnawafanyia vurugu maboya wanawaangalia tu hamjakutana na waliochafukwa na roho atolewe mtu utumbo na Ramadhan iishie hapo
 
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Hii sio dini ni ushetani, Samia arudi kwao atuachie Tanganyika yetu huru
 
Sijapinga ila ziko wapi? Jes sheria hizo ni applicable kwa muungano?
Wanatumia kweny ardhi yao😁😁..Huku kwetu hawawezi kufanya hivyo..

Hizo taarifa mpaka kweny mahoteli ya kitalii ,kuna jamaa anaitwa Ally Jape ni mtaalamu wa utalii anazunguka nchi mbalimbali , jaribu kumfuatilia anaeleza mila za kila sehemu unaweza kuduwaa happ israel kuna sehemu huwezi kwenda na nguo fupi lazima uvae modestly.

Kabla ya Ramadan jamaa alipost video akieleza tamaduni za Zanzibar ,video zake zinafautiliwa na watalii wengi ,ile ni culture yao ..


Singapore kule hawataki Big G ,nimekaa Mpakani kule kenya watu wanakula jaba (mirungi ) tena inauzwa kama mchicha hapo Mombasa ila Tz ni kosa kuuza...
 
Leta kifungu kinachotoa AMRI mtu achapwe fimbo na kufanyiwa vurugu anapokula hadharani leta kifungu screenshot km hivyo

Hamjakutana na vichwa vichafu Mbwa nyie mtachapika mtaa mzima, mnawafanyia vurugu maboya wanawaangalia tu hamjakutana na waliochafukwa na roho atolewe mtu utumbo na Ramadhan iishie hapo
Dogo unaongea nn?🤣🤣🤣kwani lin wabongo mkawa na consistency watu ambao hata maandamano ni waoga.

Polisi wamesema kutokana na taratibu za sheria zao wapo kinyume ,polisi wanasimamia sheria za nchi ..Kama umesoma hapo utajua hao wamevunja sheria za eneo husika.


Bila ya kusahau kule Arumeru Arusha waonavaa nguo fupi wanachap ,bila kusahau uchagani walevi sana wanachapwa hata wanaokataa kuhudumia familia zao.

Muulize Maghayo

Jaribu kuzunguka uwe na exposure ,nafikiria utabadilisha mtazamo wako wa maisha.
 
Satanic religion
Wahuni wanaichafua vibaya sana kuna Ile Sheria ya kukatwa kichwa nilikua nasikiliza mawaidha Shekhe anasema uislamu haupo hivyo ni wahuni tu ndio hufanya hivyo
 
Dogo unaongea nn?🤣🤣🤣kwani lin wabongo mkawa na consistency watu ambao hata maandamano ni waoga.

Polisi wamesema kutokana na taratibu za sheria zao wapo kinyume ,polisi wanasimamia sheria za nchi ..Kama umesoma hapo utajua hao wamevunja sheria za eneo husika.


Bila ya kusahau kule Arumeru Arusha waonavaa nguo fupi wanachap ,bila kusahau uchagani walevi sana wanachapwa hata wanaokataa kuhudumia familia zao.

Muulize Maghayo

Jaribu kuzunguka uwe na exposure ,nafikiria utabadilisha mtazamo wako wa maisha.
Unaongea uzushi hauna ushahidi
 
Tatizo sio dini?Africa tuna shida ivi unachapeje mtu mzima?
Mimi uniguse Mzeewangu ngumi mkononi nasemaje hata km nipo kwenye Nchi yako tutagawana majengo ya Serikali tusileteane usengerema hao wanawafanyia maboya tu,
 
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika
Naomba kifungu cha sheria please kinachosema hivyo? Nilikuwa sitaki kuingia kwenye kukashfu wala mashindano ya kidini ila hoja yako ni ya kipuuzi sana. Kwani mi nikifunga alafu wewe ukala mchana nitapungukiwa na nini?
 
Dogo unaongea nn?🤣🤣🤣kwani lin wabongo mkawa na consistency watu ambao hata maandamano ni waoga.

Polisi wamesema kutokana na taratibu za sheria zao wapo kinyume ,polisi wanasimamia sheria za nchi ..Kama umesoma hapo utajua hao wamevunja sheria za eneo husika.


Bila ya kusahau kule Arumeru Arusha waonavaa nguo fupi wanachap ,bila kusahau uchagani walevi sana wanachapwa hata wanaokataa kuhudumia familia zao.

Muulize Maghayo

Jaribu kuzunguka uwe na exposure ,nafikiria utabadilisha mtazamo wako wa maisha.
Waislam bana. Unakuta mke wa ustaadh kavaa mabaibui anazini analiwa hadi tigo. Baada ya kumfumua marinda anavaa nguo zake za heshima nakutaka kuondoka kwa mume wake. Lakini unamkaribisha kitimoto kabla ya kuondoka anakataa anakuambia hawezi kula eti hiyo ni haramu unabaki kushangaa WTF!
 
Back
Top Bottom