5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
Njoo ule utaenda kujibizina Mahakamani kule Zanzibar kuhusu sheria za Zanzibar wacha kutishia fanya kweli uone, wenzako hao 12 walisema hivyo hivyoNakuja na Mimi niwe wa 13 wamenisahau huku nje acheni Sheria za kiduanzi Serikali haina Dini, alafu weka hivyo vifungu vya Sheria vinavyosema hivyo mboni hivyo vifungu hamvisemi au ni Sheria ya Imamu?