kwanza elewa zanzibar si nchi ya kiislam, kama inataka hadhi hiyo basi itangaze rasmi kuwa ni nchi ya kiislam na raia wote wanapaswa kutii sheria/sharia kali za kiislam, hapo itaelewekaHeshimuni imani za watu na kuweni wastaarabu.
Ushaona asilimia kubwa ya watu wa Zanzibar ni waislam na wanafunga kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Inakuaje wewe ule mchana wazi wazi kila mtu akuone. Si ujifungie ndani ule ukimaliza toka nje. Simple tu.
Kwaresma sio mfungo sahihi ata wakiristo wenyewe wanamashaka nao wengi hawafungi wanaogopa kufa na njaaKwani wao pia wanaompiga huyo mtu,walifunga kwaresma ilipoanza?
Au walikuwa wanabugia urojo
Nasema paje ni shamba huko na hata hapo mjini ukijifungia ndani unaweza kula chochote, usijaribu hadharani utaumiaKwani Paje sio Zanzibar msengekisenge wewe kwani Zanzibar ni mjini tu?
Nimekwambia hapo mjini sema ulipo natoka Paje na Isiaka nakuja kula mbele yako alafu uniguse nikufirigise vizuri si mnawaonea maboyaNasema paje ni shamba huko na hata hapo mjini ukijifungia ndani unaweza kula chochote, usijaribu hadharani utaumia
Hii issue ni ya kitaifa usijaribu utaumia acha ndaro, wenzako 12 hao wako selo wanaliwa na mbuNimekwambia hapo mjini sema ulipo natoka Paje na Isiaka nakuja kula mbele yako alafu uniguse nikufirigise vizuri si mnawaonea maboya
Ujinga wa mtu mweusi kupigania dini ya mwarabu.
Na ndio maana siku zote waarabu hutudharau na kutuchulia kama vijakazi/watumwa
Nakuja na Mimi niwe wa 13 wamenisahau huku nje acheni Sheria za kiduanzi Serikali haina Dini, alafu weka hivyo vifungu vya Sheria vinavyosema hivyo mboni hivyo vifungu hamvisemi au ni Sheria ya Imamu?Hii issue ni ya kitaifa usijaribu utaumia acha ndaro, wenzako 12 hao wako selo wanaliwa na mbu
View attachment 2948119
Sio dhambi! Dhambi ni kula hadharani.Kupiga mtu wakati wa mwezi wa Ramadhani siyo dhambi?
Hakuna watu wabaguzi na wabaya kama wazanzibar, binafsi I hate themVideo hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Huwa wanaona dini yao ni ya maana zaidi kuliko zingine, Kwaresma wao wanakula na hakuna anayejaliHuo ni uvunjifu mkubwa wa amani na haki za raia katika hii Jamuhuri, hao wanaompiga huyo kijana ni watu mafedhuli sana wanaoonekana kuwa na akili finyu sana.
Wewe boyanazi nimetoka asubuhi hii kupiga Mihogo na Waislamu tena tumekula sahani moja Mudi, Dulla, Ali, Salehe na Said Mihogo tumeila Safi kabisa hakuna cha kuangalia Dini acheni uzuzu Dar unakula popote na hakuna wa kukuzuia we unaishi Dar ya wapi?Tena usijaribu kabisa, mbali na Zanzibar tu, huku huku bara jaribu kufanya hivyo, utaona kitakachokutokea. Na kama unaishi jiji la waislamu (Dar es Salaam) hama, hamia Moshi, arusha au mbeya.
Zipo funga za aina nyingiKwaresma sio mfungo sahihi ata wakiristo wenyewe wanamashaka nao wengi hawafungi wanaogopa kufa na njaa
Ni wajinga sn na wabaguziSio dhambi! Dhambi ni kula hadharani.
Halafu wanakwambia ni dini ya haki?!
Ni wapuuzi sn hao watuWewe boyanazi nimetoka asubuhi hii kupiga Mihogo na Waislamu tena tumekula sahani moja Mudi, Dulla, Ali, Salehe na Said Mihogo tumeila Safi kabisa hakuna cha kuangalia Dini acheni uzuzu Dar unakula popote na hakuna wa kukuzuia we unaishi Dar ya wapi?
Huko msasani kote wamejaa na hawasumbuluwiAisee hata hapo upanga dsm karibu na Campus ya MUDCC ,kipindi cha ramadhani migahawa mingi hufungwa.
Hawa ndugu zetu waislamu kiukweli huu si uungwana kabsaa. Huku Bara tukiamua kuwafanyia hivyo itakuwaje? Hata kwenye huduma tu kata,ardhi,elimu n.k?
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Ya kitambo sana, huyo jamaa alikuwa ni tour guard... Na sasa keshaachana na kazi hiyo..Hii video ya Zamani sana
Wewe sio Mkristu wakristu hawafungi kwa msimu wakristu wanafunga muda na wakati wowote kuna Novena 9 mpaka 11 mtu anaruhusiwa kufunga na kutubu dhambi zake sio kwamba wanafunga Kwaresma tu kwaresma ni kwa ajili ya Pasaka kusherehekea ufufuko kwa hio km kwenu ni Ramadhan tu ya siku 30 ndio big deal wenzenu wakristu kufunga kwao Jadi sio Jambo la ajabuKwaresma sio mfungo sahihi ata wakiristo wenyewe wanamashaka nao wengi hawafungi wanaogopa kufa na njaa