Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Unaambiwa, anaekuja kukukamata ni afande ramaWewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia jela na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Dini ya allahwatajuaje unakula, ama ukila unapiga makelele au wale samaki mlonunua pamoja pale sokoni ulikua unawapeleka wap 🐒
ndio maana nasema observe table manners hakuna atakae jua unakula au umekula 🐒
Tatizo si Zanzibar, nilishasema na ninarudia tena UISLAMU NI DINI YA SHETANI/IBILISI ALIYELAANIWA NA MUNGU MEENYEWE ndomana wanamayabia haya ya kishenzi kishenzi, Ushoga unaitesa Zanzibar hawaoni wanapambana na wakristo.Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Hata wadada wa kizanzibar wengi ni wafanyakazi wa ndani uarabuniWenzio sasa wanavoongea utadhani zanzibar haina mtu wa bara hata mmoja, watu wengine wanafujo la maksudi. Kuna wadada wasio waislam wanavaa baibui na hijabu hata husemi km sio waislam.
Tatizo ni hawa mamluki wanaotaka kukaa sehemu then wasifuate taratibu. Tumekaa na majirani wasio Islam kwa miaka na mpk iftaar Ramadhan tunawakaribisha. Zanzibar asilimia kubwa ya waschana wa kazi za nyumbani no from bara mbona hawafungi na wanakula majumbani hawabughudhiwi
Kumbe wewe Mzanzibar,Wewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui kama wana mamlaka au hawana karibu znz
Kwa hiyo wakiwa huku Tanganyika watu wanachapwa ni justification ya watu kuchapwa huko Zanzibar?Hiyo ishu imetokea Zanzibar miaka 6 nyuma ,nahisi hata smartphone ulikuwa hauna kama ndio unaona leo.
Ilisambaa sana kweny media ,mbona hakuna action.
Kingine watu uchagani walevi wanachapw sana jaribu kuzunguka ,usiwe unakariri mambo .
Meru mwaka jana walitangaza kuchapa watu wanaovaa nguo fupi haswa wasichana..
Arumeru hapo watu wanatozwa fain
View: https://youtu.be/QNzgoG-HJ6A?si=uUSF3NG2eCRTXToJ
Tamaduni zao ,pia nikukumbushe Arumeru pale kuvaa nguo fupi kwa wanawak wanalipa faini.Kwa hiyo wakiwa huku Tanganyika watu wanachapwa ni justification ya watu kuchapwa huko Zanzibar?
Nani kakuambia Zanzibar ni yenu?Jifanyeni kuleta vurugu mara nyingine muone ni kichapo tu mpk mkajinyee kwenye karandingaWewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui znz ni ya nani karibu znz
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Nani kakuambia Zanzibar ni yenu?Jifanyeni kuleta vurugu mara nyingine muone ni kichapo tu mpk mjinyee kwenye karandinga.
- Hilo pia sio sawa, ni kinyume cha katiba, kwa sababu katiba inakataza kutoa adhabu Zinazodhalilisha watuTamaduni zao ,pia nikukumbushe Arumeru pale kuvaa nguo fupi kwa wanawak wanalipa faini.
Huko uchagani kuna vijijini ukilewa sana unapigwa fimbo ,ukitelekeza familia fimbo .
Bakora zinataendelea kwa vile ni mil zao kama unabisha nenda.
Kukataa adhabu na hukumu ni unafiki basi hamna hata haja ya kuwa na katiba.- Hilo pia sio sawa, ni kinyume cha katiba, kwa sababu katiba inakataza kutoa adhabu Zinazodhalilisha watu
-pia hayo ni makosa na yalishakemewa hata na LHRC, kwamba hizo ni adhabu Zinazodhalilisha na kuvunja haki za binadamu
Mnashindwa kuwazuia wazungu wanaokuja Zanzibar wanatembea na chupi na kuwaingilia kinyume na maumbileWewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui znz ni ya nani karibu znz
Wamejaa oman,wanatumikishwaHata wadada wa kizanzibar wengi ni wafanyakazi wa ndani uarabuni
Uko sahihiUnajua chuki ni kama ugonjwa kuna siku utakuumbua tu.
Serikali isipokuwa makini na kuwakaripia Wazanzibari tutajikuta kwenye vita kubwa kati ya Tanganyika Vs Zanzibar na Wakristo Vs Wasalimu.
Niliwahi kusikia wazungu wakiwa Zanzibar Hawabugudhiwi kabisaMnashindwa kuwazuia wazungu wanaokuja Zanzibar wanatembea na chupi na kuwaingilia kinyume na maumbile
Mnapambana kumpiga Raia anaejilia ugali wake katafuta kwa jasho lake
Dini ya ajabu hii kabisa
Leteni chokochoko muone,mtajinyea kwenye karandinga,wengine mkimbilie kujificha Mombasa muache wake zenu tuwahudumie
Dadeki