Zanzibar ni kupe wa Tanganyika.Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Hii inatakiwa kujibiwa kwa nguvu ileile, ujinga sana huuVideo hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Sorry kumbe we ni me? Siku zote najuaga u mdada. Samahani kwa hilo bro.Kwahiyo kisa papa Francis karuhusu ndoa za kishoga unatamani kuoana na wanaume wenzako?
Kuwa makini Pope Francis asikuingize kwenye hila zake chafu za kampeni ya ushoga ili ionekane ushoga ni kitu cha kawaida.Sorry kumbe we ni me? Siku zote najuaga u mdada. Samahani kwa hilo bro.
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaVideo hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Wacha porojo znz nimakosa kula hadharani mchana wa RamadhaniNa hii ndio shida ya Rais Mwinyi ataiharibu zanzibar kabisa! Ni lazima Zanzibar wachague kitu kimoja kuwa nchi ya kiislam kabisa na hawahitaji watu wengine au lah?
Wacha porojo za kijinga znz ni makosa kula kula hadharani mchana wa RamadhaniUjinga wa mtu mweusi kupigania dini ya mwarabu.
Na ndio maana siku zote waarabu hutudharau na kutuchulia kama vijakazi/watumwa
Wacha porojo znz ni makosa kula hadharani mchana wa RamadhaniNi suala la muda tu.
Hivi Zanzibar ni dola ya kiisilamu ama? inatumia katiba ipi na ibara ipi ya katiba Yao insema kula wakati ramadhani ni jinai tuanzie hapoVideo hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaNi jamii ambayo bado ni primitive sana, yaani ipo nyuma mnooo!!!
Watu wamekumbatia udini na chuki mioyoni mwana, kiufupi bado wapo utumwani!
Liberation is needed in Zanzibar!!
Kifungu kipi kwenye katiba Yao kinasema hivyoWacha porojo znz ni makosa kula hadharani mchana wa Ramadhani
Yap kweli kabisaNazani hao jamaa hawajawi kutoka nje ya zanzibari hawana exposure yoyote
Nakumbuka alimwambia Nyerere kuwa anatawala maitiTatizo hapo si dini hata kidogo.Tatizo hapo ni ubaguzi wa Wazanzibar dhidi ya watanganyika.
Mzanzibar hajaiwahi hata siku moja kujiona ni Mtanzania Mzanzibar anakuwa Mtanzania pale fursa za Tanganyika zinapomfaidisha tu.Akipata ajira,ardhi,biadhara na nk huku Tanganyika anajiona Mtanzania,kinyume cha hapo Tanganyika ni chukizo kwake.
Mtanganyika hajui kutetea maslahi yake ikiwemo ajira,ardhi na kila kitu chake kaviache vuchukuliwe na kuchezewa na Mzanzibar jinsi apendavyo.Ndio maana Hayati Jomo Kenyatta aliwahi kutuita sisi ni maiti.
Hizo zako ni porojo tu znz wana katiba yao na pia sheria zao ndio maana kwa znz ni makosa kula hadharani mchana wa RamadhaniMaisha ya raia wote wa taifa hili yanaongozwa na katiba ya JMT.