Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Huo ni upumbavu na kukosa akili unamchapaje mtu mzima na akili zake kwani kama hajafunga wewe inakuhusu nini? Wazanzibar wanajikuta waislamu sana kuliko wengine. Kwahili hapana aisee.
Na kwa nini ule hadharani mchana wa Ramadhani na sheria zao zinakataza ?
 
Nchi ni yao wana haki kupanga sheria zao tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Mwanaume mmoja Zanzibar amekutana na kibano na kipigo baada ya kula mchana kipindi cha Ramadhan.

Mpaka sasa hakuna tamko lolote dhidi ya watu hao wanaojichukulia sheria mkononi ingawa jeshi la polisi la Zanzibar nalo limeweka wazi nia yao ya kukamata watu wanaoshindwq kufunga kipindi cha Ramadhan na kujikuta wakila mchana hadharani


View: https://www.instagram.com/reel/C5FxWbGtVoI/?igsh=cWFzejJzcDZsazhs
 
Wacha porojo znz ni makosa kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Wakristo wanakula mchana kutwa.

Waislamu wanakula Usiku kucha.
Halafu wanadai wamefunga kumbe wamebadirisha ratiba yabkula.


Waislamu wanataka wakristo wasile mchana.

DINI YA HOVYO KABISA.
 
Hivi Zanzibar ni dola ya kiisilamu ama? inatumia katiba ipi na ibara ipi ya katiba Yao insema kula wakati ramadhani ni jinai tuanzie hapo
Wewe njoo tu huku znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua kama dola au paundi au euro karibu znz
 
Mwanaume mmoja Zanzibar amekutana na kibano na kipigo baada ya kula mchana kipindi cha Ramadhan.

Mpaka sasa hakuna tamko lolote dhidi ya watu hao wanaojichukulia sheria mkononi ingawa jeshi la polisi la Zanzibar nalo limeweka wazi nia yao ya kukamata watu wanaoshindwq kufunga kipindi cha Ramadhan na kujikuta wakila mchana hadharani


View: https://www.instagram.com/reel/C5FxWbGtVoI/?igsh=cWFzejJzcDZsazhs
 
Mtu anapigwa kisa kala chakula daah hizi mambo sijui wanakua wamefikiri kwa kutumia nini harafu iwe mwezi wa Ramadan na wanaopiga ukute eti nao wamefunga wanataka kwenda Peponi utani huo...
 
Wajiondoe kwanza kwenye muungano ili waendelee na mambo yao. Ni aibu kurudi kwenye enzi ya utumwa.
 
Kwamba Rais mpaka sasa haoni kile kinacho endelea Zanzibar ?

Mnataka mturudishe kwenye fujo za mabucha ya ng'ombe wakati wa Jakaya ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…