Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Kuna ndugu yangu aliuawa kanisani Olasit Arusha. Na wahusika walikuwa Waislam. Sasa sijui wao ni magaidi au ni sehemu ya ibada walikuwa wanatekeleza.

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwa kweli
Pole ndugu. Tunataka kutafuta suluhisho la kukomesha ugaidi kisayansi.

Shauri dodoso gn tuweke kuuliza. Rudi kwenye mada
 
1. Unapo anza kumwita binadamu mwenzako ni Kafiri, hapo ni mwanzo wa fikra hasi dhidi ya jamii fulani bila sababu za msingi.
Hata kama unasoma katika kitabu fulani, unatakiwa pia utumie akili yako ya kuzaliwa kuweza kuchanganua taarifa hizo kwa kutumia akili zako.

2. Unapo hisi au kuambiwa kuwa una onewa na mamlaka pia unatakiwa kutumia akili yako kuchambua hiyo taarifa kwa kutumia akili yako.

Neno Waislamu wanaonewa.
Tunalisikia mara nyingi na wengine wanaandika humu JF na tunawajua kwa majina yao.

Hizi fikra za kuonewa wakati mwingine zinatumika na wafadhiri wa ugaidi ambao wengi wako nje ya nchi kusambaza chuki kwa jamii fulani ili waweze kutimiza malengo yao ya kufanya vurugu katika nchi au eneo fulani.

3. Nia ya kutawala eneo fulani pia ni chanzo cha matendo ya kigaidi.
Somalia kuna eneo linatawaliwa na Al-Shabab.

4. Tamaa ya pesa, vijana na wazee wanaojiunga na vikundi vya kigaii wengi wao hawana ajira rasmi, hivyo kuvutiwa na mishahala wanayoahidiwa na taasisi za kigaidi eg ISIS.

{Dodoso la kutathmini vitendo vya kigaidi}
Mtu akijiunga na kundi fulani la ugaidi, huwezi kumfanyia interview, kwani hatakupa ushirikiano kwakua anajua kuwa ugaidi hautakiwi katika jimii yoyote.

Nani wa kufanyiwa interview?

Hapo ni lazima uwatembelee magaidi wenyewe wakiwa kambini kwao.
Unaweza kuona clips kwenye YouTube.
Zimeandikwa Intervew with Al-Shabab.
Watakupa sababu ni kwanini wanafanya hivyo vitendo.
Na ni kwanini wengi wao ni Waislamu.
 
KWANINI ASILIMIA 99. 99% YA MAKAFIRI WOTE HAWANA RINDER? AU NDIO YALE MAAMRISHO YA KUFUMUANA?
 
Luka 22:38 (KJV)
Wakasema, Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.

Mathayo 10:32-36 (KJV)

Basi, kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.

Mathayo 26:48-52 (KJV)

Na yule mwenye kumsaliti alikuwa amewapa ishara, akisema, Nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni.
Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.
Yesu akamwambia, Rafiki, fanya ulilolijia. Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.
Na tazama, mmoja wao waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
Ndipo Yesu akamwambia, Rudisha upanga wako mahali pake, maana wote waushikao upanga, wataangamia kwa upanga.
 
Duniani kote waislamu ndo huleta shida. Sehemu ambapo hapakua na waislamu wakiingia tuu waislamu ujue hilo eneo litapata shida.
 
lazima kwanza utofautishe vitu viwili, uhalifu na dini.
Just because you are dini fulani, na dini hiyo inahimiza kuto kufanya uhalifu haimaanishi waumini hawatofanya uhalifu. Hao waumini ni binadamu, na kama binadamu wengine wapo wabaya na wazuri, sasa wale wabaya watatumia excuse mbali mbali ( ikiwemo dini) kuteleza mambo yao
Ugaidi ni uhalifu just at large scale

lakin swali langu pia, why vikindi hiv wanajiita majina ya kiarabu au kiislam?
Ni CIA wanawapa hayo majina?
 
Sio kila muislam ni gaidi ila kila gaidi ni muislamu,mafundisho ga kiislam ndio mzizi unaopelekea kuzaa ugaidi.
 
Hakuna aya inayosema mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako,wala inayowaelekeza waislam kuwapenda wanao wachukia na kuwaombe au ile inayosema utampenda vipi mungu usiye muona kama hupendi bina damu mwdzi.

Bali zimejaa aya za kuwatenga,kuwaua na kuwaumiza wasio waslamu hasa wayahudi na wakristo,hiicho kitabu kurwani ndio ttzo la haya yote
 
Kwahuyo ndugu muislam upo tayari kutumiwa na makafiri ukauwe wenzako,basi hakuna waislamu bali ni magaidi na kwanini wakiua lazima wataja jina la nshetani wao alakubar
 
Ngoja tuone
 
Ugaidi hautokoma kwa sababu hamjui ukweli, na sasa kuna AI ndio kabisa .
 
Kwahuyo ndugu muislam upo tayari kutumiwa na makafiri ukauwe wenzako,basi hakuna waislamu bali ni magaidi na kwanini wakiua lazima wataja jina la nshetani wao alakubar
Hilo jina kutajwa tu basi wewe unajua ni muislamu kabisa , ni simple matrix kwa kutajwa jina tu , sheria za kiislamu ukiua nawe unauliwa ...Wasingethubutu huo ushenzi kabisa kweny nchi za kiislamu mnachezewa hku kweny democary eti kesi inafanyiwa upelezi kule Iran wameisha wote .
 
Kwa hiyo majina ya kiaarabu yote ni kiislamu ? Unatakiwa ujue ile ni lugha tu , hata yule Maher zain haimbi nyimbo za dini yule ni msanii kwa mwingine 😀 😀 .
 
Dunia itakua salama zaidi siku binadamu akiishi kwa misingi ya upendo na sio dini, kwa sababu dini huleta utengano na sio upendo.
Hivyo vikundi mbona havipo nchi za kiislamu kuna kitu hapa , wanakaa sehemu zenye machafuo baada ya Gaddaf wameibuka kule Libya , baada ya Saddam wameibuka Iraq hapa kuna jambo zito sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…