Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Sasa mbona unatoa povu zito namna hii kwa mambo simple? Hapa ukijifanya kukasirika kwa sababu dini/kabila/sehemu/jinsia yako imesemwa vibaya basi utakufa kwa kiroho. Take it easy! Sijui kama ulishuhudia kipindi cha Magufuli wachaga walivyokuwa wanashambuliwa!
Hakuna povu hapo mkuu, Hell! wakati naandika hiyo comment nilikuwa nacheka kinyama!
It's fun roasting people based on their realities.
 
Kwamba mtu auze nyumba/eneo lake Kariakoo, Ilala ama Magomeni kwa zaidi ya milioni 700 ama hata bilioni then ashindwe kwenda kununua kiwanja Mbezi, Madale ama Tegeta kwa bei ya milioni 30 ama 50?
Mmezaliwa 12 mmegawana million 20 kila mtu mbwembwe zinatoka wapi hapo wazee wengi waliocha nyumba mjini mamwinyi wake 4 watoto 12 na zaidi
 
Sababu kubwa ni mzunguko mdogo wa pesa na usalama..... mpaka leo hii unapata sahani ya wali kwa 500.......

Mambo ya kuvunjiana milango ni vitu vya kawaida sana kule.......

Kule vijana wengi ni wakabaji pindi jua linapozama.......kule ukipata break down ni Bora ukimbie kuliko kubakia hapo........ umaskini umewafanya watu kule kuwa wanyama......
Unprecedented and unexhibitable biased overexaggeration.
 
Tatito la miji yenye waislamu wengi wanaamini ushirikina ndiyo maana hawafanyi maendeleo, mfano wakijenga nyumba nzuri wanarogana tabia ya waislamu hawapendi kuona mtu akipata mafanikioa wanachukia hawana ushindani wa kimaendeleo wenyewe roho zao ni za korosho kwenye maswala ya maendeleo.
kama uchawi na kurogana upo kila sehemu umefika mpanda wewe? sumbawanga uko 90% ya wakazi wa kule ni wakristo na watu wanarogana kama kawaida
 
kama uchawi na kurogana upo kila sehemu umefika mpanda wewe? sumbawanga uko 90% ya wakazi wa kule ni wakristo na watu wanarogana kama kawaida
Mwambie kule Simiyu kuanzia Bariadi, Salunda, Somanda, Nyaumata mpaka Nyakabindi bila kuisahau Old Maswa na Lalago Kuna Uchawi Bagamoyo ikasome.

Wenyeji hawajengi eneo hili, wanakimbilia Kahama, Shinyanga au hata hapo Maswa ila asilimia 80 ni wakristo
 
1. Wa moja haitokaa apate mbili, na wa mbili haitokaa apate moja.....hilo litaenda hivyo mpaka dunia itaisha ndg yangu.

Kwa hapa tz, na ukanda wa afrika mashariki kwa ujumla, mkubali tu kuwa mmestaarabishwa kwa kiasi kikubwa sana na watu wa pwani (Waislamu). Kwao ustaarabu ulianza kutamalaki tangu karne ya 13 huko.
  • huko ndo kitovu cha kuvumiliana na siyo kupigana mapanga tu hovyo hovyo kama wanyama kwa vitu hata vya kipuuzi.
  • huko ndiko hakuna habari eti za kuua wazee kisa macho yao mekundu hivyo watakuwa wachawi.
  • huko hakuna habari za kukatana vidole eti ndo ushahidi wa mke kupendwa na mume.
  • huko hakuna wazee wenyeji kukaa na kumuua mgeni fulani pale kijijini eti tambiko na mgeni huyo ndo kafara yenyewe n.k

Vitu hivyo vinakwisha kwa kiasi kikubwa baada ya maingiliano na watu wa pwani, ni ukweli huu.

2. Lugha adhimu ya kiswahili imetoka pwani kaka ndo mkaletewa huko mlikokomaa na vilugha vyenu hadi mkaielewa na sasa sasa mnajivunia......unafikiri kwanini havikutoka vilugha vyenu huko vikateremkia pwani? Jibu linaanzia hapo katika methali yangu niliyoanza nayo. Kuna uwezekano mkubwa mkavielewa na kuvifuata vingine baadae.

3. Mwalimu Nyerere alijaaliwa akili nyingi tu na Mwenyezi Mungu, hilo halina ubishi. Lakini, kwa akili zake hizo alizojaaliwa nazo alijua kuwa ili awe wa kisasa lazima aungane na watu wa pwani......akaenda wakamuelekeza mambo mengi tu na akajanjaruka kweli kweli.

6. Matusi kejeli n.k haziwahi kuwa kikwazo kwa watu wa pwani, hivyo kama kuna mengine endelea kuyashusha tu.

7. Nilifikiri kwa uelewa wako usingepoteza muda kukomaa na neno 'kuchamba' kama 'kuchamba'; bali ungeelewa tu kwa mapana yake kuwa imemaanishwa ustaarabu tu kwa ujumla.
Bado hujanijibu nilichokuuliza hayo mambo ya lugha sijui blah blah blahs Nyerere aungane na watu wa pwani akaelekezwa sijui ustaarabu karne ya 13 siwezi kukuelewa kama bado mpaka leo 21 century year 2022 wewe upo hapa unajiona star kuelekezwa na mwarabu jinsi ya ”kutawadha mavi uliyokunya mwenyewe”

Mnajitengenezea mazingira ya kudharaulika wenyewe kisha mkidharaulika mnalia tena,kama lugha hata panya wana lugha zao na wanaelewana sembuse Kiswahili na huu ujinga utaukuta pwani na hao wenye dini mnajisifia kubuni vitu vya hovyo hovyo mwisho hata mliopelekwa shule na baba zenu badala muongee vitu vya msingi mnabaki na “tumefundishwa kuchamba....tumefundisha kuchamba” huku mifukoni hata cent mbovu hamna.


 
Wakristo wanaoa mke mmoja tu hadi kifo kiwatenganishe lakini wanaume waislamu ruksa kuoa wake wanne hapa duniani nani hapo anapenda dunia kitandani kuliko mwingine?
Mwislamu kila siku anabadilisha wanawake wa ndoa leo Yuko kwa Asha Ngedere ,Kesho yuko kwa Hadija Nichokonoe,Keshokutwa yuko kwa Mwajuma Kigodoro,mtondogoo yuko kwa Halima Muuza Vichwa vya kuku anaparamia

Kote ananing'inia kwenye vifua vya wanawake wake wake zake! Akila starehe za dunia

Nani mpenda dunia na starehe hapo? Kati ya Mkristo na Muislamu?
Dini ya kiislamu uifahamu unafikiri mtu anaowa tu anavyojisikia wake 2 na zaidi kuna sheria zake 1st lazima uwe muadilifu,uwe na uwezo wa kuwatimizia maitaji yao wote bila kumpendelea mmoja. kama unajua ayo mambo utoyaweza baki na uyo mmoja kwasababu ukilzamisha na ukashindwa kuyatimiza unapata dhambi mpaka unaingia kaburini so usipende kudakia mambo usiyoyajua kisa umeyasikia mtaani..
 
Mwambie kule Simiyu kuanzia Bariadi, Salunda, Somanda, Nyaumata mpaka Nyakabindi bila kuisahau Old Maswa na Lalago Kuna Uchawi Bagamoyo ikasome.

Wenyeji hawajengi eneo hili, wanakimbilia Kahama, Shinyanga au hata hapo Maswa ila asilimia 80 ni wakristo
Mijitu mingine imekalilishwa mkuu inaongelea uchawi ivi kuna sehemu yenye uchawi kama kanda ya ziwa na 80% ya wakazi wake ni wakristo
 
Mbagala unaijua vizuri wewe au unaandika tu kwa kusimuliwa. Leo Mbagala rangi 3 unaijua Bei ya fremu? Bila milion 1 hupati frem, Kijichi Bado ni Mbagala lakin Kiwanja mpaka milion 100, hiyo Zachkem hupati kiwanja, lazima umvue mtu bila milion 200 hutoi mtu wewe unaongea nini
Nitajie mtu maarufu anayekaa mbagala awe mwanasiasa au mfanyabiashara au msanii,au mtu yeyote aliyefanikiwa,labda wachezaji wa azam
 
Wewe uliyekuja dar kwa msaada wa elimu unaleta wenge .. kijijini kwenu c mlikuwa mnalala na mbuzi leo unajifanya wa kishua
Kama kurasini ni kijiji sawa,baba yangu mwenyewe hakuzaliwa kijijini,niko mjini tangu enzi za maikarus mzani wa magari ukiwa ubungo,stand ya tanga ikiwa mnazi mmoja,enui za salamander,orchrstra safari sound wakiwa kimara safari resort,enzi za marquis du original,weekend tukienda boogie bilicanas ikiitwa mbowe,movie tukienda,starlight,avalon,newchox,drive inn,empire,empres,odeon
 
Hawa jamaa walion'gan'gania mbagala sio PA kuishi Kuna engo wako sahihi ila wamejaa mihemko ndo mana hoja haionekani. Mm binafs mbagala nataka kuhama Lakin hawa watu wa kusaidiw sio kutengwa. Ni binadam pia, tatizo Wana Mila zinazopingana na maendeleo

Oi! unavyosema hawa watu unakuwa unaongelea kina nani? Wazaramo? Yaani unavyoandika utadhani ni some primitive endangered species.
Hizi habari za wazaramo kucheza ngoma kila jumapili mnazitoa wapi aisee? Mimi ni mzaramo na sijawahi kufika ngomani na wala sijawahi sikia kuhusu habari za ngoma.
Eti hawa watu wa kusaidiwa sio kutengwa? what? kwa mfano wewe unaweza kunisaidia nini mimi?
Wtf are you talking about? Trust me hatujuani lakini kuna asilimia 90% nimekuzidi kimaendeleo mimi kama mimi achana na familia yangu.

Watu wabara mnafurahisha sana. The bloated immensity of the Dunning-Kruger effect is utterly unquantifiable.
 
Dini ya kiislamu uifahamu unafikiri mtu anaowa tu anavyojisikia wake 2 na zaidi kuna sheria zake 1st lazima uwe muadilifu,uwe na uwezo wa kuwatimizia maitaji yao wote bila kumpendelea mmoja. kama unajua ayo mambo utoyaweza baki na uyo mmoja kwasababu ukilzamisha na ukashindwa kuyatimiza unapata dhambi mpaka unaingia kaburini so usipende kudakia mambo usiyoyajua kisa umeyasikia mtaani..
najua vizuri sheria za kiislamu za kuoa mke wa pili nk

Kwanza inaanzia kitandani kuwa kama mfano mwanaume una nyege nyingi kupindukia anamshughulikia mke kitandani hadi anaona mzigo umemzidi ndio anatakiwa kutoa ruksa kuwa Wewe mwanaume ruksa kaoe mke wa pili tusaidiane huo mzigo wako wa kitandani mimi sitaweza peke yangu

Haya inafika kwa siku unawalala wake wote wawili mfululizo wote wanaridhika hadi kuchukua na wewe bado minnyege iko juu na kuwaambia nyie wanawake bado nataka!! Ndipo hao wanawake wawili wote kwa pamoja wanakaa na kutoa idhini uoe mke wa wa Tatu wasaidiane huo mzigo maana unawaridhisha na kuwachosha lakini wakati wewe bado!!

Haya anaolewa wa Tatu kwa siku unatembea nao wote watatu hadi wanakuwa hoi kitandani wanasema wewe kidume ngoja tukae tuongee tukuruhusu ukaoe mke wa nne!! Tusaidiane huu mziki

Wake wote watatu wanakaa na kuidhinisha kwa kauli moja ruksa kaoe mke wa nne

Sasa Kurani inaamini hakuna mwanaume awezaye kuparamia wanawake wanne kwa siku na akawaridhisha wote hicho ni kiwango cha juu

Ndio maana kwenye Kurani mwanaume kuoa mke mwingine au wengine lazima apate ridhaa ya mke au wake waliopo

Lakini waislamu wanaume wengi hujiona tu kitandani hamna kitu .Huyo mmoja tu anainuka kitandani mwanamke bado anataka!! Vidume vya kiislamu vinara wanawake wengine kisa tu ohh naoa mke wa pili nimeamua uatake usitake!! kitanda wakoo zero anataka tu chungu kipya kijana mpya tu!! Hana lolote!!

Waje waliopo tu kitandani hawaridhishi anao mwingine au wengine..ndio maana wanaume wa kiislamu wengi wenye wake wengi wake zao huchepuka kutembea hadi na wapiga debe ,makonda,bodaboda ,wauza magenta,ma houseboy nk au wahuni wa mitaani tena kwa gharama zao wanawake
 
Nitajie mtu maarufu anayekaa mbagala awe mwanasiasa au mfanyabiashara au msanii,au mtu yeyote aliyefanikiwa,labda wachezaji wa azam
1) Juma Nature the legend himself

2) Mheshimiwa Said fella gulu kwenye masuala ya management ya mziki

3)Mbwana Samatta, Mohammed Samatta

4)Kingwendu msanii wa Vichekesho

5)Aisee kama mchekeshaji anayependa igiza kama yesu.

6)Mwina kaduguda aliwahi kuwa mwenyekiti wa Simba

7)Mhidin gulumo
 
Oi! unavyosema hawa watu unakuwa unaongelea kina nani? Wazaramo? Yaani unavyoandika utadhani ni some primitive endangered species.
Hizi habari za wazaramo kucheza ngoma kila jumapili mnazitoa wapi aisee? Mimi ni mzaramo na sijawahi kufika ngomani na wala sijawahi sikia kuhusu habari za ngoma.
Eti hawa watu wa kusaidiwa sio kutengwa? what? kwa mfano wewe unaweza kunisaidia nini mimi?
Wtf are you talking about? Trust me hatujuani lakini kuna asilimia 90% nimekuzidi kimaendeleo mimi kama mimi achana na familia yangu.

Watu wabara mnafurahisha sana. The bloated immensity of the Dunning-Kruger effect is unquantifiable.
Tuma elf kumi namba yangu hiyo hapo. Acha mbwembwe kijana. Uzaramo, umakonde ni risk factor nzur Kwa umasikin. Hata kama umesoma sishangai kuona ukoo mzima mpo wanne tu. Ukifanikiwa kutuma na fungua na thread ya kutoa ushuhuda. Tusaidiane mkuu 😭🙏
 
Kama kurasini ni kijiji sawa,baba yangu mwenyewe hakuzaliwa kijijini,niko mjini tangu enzi za maikarus mzani wa magari ukiwa ubungo,stand ya tanga ikiwa mnazi mmoja,enui za salamander,orchrstra safari sound wakiwa kimara safari resort,enzi za marquis du original,weekend tukienda boogie bilicanas ikiitwa mbowe,movie tukienda,starlight,avalon,newchox,drive inn,empire,empres,odeon
Kama ungezaliwa Kurasini usingekuwa mshamba.

Hapo Kurasini upo hostel ukiwa ni mwanafunzi wa ualimu hapo DUCE.
 
Oi! unavyosema hawa watu unakuwa unaongelea kina nani? Wazaramo? Yaani unavyoandika utadhani ni some primitive endangered species.
Hizi habari za wazaramo kucheza ngoma kila jumapili mnazitoa wapi aisee? Mimi ni mzaramo na sijawahi kufika ngomani na wala sijawahi sikia kuhusu habari za ngoma.
Eti hawa watu wa kusaidiwa sio kutengwa? what? kwa mfano wewe unaweza kunisaidia nini mimi?
Wtf are you talking about? Trust me hatujuani lakini kuna asilimia 90% nimekuzidi kimaendeleo mimi kama mimi achana na familia yangu.

Watu wabara mnafurahisha sana. The bloated immensity of the Dunning-Kruger effect is unquantifiable.
Tuma elf kumi namba yangu hiyo hapo pm. Acha mbwembwe kijana. Uzaramo, umakonde ni risk factor Kwa umasikin. Hata kama umesoma sishangai kuona ukoo mzima mpo wanne tu. Ukifanikiwa kutuma na fungua na thread ya kutoa ushuhuda. Tusaidiane mkuu 😭🙏
 
Hivi unawajua wazawa wa Dar Wandengereko Wazaramo na Wamanyema mkuu?Hao nyumba ikiuzwa wakishapata hela zao kwanza wananunua magari ya kifahari wanawatafuta wale mademu waliokuwa wanawakataa wakati wakiwa bado fukara wanazitumia kwenye starehe.

Wakiona zimebaki 10mill ndo wanastuka wanaenda kununua popote so ponapona yao ni huko Mbagala,kiwanja 700K inajengwa nyumba ya 7mill isiyokuwa na ramani 2.3mill iliyobaki anaita ngoma na ndugu zake anasherehekea kuhamia kwenye nyumba yake ya rumu mbili iliyojengwa kwenye kiwanja 12×12 isiyokuwa na hata sehemu ya kuanikia nguo huku ana familia ya watoto sita.
Hizi habari kuhusu wazaramo mnazitoa wapi? Yaani wewe bila shaka sio Mzaramo lakini unaonyesha kuwajua Wazaramo kushinda mimi Mzaramo mwenyewe.
blimey!
 
Back
Top Bottom