Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
eneo huwa na thamani kutokana na aina ya watu na maisha ya eneo husika , sasa kama eneo limejaa vigagula wanaruka na ungo usiku kucha unategemea kutakuwa na thamani kweli? hauhitaji kuwa msomi kujua haya mambo, waswahili mkishazidi sehemu ujue maendelee ZERO,