Jitengeni hao agency wanahama tu😂Ficha ujinga, onyesha werevu wako.
Arusha is the connecting point to tourists who are interested in visiting Mt Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Lake Manyara, Tarangire na sehemu nyingine nyingi.
Unafahamu kuna tours agencies ngapi hapa Arusha?
Wewe ni jinga ndiyo maana unatetea serikali iliyofail miaka na miaka.
Arusha inajengwa na wakazi wa arusha na si serikali hohehahe. Sawa wewe jinga?
sasa mnalia lia nini pimbi weweArusha inajengwa na wakazi wa arusha na si serikali hohehahe. Sawa wewe jinga?
Eti USA mbona mnadhalilisha jf kwa kujitia great thinkers?? Hyo Ar hata uunganishe na Kilimanjaro ina hadhi ya kuitwa USA? Hadi mnatia aibu mnavojiona wa maana huku mkiandika urojo mtupu.We endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe Ila ukweli unajulikana ,kwanza Arusha na Moshi soon tunaungana rasmi kuanzisha republic ya Arusha itaitwa(USA)~yaani United State of Arusha ,tujitegemee wenyew tuijenge Arusha na Moshi kwa mapato yanayotoka Arusha na moshi sababu tumechoka kutengwa na kubaguliwa tangu Uhuru mpaka Sasa hatukubali ujinga huu Tena mwisho unakuja
Kwanza kabisa Kanisa la ILBORU Lutheran la 1904 lilijengwa kwanza kwa sehemu kubwa na Wanawake then Ilboru Sec, Enaboishu, Kimandolu na Mringa ina mikono ya Wananchi zaidi kuliko serikaliNilisoma enable issue ila sikuwa najua hilo
Maendeleo yapi ? Mbona stendi na airport mnalilia serikali viruu si mpambane !!
Serikali inafanya promo ya loyal tour Hawa walitua dar hivi karibu hawachukui siku kudhaa utawaona huko Arusha.Serikali inakusanya kodi, maana yake LAZIMA itele miradi bora ya jamii.
Kama hawawezi wakae pembeni.
Hata unaelewa wewe dada?
Ficha upumbavu na ujinga wako..hao wananchi wa mkoa huo wanalilia sababu pesa zao za Kodi zinajenga flyover dar na vi stand vya ajab ajabu kwenye mikoa midogo Sana huku wananchi wa mkoa huo hawanufaiki .Maendeleo yapi ? Mbona stendi na airport mnalilia serikali viruu si mpambane !!
labda anamanisha pale usa river, cha ArushaEti USA mbona mnadhalilisha jf kwa kujitia great thinkers?? Hyo Ar hata uunganishe na Kilimanjaro ina hadhi ya kuitwa USA? Hadi mnatia aibu mnavojiona wa maana huku mkiandika urojo mtupu.
Sio kashfa ilo ni jamii zetu hata hapa dar wachache wale walioko kweny madili Tena wageni ila watu wa Pwani wenyewe ndo njaa kuishi mbagala ,vingunguti na Tandale ni njaa kali ila target soko kuu kama kariakoo ni mpaka east Africa watu wanakuja fanya biasharaUmeandika mada nzuri ila umemaaliza kwa dharau na kashfa pia
👉👉👉Flyover unalilia ya wapi? Wakati dar inatoa 89% nyie hta 3% ya kodi zote mnafika...Rudi shule utajua mahesabu instaed ya kutaja dodoma usitaje dar iko mbali kuliko huo upumbavu wako.Ficha upumbavu na ujinga wako..hao wananchi wa mkoa huo wanalilia sababu pesa zao za Kodi zinajenga flyover dar na vi stand vya ajab ajabu kwenye mikoa midogo Sana huku wananchi wa mkoa huo hawanufaiki .
Hivo wanaweza Jenga wenyewe ila sharti msiende chukua Kodi huko
Zoba !! Unapambana mwenyewe jengeni airport na stendi ...Tunaongea na major players wa industries ya tourism sio mshika mabegi na kuomba watalii.Wewe utakuwa umelewa wewe?
Eti unauza unaijua sera ya utalii Arusha.
Jinga kweli, mimi nipo kwenye tourism for years.
Hakuna sera yoyote yenye tija toka serikalini.
Tunapata wageni, tunapambana wenyewe.
Wala wageni hawana time na hiyo serikali yako.
Hizo zozote ulizozitaji kiujumla zinaitwa foreign investment mkuu, kwa kiswahili tunasema wazungu wamewekeza ni wabongo wachache wanaotembelea huko mara kwa mara ila wazungu wana hadi makampuni yanayoleta watu kutoka nje kuja kuwaonyesha vivutiovisiting Mt Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Lake Manyara, Tarangire
Serikali inafanya promo ya loyal tour Hawa walitua dar hivi karibu hawachukui siku kudhaa utawaona huko Arusha.
Jengeni stendi na airport..wakazi wapi hao angalia vyuo vikuu ,bunge la east Africa limchangia kujengwa kwa miundombinu ..so nyie mlijenga bunge lile la EAC ...wakazi wenyewe wavaa matonya na kuombaomba watalii.Arusha inajengwa na wakazi wa arusha na si serikali hohehahe. Sawa wewe jinga?
Kwa hio 11 Ni asilimia 89 zidi ya 7😁 we Bora uende bangbross ukapigwe 3some haya maswala nyeti usiingie kabisa👉👉👉Flyover unalilia ya wapi? Wakati dar inatoa 89% nyie hta 3% ya kodi zote mnafika...Rudi shule utajua mahesabu instaed ya kutaja dodoma usitaje dar iko mbali kuliko huo upumbavu wako.
Hizo zozote ulizozitaji kiujumla zinaitwa foreign investment mkuu, kwa kiswahili tunasema wazungu wamewekeza ni wabongo wachache wanaotembelea huko mara kwa mara ila wazungu wana hadi makampuni yanayoleta watu kutoka nje kuja kuwaonyesha vivutio
Kijana unajua unaongea nn? 😂😂😂Unazijua takwimu kabebe mabegi naongea na wakubwa zako kumbe hujui kitu😂😂😂Kwa hio 11 Ni asilimia 89 zidi ya 7😁 we Bora uende bangbross ukapigwe 3some haya maswala nyeti usiingie kabisa
By the way siishi Arusha Wala sijawahi ishi huko
Acheni tu kuvuta Bangi kwa Kupitiliza.Wadau naombeni mnisaidie majibu Ni Kwanini Kila kitu ARUSHA CITY huwa inahujumiwa kwa maksudi kabisa ikiwemo,miradi ya maendeleo kama Stendi ya mabasi, Uwanja wa kisasa wa ndege, na mengine mengi na ukiangalia ARUSHA CITY Ndio city namba 2 kwa tax revenue collector baada ya Dar city na Ni sehemu unique ambayo Ni POTENTIAL yenye Resources Adimu sana Sana kwa nchi hii hata Mwanza haikaribii ARUSHA kimapato hata kidogo nadhani hili mwalifahamu uzuuri.
Natumai mu wazima nyote humu ndani poleni na majukumu , Naomba mrejee kichwa Cha habari hapo juu hiyo Ndio mada lengwa hivyo kwa leo naomba nianze na issue ya TAKWIMU (metro area population ya Arusha city Uki search Google itakuja na kuleta idadi ya watu 519,000, yaani idadi hii inayoleta Ni idadi ya watu ya ARUSHA DC tu yaani wilaya moja tu, Kati ya wilaya zote 7, Yaani siku zote uki-search na ukitafuta data population ya Arusha city sehemu yeyote ile utaletewa jumla ya idadi ya watu hao laki 519,000 ambayo ni ya wilaya moja tu ya ARUSHA DC, lakin idadi nyingine ya watu ya hizo wilaya 7 zingine za Arusha city huwa zinaachwa pembeni hazijumlishiwi na hizo idadi za ARUSHA DC ambazo ni laki 519,000 ili kuleta idadi kamili ya metro area population ya Arusha city km inavyofanywa kwa majiji mengine km Mwanza ,au Dar Sasa huwa najuiliza Kwanini ni Arusha city pekee yake metro area population yake huwa inachukuliwa ya wilaya moja tu ya Arusha DC na kuachwa wilaya zengine 6, lakini ukiangalia City Kama Zanzibar, Dar, Mwanza na majiji mengine Metro area population yake haichukuliwi ya wilaya moja tu zinachukuliwa idadi za watu kutoka wilaya zote ili kuleta jumla kamili ya metro area population ya Mwanza, Dar na Zanzibar city na majiji mengine lakini kwa ARUSHA ni tofauti Ndio maana naona wazi ARUSHA CITY inahujumiwa Sana tu na SERIKALI na pia watu wenye wivu na ARUSHA CITY ili tu kusudi isiwe na maendeleo isipate wawekezaji lakini mbinu zote izo za hujuma za kuihujumu ARUSHA hazitafanikiwa Sababu ARUSHA resources zake za ku attract wawekezaji wa KITALII zinaonekana kwa macho bahati nzuri hao watu wenye nia ya kuihujumu ARUSHA CITY watashindwa kuzificha Wealth resources ambazo zinaonekana kwa macho na zitafanya wawekezaji waje ARUSHA kuwekeza kwenye sekta ya UTALIII na nyinginezo watake wasitake pamoja na kwamba wanafanya hujuma kila kukicha kuihujumu ARUSHA CITY kimaksudi na kuipaisha MWANZA
NA SASA HIVI WAMEANZA KUIPASHA ZANZIBAR KWA TAKWIMU za uwongo ili ety Zanzibar population ionekane ina population kubwa kuliko ARUSHA CITY, icho Ni kitu ambacho HAKIWEZEKANIKI hata kwa dawa Zanzibar ikawa na population kubwa kuliko ARUSHA CITY ispokuwa kwa watu ambao wanafkiria bila kutafakari wataliamini hili ,yaani kusema eti kwa sasa ZANZIBAR NDIO CITY Ipo mbele ya ARUSHA CITY kwa wingi wa watu huo Ni UONGO mkubwa Kama ambavyo mtu atasema kwa sasa Geita Ndio mkoa wenye idadi kubwa ya watu kuliko DAR ES SALAAM, Lakini kwa Mimi nahisi malengo ya hujuma hii kwa ARUSHA CITY Ni ya kupangwa hayajaanza leo kitambo Sana kutokana na uchunguzi niliofanya yakinifu Ni kama nilivyo elezea Apo juu ingawa ningependa pia kusikiza maoni yenu Kwanini ARUSHA CITY inahujumiwa tukianza na issue ya TAKWIMU za uwongo za metro area population hii inatokea kwa ARUSHA CITY pekee ake huwezi kukuta mkoa au City nyingine imewekwa metro area population total ya hujuma/uwongo Kama nilivyo hainisha Apo juu ,ila wadau naombeni tulenge mada tusiende opposite Mimi Ni mtanzania halisi baba yañgu Mtanzania mama mkenya Nawasilisha.
View attachment 2412647
Jengeni stendi na airport..wakazi wapi hao angalia vyuo vikuu ,bunge la east Africa limchangia kujengwa kwa miundombinu ..so nyie mlijenga bunge lile la EAC ...wakazi wenyewe wavaa matonya na kuombaomba watalii.
Acheni tu kuvuta Bangi kwa Kupitiliza.