Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Mwambie uyo mtoto wa mama siyo fighter kula kulala hajui chochote uyo akili zake Ni zero Ni kichwa maji uyo kaka
 
Nadhani hii Myopic Thinking ndio imefanya dunia tumekuwa duni (Yaani mtu wa Asia anakuwa mchoyo na kuvutia kwake, mtu wa Europa na America hali kadhalika) wakati hii dunia ni moja na viumbe wote tunategemeana..

Na ndio hilo linafanya Africa Tusiendelee wala kuwa wamoja sababu kila mtu anajali nchi yake na sio wengine (Ni kama unajali chumbani kwako unafanya sebuleni ni Jalala)

Hali kadhalika inafanya East Africa tusifike mbali sababu Mkenya anajiona mjanja na kumuonea wivu Mtanzania wala hataki haendelee wakati anasahau chakula anacholima ni yeye anakula na siku likisanuka huko ni huku atakimbilia

Vilevile same thinking inafanya fulani aibe rasilimali za taifa ili eti apeleke kwao au anajenga kwao au huku ni kwetu anasahau kwamba hii nchi ni moja wala hauhitaji passport kujenga wala kwenda popote..., (Yaani ni kama unajifanya mjanja eti kukomoa miguu unaenda Gym unafanya mazoezi ya Pua na Vidole pekee) Kumbe unajiharibu sura kwa kuwa na Pua Kubwa kuzidi Miguu
 
Nyege zako mpelekee mke wako ingiac kwenye mada unajibu hoja Kama umevimbiwa maparachichi nenda Kanye kwanza Ndio urudi akili itakukaa Sawa unesizi we kwa mvumbio wa maparachichi
😂😂😂Matusi kibao unatukana mtu humjui inaonyesha kwa kiasi gani hauna exposure ni keyword warrior ...ujanja uko wpi na kwenu 90% mko ivyo kwamba ni vichwa empty
 
Upo sahihi sisi tunajitambua Ndio maana tunadai haki zetu ambazo tunaona wazi kuwa SERIKALI inazihujumu kimaksudi Tena mbaya zaidi kila kukicha serikali Ndio inazidi kufanya mikakati ya kuibagua na kututenga Arusha pekee ake na c mkoa mwengine Sasa uyu taahira ambaye hajitambui anataka akili zetu zifanane na zake za kijinga za kutozitambua haki zake pale anapoona wazi anahujumiwa ,over
 
Mwisho upi? Utafanya nini? Nani alikwambia wamepasahau? Nyie mmekaliaga ubinafsi tu Wala hamna lolote la maana, mmejaa ukabila na ubinafsi afu mnakuja kulalamika, mi ninafanya kazi na nyie hapa hapa Arusha miaka zaidi ya 10,na huko makwetu tulikotoka mmekuja mmepewa viwanja mmejenga na mnaishinna familia zetu lakini bado hua mna ubaguzi na roho za gubu, washenzi nyie tena mnapaswa mtengwe mpotelee mbali
 
Hawatakagi ukweli, wamekaliaga ubaguzi tu ngoja wakome
 
Acha wivu na ze karafuu Island,tuko juu
 

Wewe kenge unamtishia nani?

Wakazi wa arusha hawana shida na watanzania wengine wanaishi sehemu nyingine hapa Tanzania.

Wewe unaona hali ya miundombinu ya maji, umeme, barabara, elimu ipo sawasawa?

Pumbav kabisa.
 
Kweni aliyekwambia Singida wao hawataki hiyo stand ni nani? Kati ya Singida na Arusha ni mkoa upi unaopitisha mabasi mengi ya mikoani kama siyo Singida? Au hujui?
 
Mkuu ni resources gani za a town zinainufaisha Rock city?
 
Kaka hakuna ugumu wowote penye ,Nia ,umoja,sisi watu wa Arusha hatuna tabia ya uwoga ety kuogopa kufa ,ety kuogopa chombo Cha Moto ,ety kuhofia risasi ,huu uwoga Arusha haupogo tukiamua jambo letu lazima tulifanye hatumwogopi kidudu mtu yeyote huwa tunamwogopa Mungu tuuuu,sisi Wana Arusha wenyewe Ni masoldiers tunao uwezo wa kuikomboa Arusha yetu wenyewe bila msaada wa mtu yeyote Yule na kuunda Arusha republic yetu USA(UNITED STATE OF ARUSHA),OVER
 
Una afutatu hapo ?
Nikusaidie kukuza jina la Arusha city.
 
Mkuu ni resources gani za a town zinainufaisha Rock city?
Acha uzumbukuku punguani mmoja inatosha kulitambua hili kwa kigezo Cha revenue ,and tax collection ,Arusha city Ni namba 2,baada ya Dar,na nyie mwanza kwanza Kilimanjaro tu inawakaribia bado kidogo Sana iwapite ,najua ukweli unaujua sema unajichetua Sasa jibu Ni hili izo mapato zote zinazokusanywa Arusha ,haziijengi Arusha ata tone je zinaenda kujenga wapi,Kama cyo dar,over
 
Ndio tunawapa iyo serikali ya kibaguzi taarifa na nyie wenyew mjue hili soon the Arusha republic itaundwa ,(USA)~UNITED STATE OF ARUSHA ,Over

Arusha republic haizuiliki.

Haiwezekani miaka na miaka hawa wanajiita serikali hakuna cha maana wanafanya na wanachukua billions kwenye kodi.

Unatembea na gari kali Lakini barabara mbovu kama tupo mwaka 1800, unarudi home unakuta umeme wamekata. Hii haikubaliki hata kidogo.
 
Yaani kaka kwa hii tz .Mimi naona tangu tupate Uhuru mpaka Sasa kiongozi ambaye kiukweli na cyo kinafki aliyekuwa mzalendo,acye na hila,acye na ubaguzi Ni nyerere pekee ake ,over
 
Big up kaka unajitambua hatuwez kumbatia serikali ya kibaguzi Ni Bora ungekuwa tumetawaliwa na kaburu tujue moja kuliko kutawaliwa na mkoloni mweusi hii Ndio mbaya zaidi Arusha sisi wenyew Ni ma soldiers hatuogopi mtu yeyote anaitwa mwanadamu ,ata awe roboti ,ata iwe risasi kwetu sisi hatuogopi chochote sisi Ni ma soldiers hapa kifuatacho Ni Arusha republic (USA),UNITED STATE OF ARUSHA ,haturudi nyuma ,hakuna chochote kinaitwa cjui silaha za Moto,cjui bomu ety wakifkiri kitaturudisha nyuma ivyo vitu kwetu Ni uchafu tu hatuogopi lazima tuikomboe Arusha ,lazima,lazima over
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…