Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Resources Gani mlizo nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujichetua akili we mjinga dunia nzima inazitambua potentially resources ambazo zipo Arusha pekee ambazo sisi Wana Arusha tunauwezo wa kuzitumia tukaijenga Arusha ikawa newyork ya 2 na hata na ikawa jiji namba moja Africa kwanza hata Arusha Ni maarufu kuliko ata iyo dar yenu ni kwasababu ya izo unique and potential resources ambazo unajichetua akili kuwa huzifahamu na inajulikana dunia nzima kuliko ata iyo dar ambayo nyie washamba maona mkifika dar Ndio mmefika marekani kumbe Ni ushamba wenu tu na mnayoiona dar km ulaya kumbe Ni tz tu unalo la kusema
 
Kelele za nn? Sasa unapayuka mtoto wa kiume .

Wewe dada unafahamu unachosimamia?

Nakukumbusha tena hoja hapa ni rahisi tu.

Kwanini serikali inapuuzia arusha?

Je, hiyo inafanya mimi nionekane nachukia wananchi masikini wanaoishi sehemu nyingine Tanzania?

Wakazi wa arusha kudai huduma bora za kijamii na kiuchumi hiyo haimaanishi tunawachukia watu wa Dodoma au Dar es Salaam au Mara.
 
Ndio
T


Tanzania nzima ni potential mkuu, basi tu hakuna mipango na usimamizi wa kimkakati kuendeleza taifa.

Bado siku 9 kombe la dunia mpira wa miguu litafanyika Qatar.

Ukiangalia nchi ya Qatar ni ndogo sana, Tanzania imeizidi mara 82.

Uchumi wao mkubwa ni mafuta, gesi na utalii, ila pesa wnayotengeneza na matumizi inasimamiwa vizuri

Tanzania tukijipanga tungeweza kufika na kuzidi. Kama ni gesi tunayo ya kutosha na rasilimali watu tuko milioni 61 ukilinganisha na milioni 2 ya Qatar

ila kwa sasa tumeshachelewa

kila mtu anajichukulia anachoona kama shamba la bibi

Kwa habari zaidi: Economy of Qatar - WikipediaView attachment 2413384
qatar miaka ya 70


View attachment 2413385

qatar ya sasa
 
T


Tanzania nzima ni potential mkuu, basi tu hakuna mipango na usimamizi wa kimkakati kuendeleza taifa.

Bado siku 9 kombe la dunia mpira wa miguu litafanyika Qatar.

Ukiangalia nchi ya Qatar ni ndogo sana, Tanzania imeizidi mara 82.

Uchumi wao mkubwa ni mafuta, gesi na utalii, ila pesa wnayotengeneza na matumizi inasimamiwa vizuri

Tanzania tukijipanga tungeweza kufika na kuzidi. Kama ni gesi tunayo ya kutosha na rasilimali watu tuko milioni 61 ukilinganisha na milioni 2 ya Qatar

ila kwa sasa tumeshachelewa

kila mtu anajichukulia anachoona kama shamba la bibi

Kwa habari zaidi: Economy of Qatar - WikipediaView attachment 2413384
qatar miaka ya 70


View attachment 2413385

qatar ya sasa
Kabisa kaka Ndio maana nikasema sababu ya potentialy resources ambazo zipo Arusha pekee sisi Wana Arusha wenyewe tunao uwezo wa kuijenga Arusha yetu wenyewe kwa kutumia mapato ya resources zetu na Arusha ikawa newyork ya2 na arusha ikawa jiji namba 1 Africa nzima hili litawezekana soon tutapoizindua Arusha republic yetu yaani (USA)_united state of Arusha soon tumechoshwa na SERIKALI ya kibaguzi inayofanya kazi ya kuchota mapato arusha kwenda kujenga dar flyover,barabara,alafu Arusha tunaachiwa manyoya wakati sisi ndo tunalinda izo poentiall and unique resoures za Arusha mungu aliyo ibariki nazo Arusha pekee hata Mungu hafurahishwi kuona Arusha kunazo unique poential resoures alafu tangu Uhuru papo vile vile hakuna jipya lolote alafu wanataka tunyamaze sisi cyo wajinga kiasi hiki tunajitamu Sana huu ujinga hatuwez kuuvumilia tena soon tutaform arusha republic yetu tujitegemee wenyew
T


Tanzania nzima ni potential mkuu, basi tu hakuna mipango na usimamizi wa kimkakati kuendeleza taifa.

Bado siku 9 kombe la dunia mpira wa miguu litafanyika Qatar.

Ukiangalia nchi ya Qatar ni ndogo sana, Tanzania imeizidi mara 82.

Uchumi wao mkubwa ni mafuta, gesi na utalii, ila pesa wnayotengeneza na matumizi inasimamiwa vizuri

Tanzania tukijipanga tungeweza kufika na kuzidi. Kama ni gesi tunayo ya kutosha na rasilimali watu tuko milioni 61 ukilinganisha na milioni 2 ya Qatar

ila kwa sasa tumeshachelewa

kila mtu anajichukulia anachoona kama shamba la bibi

Kwa habari zaidi: Economy of Qatar - WikipediaView attachment 2413384
qatar miaka ya 70


View attachment 2413385

qatar ya sasa
 
Kabisa kaka Ndio maana nikasema sababu ya potentialy resources ambazo zipo Arusha pekee sisi Wana Arusha wenyewe tunao uwezo wa kuijenga Arusha yetu wenyewe kwa kutumia mapato ya resources zetu na Arusha ikawa newyork ya2 na arusha ikawa jiji namba 1 Africa nzima hili litawezekana soon tutapoizindua Arusha republic yetu yaani (USA)_united state of Arusha soon tumechoshwa na SERIKALI ya kibaguzi inayofanya kazi ya kuchota mapato arusha kwenda kujenga dar flyover,barabara,alafu Arusha tunaachiwa manyoya wakati sisi ndo tunalinda izo poentiall and unique resoures za Arusha mungu aliyo ibariki nazo Arusha pekee hata Mungu hafurahishwi kuona Arusha kunazo unique poential resoures alafu tangu Uhuru papo vile vile hakuna jipya lolote alafu wanataka tunyamaze sisi cyo wajinga kiasi hiki tunajitamu Sana huu ujinga hatuwez kuuvumilia tena soon tutaform arusha republic yetu tujitegemee wenyew
sasa mkuu kujitenga sio suluhisho

mipango madhubuti, weledi na uzalendo ndio unaoendeleza Taifa mkuu

inasikitisha ndiyo lakini nadhani nchi nyingi za Afrika zilishachelewa toka zilipopata uhuru nchi nyingi ziliendekeza ufisadi na kungangania madaraka badala ya kufanya maendeleo.

sasa hivi ni ngumu sana kuendelea kuwa kama wazungu.
 
Weee
😂😂😂Kwamba wewe mna hotel moja ya kifamilia nyie kweny familia yenu..au wafuata mkumbo ...Pambana lazima uumie roho kwani ni kwenu ila ukweli ni serikali ndo imefanya mpaka nyie kuwa hapo
Wewe unaonekana mjinga tu alafu mtoto wa mama usitake akili zako finyu zifanane na watu wa Arusha,IQ ya watu wa Arusha Ni kubwa Sana huwez kuipata popote tz isipokuwa Arusha pekee ake Sasa sisi cyo mataahira. We unayetaka tunyamazie huu upuuz wa kijinga unaofanywa na SERIKALI kuyachukua mapato Arusha kwenda kuijenga dar maflyover,barabara,alafu sisi watu wa Arusha tangu Uhuru mpaka Sasa hakuna miradi yoyote ya maendeleo huoni kuwa huu Ni utaahira unaofanywa na SERIKALI ya kibaguzi
 
Weee

Wewe unaonekana mjinga tu alafu mtoto wa mama usitake akili zako finyu zifanane na watu wa Arusha,IQ ya watu wa Arusha Ni kubwa Sana huwez kuipata popote tz isipokuwa Arusha pekee ake Sasa sisi cyo mataahira. We unayetaka tunyamazie huu upuuz wa kijinga unaofanywa na SERIKALI kuyachukua mapato Arusha kwenda kuijenga dar maflyover,barabara,alafu sisi watu wa Arusha tangu Uhuru mpaka Sasa hakuna miradi yoyote ya maendeleo huoni kuwa huu Ni utaahira unaofanywa na SERIKALI ya kibaguzi
Yaani mimi nijifananishe na upumbavu!! Nan kaleta mada ni kwamba hamjiamini kiasi kwamba hamna uwezo wa kurise mada na kutoa hints za maana mfano wewe hata kuandika hujui !! Sidhani Kama shule hata msingi umemaliza...yaani mimi nijifananishe na wavaa matambaa ya mitumba kuwa na akili timamu. Kiande
 
Arusha maeneo yote wanayoringia hayapo mkoani kwao.

Walikuwa wanaringia Tanzanite na Mererani hili eneo lipo wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara

Walikuwa wanaitaja Serengeti hii mbuga ipo Mkoa wa Manyara, Mara na Simiyu.
Sasa hivi mageti ya kuingia hifadhini yanafunguliwa Simiyu, Mara.
Pakijengwa uwanja wa kisasa wa Ndege Mwanza ujue Arusha inazikwa.
Kwa sababu ni karibu zaidi kutoka Mwanza kwenda Serengeti kuliko Arusha.

Mlima Kilimanjaro upo mkoa Mwingine yaani Moshi.

Hivyo unagundua Arusha itazidi kunywea baada ya miaka 15 ijayo.

Watake wasitake
Huu mkoa una hustlers .

Hautaanguka milele.
 
No Sawa
sasa mkuu kujitenga sio suluhisho

mipango madhubuti, weledi na uzalendo ndio unaoendeleza Taifa mkuu

inasikitisha ndiyo lakini nadhani nchi nyingi za Afrika zilishachelewa toka zilipopata uhuru nchi nyingi ziliendekeza ufisadi na kungangania madaraka badala ya kufanya maendeleo.

sasa hivi ni ngumu sana kuendelea kuwa kama wazungu.
Ni Sawa kaka lakini tumevumilia mnoo tokea Uhuru kuwa labda serikali itatuletea maendelea sababu ya resources zake unique and potential badale serikali imekuwa inaendekeza ubaguzi na kuihujumu ARUSHA pekee yake Ndio inatengwa katika miradi ya maendeleo Sasa halafu mbaya zaidi serikali inachukua mapato mengi Sana Arusha alafu inaenda kuijenga dar ,kwa miradi mikubwa,maflyover,barabara kila kukicha Sasa kweli kaka kwa ubaguzi na upuuzi huu unaofanywa itakuwa sahihi tukiendelea kunyamaza si tutakuwa majinga hatukubali teeeenaaaaah soon Arusha republic (USA)~united state of Arusha
 
Yaani mimi nijifananishe na upumbavu!! Nan kaleta mada ni kwamba hamjiamini kiasi kwamba hamna uwezo wa kurise mada na kutoa hints za maana mfano wewe hata kuandika hujui !! Sidhani Kama shule hata msingi umemaliza...yaani mimi nijifananishe na wavaa matambaa ya mitumba kuwa na akili timamu. Kiande
We mpuuzi kale kwa mama ako ukalale naona unao usingizi
 
We mpuuzi kale kwa mama ako ukalale naona unao usingizi
😂😂😂😂Kijana acha bangi sijwai kuona usmart wenu since nazaliwa ...Nimesoma nanyi baadhi yenu tabia zenu kula chabo, kuvaa manguo oversize hata kama Kuna joto, hamjipendi hata kuwa usafi mtihani ,mnapenda sifa sifa sana
 
Sehemu za utalii panatakiwa pabaki na uhalisia wa asili, pakiboreshwa sana watalii hawatakuja, na mapato yatashuka.
Mi nashauri, ili hali ya hewa ibaki vile vile ya kuvutia; shughuli za kibinadamu zinazoharibu mazingira zipunguzwe.​
 
😂😂😂😂Kijana acha bangi sijwai kuona usmart wenu since nazaliwa ...Nimesoma nanyi baadhi yenu tabia zenu kula chabo, kuvaa manguo oversize hata kama Kuna joto, hamjipendi hata kuwa usafi mtihani ,mnapenda sifa sifa sana
Nyege zako mpelekee mke wako ingiac kwenye mada unajibu hoja Kama umevimbiwa maparachichi nenda Kanye kwanza Ndio urudi akili itakukaa Sawa unesizi we kwa mvumbio wa maparachichi
 
Sehemu za utalii panatakiwa pabaki na uhalisia wa asili, pakiboreshwa sana watalii hawatakuja, na mapato yatashuka.
Mi nashauri, ili hali ya hewa ibaki vile vile ya kuvutia; shughuli za kibinadamu zinazoharibu mazingira zipunguzwe.​
Kaka upo sahihi Ila hii serikali ya kibaguzi ambayo kila siku inafanya mipango wazi wazi kuibagua Arusha kwa kila kitu ,sisi tumeligundua hili kitambo Sana hatuwez Tena kumilikiwa na SERIKALI ya kinafki inayotupaka mafuta kwa mgongo wa chupa kijacho Ni Arusha republic (USA)~United state of Arusha,over,imeishah iyoooo hatutaki tena ujinga na utaahira wao tumewachokaaah na kuwakinai km bigijii iliyoisha utamu
 
Wewe unafurahi arusha kuwa miundombinu dhaifu ya maji, umeme, barabara etc?

Wakazi wa arusha wakidai hili wewe unachukia?

Shida yako ni nini hasa?
Uyu c mtoto wa mama Ndio maana akili take bado ipo kwenye Giza mwache akalale sisi tupiganie Arusha yetu hakuna sehemu km Arusha Africa nzima hata dunia inalitambua Hilo over
 
Resources nyingi za Arusha hazinufaishi arusha.

Na hiyo HAIKUBALIKI

Haiwezekani pesa zote zinazotoka huu mkoa halafu maji shida, barabara shida, vijana wetu na mama zetu wanaishi kwa shida.

Hiyo haikubaliki.
Kabisa kaka sisi hatumwogopi binadamu yeyote Yule ata abebe ,risasi,cjui nnn tutapambana nae kuikomboa Arusha Geneva of Africa sisi wenyew Ni ma soldiers uwezo ,Nia tunayo kuikomboa Arusha na huu ubaguz wa kijinga unaoiandama Arusha kila kukicha jibu Ni moja tu the Arusha republic (USA)~United state of Arusha over,soon Mungu yupo nasi ,over
 
Back
Top Bottom