Kwanini asilimia 98 ya watanzania wanaojua Kingereza wanaongea Broken!! Tumerogwa au

Kwanini asilimia 98 ya watanzania wanaojua Kingereza wanaongea Broken!! Tumerogwa au

Zimbabwe na South Africa English ni lugha ya pili kwa waliowengi.

Lugha ya pili ni rahisi saana kujifunza. Mfano sisi watanzania tunaanza kuongea lugha zetu kwanza kabla ya kiswahili.

Tukijifunza kiswahili ni rahisi na wengi tunakiongea na kukiandika bila tatizo lolote.

Sasa tatizo linakuja unapoongezewa English tena ukiwa na miaka 14.
Hata South Africa, Kenya, Malawi na Zimbabwe wana matatizo ya English.

Binafsi, ninachoona kina-miss ni kidogo sana hasa juhudi binafsi za kujifunza lugha.

Mtu akiamua kukaza kujifunza lugha anaijua vizuri tu.

MIfano halisi ni WAMASAI tena ambao hawakwenda shule kabisa.

Kuhusu lugha ya kufundishia, mkitaka mkae gizani kwenye huu ulimwengu kijiji ipotezeeni English.
 
Hata South Africa, Kenya, Malawi na Zimbabwe wana matatizo ya English.

Binafsi, ninachoona kina-miss ni kidogo sana hasa juhudi binafsi za kujifunza lugha.

Mtu akiamua kukaza kujifunza lugha anaijua vizuri tu.

MIfano halisi ni WAMASAI tena ambao hawakwenda shule kabisa.

Kuhusu lugha ya kufundishia, mkitaka mkae gizani kwenye huu ulimwengu kijiji ipotezeeni English.
Wamaasai English ni Lugha yao ya pili...hawajui kiswahili [emoji3][emoji3].

Hapana kwa Kenya nakubali Ila Zimbabwe na South Africa wapo level nyingine.

Najua viongozi wetu wanaogopa kuchukua maamuzi maana mara nyingi huja na lawama. Siynaona tunavyomnanga mzee Maghembe kwa mabadiliko ya mitaala hadi leo.
 
Tatizo la kuzungumza lugha ya kiingereza linaumiza waswahili kuliko waingereza.
 
Kama muda wote unaongea Kiswahili kamwe huwezi kuongea kiingereza fasaha, lugha lazima uifanyie mazoezi, hata kilugha huwezi kuongea kilugha fasaha kama alivyo mtu wa kijijini ambaye muda wote anaongea kilugha
 
Maisha yenyewe mafupi haya, Huo muda wa kupasua kichwa kuongea kingereza unautolea Wapi

Watu wanajadili namna kwenda Mars, Sisi ndio kwanza tunataka tuandae mdahalo wa Taifa kuhusu Lugha ya Kingereza

Haya ni matokeo ya Mfumo wa Elimu tuliorithi kutoka kwa Mkoloni, Sisi tunaandiliwa na Elimu kuwa Watuma Mpaka katika Lugha
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken c sana mfano waziri wa elimu Prof. ndalichako, hata lisu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.
Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr.Lwaitama anachapia Kingereza. Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, SoMo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa Cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema lisu anawahUtubia mabeberu c watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
Sisi tumewekeza kufanya Kiswahili kiwe lugha ya taifa ili kupambana na mabeberu.Tunataka tutumie kiswahili mpaka cheo kikuu.Tumesahau kuwa kujua lugha nyingi ni hazina katika zama hizi za utandawazi.
 
Acha dharau ongea namimi hapa sasaivi, sema Jf hakuna ujumbewa sauti ungetafuta pakutokea mkuu.
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken c sana mfano waziri wa elimu Prof. ndalichako, hata lisu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.
Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr.Lwaitama anachapia Kingereza. Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, SoMo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa Cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema lisu anawahUtubia mabeberu c watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
ungekuwa wa maana kama hoja hii ungeileta kwa kingereza.
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken c sana mfano waziri wa elimu Prof. ndalichako, hata lisu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.
Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr.Lwaitama anachapia Kingereza. Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, SoMo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa Cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema lisu anawahUtubia mabeberu c watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
Waziri Ndalicheko anaweza kujibu hili kwani naye ni mmojawao!!
Merikebu inapigwa upepo mkali!!
 
English ya kusoma ni tofauti na kuzaliwa au uwe umelelewa na wazungu au ukikutana na guide wa muda mrefu
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken c sana mfano waziri wa elimu Prof. ndalichako, hata lisu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.
Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr.Lwaitama anachapia Kingereza. Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, SoMo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa Cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema lisu anawahUtubia mabeberu c watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
Bro unataka mtu azungumze kwa 100℅ ili iweje????? Kwani hiyo Broken English haieleweki??? Mbona tunaelewana tu vyema na wazungu kwa Broken hiihii!!!.

Nenda Ujerumani, China, France nk usikilize hao wachache wanaozungumza Kiingereza kama Kimenyooka.

ACHENI ULIMBUKENI BHANA
 
Kama mimi huku,nikiwa namsikiliza mtu akinisemesha namwelewa vizuri sana na kichwani nakuwa najua kabisa namna ya kumjibu ila sasa nikianza kufungua mdomo yote sijui ni yanakimbia au nisemeje maana hiyo broken yake ni ya kiwango cha lami,ila at least tunakielewa vibaya kama kinazungumzwa halafu hujui kinachosemwa.

Inavunja sana moyo but siyo lugha yetu so hatuna cha kupoteza (kujifariji tu)
Kaka nimecheka sanaa hahahahahah
 
Kama mimi huku,nikiwa namsikiliza mtu akinisemesha namwelewa vizuri sana na kichwani nakuwa najua kabisa namna ya kumjibu ila sasa nikianza kufungua mdomo yote sijui ni yanakimbia au nisemeje maana hiyo broken yake ni ya kiwango cha lami,ila at least tunakielewa vibaya kama kinazungumzwa halafu hujui kinachosemwa.

Inavunja sana moyo but siyo lugha yetu so hatuna cha kupoteza (kujifariji tu)
Una nafuu
Mimi nikiongea sekunde 50 niko hoi kiu ya kunywa maji hatari.
 
hili ni janga la kitaifa japo wengi watakwambia wachina, warusi, wajerumani, waitaliano na wafaransa hawaongei kingereza lakini wanasonga mbele.

wanasahau kwamba hao ni watu wanaotokana katika mataifa ambayo yapo stable kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.

sisi hatuna sababu ya kukikwepa kingereza kwasababu taifa letu ni changa kiuchumi, kijamii na kitamaduni. utamaduni wetu na lugha yetu haviwezi ku-influence taifa lolote.

wazazi msipotoshwe na fikra mgando za wanasiasa wa tz hususani wa chama tawala kuhusu kingereza.

muwasisitize watoto wenu wajifunze kuzungumza kingereza ili waje kuwa competent kwenye soko la ajira za kimataifa ambazo nyingi hunyakuliwa na wakenya.
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken c sana mfano waziri wa elimu Prof. ndalichako, hata lisu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.
Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr.Lwaitama anachapia Kingereza. Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, SoMo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa Cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema lisu anawahUtubia mabeberu c watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
Tatizo ni Kiswahili kutumika kama Lugha kuu ya Mawasiliano (Lugha Mama ya Nchi/Taifa).
Vigezo na masharti ya kuongea hayapo sehemu za kazi /kiuchumi au kwenye huduma za kijamii.
Hata hivyo ni wajibu wetu/muhimu kujifunza lugha nyingine nyingi ili kukidhi mahitaji ya ukuaji wa Uchumi wa Dunia.
 
Upo sahihi kabisa, ila kujitia ujuaji kujua kiingereza na kuwadhihaki wengine wapo vizuri......acha wakenya waendelee kutucheka.
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken c sana mfano waziri wa elimu Prof. ndalichako, hata lisu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.
Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr.Lwaitama anachapia Kingereza. Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, SoMo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa Cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema lisu anawahUtubia mabeberu c watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe

Icho kichwa cha habari tu nimecheka kifala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatujarogwa mkuu!!! Tatizo ni hao walimu wa kingereza
 
Back
Top Bottom