Utaula wa chuya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 495
- 1,344
Kweli kabisa anachekacheka sana wakati anaongea mpaka anakuwa haeleweki vizuri !!Ila huyu mama binafsi nikimsikiliza akiwa anaongea sielewi anaongea nini yupo smart ila hakua na Karama ya uzungumzaji.
Huo mjadala wa nini kilitufikisha hapa ni mjadala endelevu usiokuwa na majibu mepesi. Na kuna threads kibao huko nyuma nshawahi kuchangia hoja za namna hii za kufananisha Afrika na Singapore kabla ya uhuru na sasa. Ila kwa sasa jambo moja lipo wazi kabisa. Nchi zilizopiga hatua za maendeleo fasta walijijengea uwezo mkubwa sana wa kujitegemea kuanzia akilini mwao. Nchi zetu hizi za kiafrika zilibaki kuwa makoloni tu hata baada ya uhuru. Nyerere alijitahidi sana kujenga uwezo wa kujitegemea kuanzia fikra hadi kiuchumi, kwa bahati mbaya sana jitihada zake zilikwama mahali. Aidha, ujasusi wa kiuchumi kutoka mataifa ya nje ulijipenyeza na kuvuruga kila hatua ya kujitegemea kiuchumi tuliyoanza nayo. Anguko rasmi la kujitegemea kwetu lilifika rasmi tulipoamua kukubaliana na mifumo ya kibeberu (SAPs). Nchi zinazofanikiwa kupenya na kufanikiwa kujikwamua kijitegemea hazifiki hapo kwa urahisi. Unaona Pyongyang, Iran, Venezuela, n.k wanavyowekewa vikwazo vya kutisha. Somehow watu wa Singapore, South Korea walikuwa na ujanja na uzalendo wa kutosha kustawi chini ya mifumo ya kibeberu. Kwa bahati mbaya kwa nchi yetu hii, Nyerere hakuweza kupata watu wenye sifa za watu wa Singapore au South Korea kufanya nao kazi.Mkuu, hivi unafahamu kwamba wakati tunapata uhuru miaka ya 1960s, uchumi katika nchi nyingi za Afrika zililingana na nchi za Asia kama Korea Kusini na Singapore? Leo tupo wapi? Nini kilitokea? Mpaka sasa kipi kimefanywa kurekebisha makosa yale? Mkuu kwa mzalendo haina maana ya sasa mtu afumbie macho ukweli kama askari wa Ukraine.
Daaah inasikitisha sana mkuuKwa bahati mbaya kwa nchi yetu hii, Nyerere hakuweza kupata watu wenye sifa za watu wa Singapore au South Korea kufanya nao kazi.
Hicho kitu hakujaaliwaKweli kabisa anachekacheka sana wakati anaongea mpaka anakuwa haeleweki vizuri !!
Hapana sio kweli, ni genetics, lakini ni vizuri kuukubali na sio kuufichaficha kama Hayati Omari Bongo.
Labda unaongelelea udumavu.
Siyo mfupi ni kwasababu Obama na biden ni warefuMbona kafupi hivyo?? Hata salama ngale ni tolu kwake...
Uhusiano gani uliharibika?Kama wazungu walikuwa hawamuelewi Samia kwasababu ya kuwa makamu wa Rais wa Magufuli aliyeharibu uhusiano wetu wa kimataifa, huyu mama alikuwa kiungo mzuri sana.
Kwenye mazingira kama haya kuleta habari za "collective responsibility" ni ujinga mtupu, hiyo "collective responsibility" ndio iliharibu mwanzo ikashindwa kumshauri vizuri yule aliyeharibu, then unamteua anayeaminika huko nje ili akatengeneze, ajabu baadae nae unamuondoa kwasababu ya kukumbatia mawazo ya wale waliofeli!.
Huyu mama alikuwa anatengeneza connection nzuri ya kurudisha imani ya wazungu kwa Samia na serikali yake, lakini kwa kuondolewa kwake, naona Samia ataendelea kupokewa na kina Mange kila akienda US.
inasikitisha.Viongozi waliopo hawaijui Katiba, hawajawahi isoma yote, huishika na KUAPA bila kujua kilichoandikwa ndani.
Mtu mwenye URAIA pacha aliwezaje kuteuliwa waziri mambo ya nje???
What if ni Agent??🙃🙃🙃. Muda wa matazamio umekwisha, maamuzi magumu yanahitajika.
Hata wachina wana miili midogo sana but very smart upstairs. Hao wajapan na Wakorea ndo usiseme. Mimi nlikosa suruali size yangu kwao. Nlikuwa naonekana mkubwa sana. Lakini nchi yao unaweza acha gari hadi mwaka ukaikuta haijaguswa hata side mirror. Ukiacha simu kwenye bench after a day ukija utaikuta pale pale. So si naumbile tuSiyo kweli, Wajapani na Wakorea wote (karibia) ni wafupi na miili midogo, lkn Japan ni nchi ya pili kwa uchumi mkubwa Duniani, isitoshe Mwanamke kuna mfupi ni kawaida, ni biology kwamba Wanawake ni wafupi na wadogo kimaumbo kuliko Wanaume!
Ukibaka, uwizi uwizi, udokozi dokozi ni dalili za underdevelopment ya akili. Aidha ni ugonjwa wa akili au ni dalili za ujima (kutostaarabika). Kadri watu wanavyostaarabika hata uwizi unapotea kwenye jamii.Hata wachina wana miili midogo sana but very smart upstairs. Hao wajapan na Wakorea ndo usiseme. Mimi nlikosa suruali size yangu kwao. Nlikuwa naonekana mkubwa sana. Lakini nchi yao unaweza acha gari hadi mwaka ukaikuta haijaguswa hata side mirror. Ukiacha simu kwenye bench after a day ukija utaikuta pale pale. So si naumbile tu
Hivi mtu kuwa smart anatambulikaje? Kuna utofauti wa kuwa smart na kuwa kibaraka mzuri? Nauliza tu swali, maana hawa smart people huwa sioni impacts zao zaidi ya kuambiwa ni smart na evidence za kukutana na westerners tu? Kwakweli ukoloni madhara yake ni makubwa sana kwenye ubongo wa mtu mweusi...Ila huyu mama binafsi nikimsikiliza akiwa anaongea sielewi anaongea nini yupo smart ila hakua na Karama ya uzungumzaji.
Utashangaa sana kusikia wewe hukuwa smart simply because unaji associate na hao unawa perceive kuwa smart...Any smart person can still be smart even with his people na bado akaleta change kubwa kubwa tu bila hizo associations za kitapeli wa dunia...Kina Abraham Lincoln na Franklin Roosevelt Wa huko walikuwa wana associate na akina nani hadi walipofanikiwa kuzifanya nchi zao kuwa powerful? Sana sana walijiepusha na kila aina ya European influence chini ya Kingdomship ya U.K na Roman Empire mpaka kutengeneza kitu ambacho hakikuwepo duniani, yaani Democratic governance....Sasa kama kuwa smart kunamaana ya uchawa basi hapo na log off.....Ukibaka, uwizi uwizi, udokozi dokozi ni dalili za underdevelopment ya akili. Aidha ni ugonjwa wa akili au ni dalili za ujima (kutostaarabika). Kadri watu wanavyostaarabika hata uwizi unapotea kwenye jamii.
She's smart mpaka amefikia hapo alipofikia sababu sidhani kama yeye ni zao la UVCCM au wale wakufikia sehemu aliyofika hapo sababu ya kua associated na Chama.Hivi mtu kuwa smart anatambulikaje? Kuna utofauti wa kuwa smart na kuwa kibaraka mzuri? Nauliza tu swali, maana hawa smart people huwa sioni impacts zao zaidi ya kuambiwa ni smart na evidence za kukutana na westerners tu? Kwakweli ukoloni madhara yake ni makubwa sana kwenye ubongo wa mtu mweusi...
Upo sahihi sana mkuu.Utashangaa sana kusikia wewe hukuwa smart simply because unaji associate na hao unawa perceive kuwa smart...Any smart person can still be smart even with his people na bado akaleta chanhe kubwa kubwa tu bila hizo associations za kitapeli wa dunia...Kina Abraham Lincoln na Franklin Roosevelt Wa huko walikuwa wana associate na akina nani hadi walipofanikiwa kuzifanya nchi zao kuwa powerful? Sana sana walijiepusha na kila aina ya European influence chini ya Kingdomship ya U.K na Roman Empire mpaka kutengeneza kitu ambacho hakikuwepo duniani, yaani Democratic governance....Sasa kama kuwa smart kunamaana ya uchawa basi hapo na log off.....
Africans mind zina ukoko na kutu hasa ya kutawaliwa...Hazina confidence wala haziwezi kuamini katika wao wenyewe...Nadhani tukihangaika na hili tatizo itakuwa njema zaidi...Nasikitika kuzaliwa nchi inayoamini ya kuwa kiwa smart ni kuwa chawa wa watu weupe...A parasitic kind of association ..
Hata wachina wana miili midogo sana but very smart upstairs. Hao wajapan na Wakorea ndo usiseme. Mimi nlikosa suruali size yangu kwao. Nlikuwa naonekana mkubwa sana. Lakini nchi yao unaweza acha gari hadi mwaka ukaikuta haijaguswa hata side mirror. Ukiacha simu kwenye bench after a day ukija utaikuta pale pale. So si naumbile tu