christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Wale Waarabu si wote...Mkuu mbona hata waarabu wametuzidi na wakati wamefuata mambo hayo ya kizungu unayosema kama elimu tiba za kizungu na hutumia teknolijia za wazungu ila mbona wenzetu wameweza kufika mbali na kutuacha sisi nyuma?
Mifumo mingi ishavulugwa na kuisuka kwa namna ya kuwanufisha wao. Dini mungu wao, mfumo wa uchumi wamesuka wao, elimu yakwao, michezo sheria wamezitunga wao ni ngumu kutoboa bila kujitoa kwanza kwenye mifumo yote ambayo tumeletewa na hao watuHabari gani ndugu wananchi?
Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.
Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.
Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Alafu yule aboubakar kafunga goli la pili baada ya kuwai kuchukua mpira alrte kati eti anacheka na kushangilia kwa mbwembwe kabisa wakati muda huo matokeo yanasoma timu yake imefungwa 3-2.. ghana nae ivyo ivyo bado wamezidiwa magoli na ureno chukua mpira leta kati kuwaamsha wenzako ngoma bado hii jamaa kapiga goli kaenda kupiga siu pembeni ya uwanjaAfrica bado hatujajitawala kifikra na hii inafanya tusijiamini. Ikiwa kiongozi au mwanasiasa wa Africa anaongoza Africa lakini mawazo yake yapo Ulaya hapo mkuu unategemea nini.
Ukija kwenye soka Africa tunacheza ni kama hatujui tunachokitaka wachezaji wanacheza utadhani wako wanatoa birudani na siyo mashindano, hatuko agressive na mipango kama ya wenzetu wazungu. Juzi niliboreka sana na jinsi Cameroon walivyocheza yaan wamefungwa goli lakin wanavyocheza ni kama wao ndio wanaongoza yaani hawakuonesha purukushani yeyote ya kurudisha goal.
Hakuna aliyechukua kila kitu hata sisi tuna lugha zetu,tuna mila zetu na tuna zaidi ya mafuta mkuu kushinda hao waarabu wenye mafuta tu.Wale Waarabu si wote...
Na hawajachukua Kila kitu kama sisi.
Wana dini yao, wana lugha zao, wana Mila zao, wana mafuta yao.
Sisi tuna nini?
Mkuu, ukijigundua kwamba una mapungufu Gani tayari umejiby hiyo swali lako.......Habari gani ndugu wananchi?
Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.
Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.
Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
I doubt sababu tume abandon Miungu yetu ya Asili na kupokea ya wageni.Wametuacha tunyooshwe nayoHabari gani ndugu wananchi?
Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.
Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.
Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Siamini katika hili labda sisi ndio wabovu maana iweje nchi zote za weusi tuwe hovyo??? Viongozi hatuwapati nje ya nchi bali ni miongoni mwetu, shortly hatuna akili sawa na weupe.Tatizo viongozi kukosa maarifa.wewe unaona tu rais kama samia tutafika kweli?
DuhNa mwandishi wq hiko kitabu ni eurocentric
Jibu la swali hilo ni jibu lile lile la siku zote “ SELFISHNESS “Habari gani ndugu wananchi?
Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.
Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.
Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Ndio kukosa akili kwenyewe, anakuja vipi mtu anakubadilisha asili yako na wewe unakubali?Siku ukibadili mtazamo wako utaona tuko nyuma kwa sababu unatumia scales za Hao Hao unaoona wanatuzidi.
. Wazungu walikuja wakakuta sisi tuna mila zeru, tuna tamaduni zetu tuna dawa zetu za asili na maisha yanaenda poa kabisa wakatu convince kuwa haya yetu ni ushenzi na ya kwao ndo standard, tukaona hivyo sasa unataka kwenye kuyatekeleza ya kwao tuwashinde, Kweli?
. Wazungu walikuja wakakuta tuna demokrasia zetu na namna yetu ya kutawalana wakaita hii yetu ni ya kishenzi na wakatifundisha mashuleni kuiishi demokrasia yao maana ndo nzuri tukageuka na kujifunza yao, sasa unataka sisi tuliyojifunza na wao ni mtindo wao wa maisha tuwashinde, kweli?
. Wazungu walikuja wakasema lugha yetu ni uzushi na mtu mstaarabu anaongea lugha kama yao tukaamua kujifunza yao, unataka tuwashinde, kweli?
. Hebu chagua kitu kimoja ambacho sisi ni asili yetu na wao wanaiga kutoka kwetu alafu Pima Nani anakifanya kwa weledi zaidi
Mkuu, ni bahati mbaya Sana akili zetu zimefundishwa kufikiri mambo ya wazungu na Wageni ni bora kuliko yetu na yetu ni ya kishenzi. Na bahati mbaya zaidi mnayatumia mambo ya wageni na tamaduni zao kulinganisha aliyeko mbele na aliyeachwa nyuma!
Uzinzi na umasikini vinaendana.Ngono usambaza magonjwa ya kimwili na kiroho ikiwemo laana,mikosi na umasikini. Thus kuna amri usizini.Ngono ngono ngono...mawazo yote mmelekeza huko...hakuna mgunduzi (whites) aliyepata kuwa serious na ngono..anzia Kwa Newton mpaka akina da Vinci...hawajawai hata siku Moja kudili na madem
Rwanda kakuzidi niniKibaya zaidi hadi uchawi sisi ni mazuzu
Majungu sisi ni watoto tu hata Rwanda wametushinda.
Umalaya wenyewe sisi ni cha mtoto.
All in all sisi ni mazuzu zaidi