google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
- Thread starter
-
- #61
Jamaa alikuwa hajambo mpaka freemason [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mbona yupo sahihi kutoka wikipedia "Benjamin Franklin FRS FRSE (January 17, 1706 [O.S. January 6, 1705][1] – April 17, 1790) was an American polymathand one of the Founding Fathers of the United States. Franklin was a leading author, printer, political theorist, politician, freemason, postmaster, scientist, inventor, humorist, civic activist, statesman, and diplomat. As a scientist, he was a major figure in the American Enlightenment and the history of physics for his discoveries and theories regarding electricity"
Bado hajawekwa. Na uamuzi huo sidhani kama serikali ya Trump itautekeleza.Kny $20 bill
Mmh hebu tupe ufafanuzi vizuri hapo chief...mm pia najua George washington ndio rais wa kwanzaHapana raisi wa kwanza wa marekani alikuwa mweusi (aliitwa John Hanson (a Moor) ) na george yeye ni raisi wa 8 wa us.
Thomas Jefferson ni rais wa tatu, George akiwa wa kwanza....hata Abraham alikuja baada ya georgeMaraisi wa kwanza wa marekani kabla ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
sorry wanamwita "founding father"Baba wa Taifa la Marekani ni George Washington
Presidents of the United States (POTUS)
nakubaliana na wewe kabisa. ila sijaelewa tofauti ya Father of nation and Founding Father... Kama mtu anaweza kutafsri hayo maneno kwa kiswahiliMbona yupo sahihi kutoka wikipedia "Benjamin Franklin FRS FRSE (January 17, 1706 [O.S. January 6, 1705][1] – April 17, 1790) was an American polymathand one of the Founding Fathers of the United States. Franklin was a leading author, printer, political theorist, politician, freemason, postmaster, scientist, inventor, humorist, civic activist, statesman, and diplomat. As a scientist, he was a major figure in the American Enlightenment and the history of physics for his discoveries and theories regarding electricity"
Hiyo ni movie tu wahusika Sio halisiaKaangalieni series moja inaitwa sleepy hollow wamecheza historia ya marekani miaka ya 1700 mtawaona hao kina benjamin franklin mambo ya freemason na wengine[emoji111][emoji111]
Faru John au?
Wewe acha kupotosha watu humu. Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington 1789-1797 na alifuatiwa na John Adams 1797-1801 nk. Tatizo Watanzania hampendi kusoma na matokeo yake mnategemea vijiwe kama "Source of Information". This is very pathetic for the country as vast as Tanzania.Maraisi wa kwanza wa marekani kabla ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
Sooo sad! Is this the peak of your reasoning, And criticism ability?Wewe acha kupotosha watu humu. Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington 1789-1797 na alifuatiwa na John Adams 1897-1801 nk. Tatizo Watanzania hampendi kusoma na matokeo yake mnategemea vijiwe kama "Source of Information". This is very pathetic for the country as vast as Tanzania.
As per history itself many races reached america first i.e africans,chinese and norse explores.So who discover america?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Kwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Halafu labda nikupe na nyongeza hii hivi unajua kuwa pia uingereza kulikuwa na first black royal family ambayo iliongoza uingereza?Wewe acha kupotosha watu humu. Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington 1789-1797 na alifuatiwa na John Adams 1897-1801 nk. Tatizo Watanzania hampendi kusoma na matokeo yake mnategemea vijiwe kama "Source of Information". This is very pathetic for the country as vast as Tanzania.
Bila shaka umenifurahishaKwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?