Mwanangu hzi facts umezitoa wap?Maraisi wa kwanza wa marekani kabla ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
Poa poa mkuu shukrani sanaBila shaka umenifurahisha
Mbona zipo online mkuu pia kuna vitabu vingi kamaMwanangu hzi facts umezitoa wap?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona zipo online mkuu pia kuna vitabu vingi kama
1.the black history of the white house (kimeandikwa na clarance lusane)
2.black men built the capitol (kimeandikwa na jesse.j. holland)
3.the invisibles (mwandishi jesse.j.holland)
Vipo vitabu vingi na online documents ni wewe na utafutaji wako tu ila wengi wetu tumekariri yale tunayoyaona .na hatupendi kusoma na hata tukijua ukweli tunapinga .
No! criticism without evidence BRO![emoji23] [emoji23] [emoji23]
You are reading the wrong books mzee.
Calvin Coolidge alikuwa Rais kabla ya Washington!!
Braza acha kusoma hivo vitabu
Ni kweli Raisi wa Kwanza wa The United States of America as we know it was George WashingtonMaraisi wa kwanza wa marekani kabla ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
Simple and clear!Ni kweli Raisi wa Kwanza wa The United States of America as we know it was George Washington
Kabla ya other colonies ku join the first 13 states kulikuwa tu na Continental Congress
nakubaliana na wewe kabisa. ila sijaelewa tofauti ya Father of nation and Founding Father... Kama mtu anaweza kutafsri hayo maneno kwa kiswahili
Father of the nation, ni heshima apewayo rais baada ya kuitendea makubwa nchi yake. eg: George Washington and Julius Nyerere.nakubaliana na wewe kabisa. ila sijaelewa tofauti ya Father of nation and Founding Father... Kama mtu anaweza kutafsri hayo maneno kwa kiswahili
"Criticism Ability", aise, ama kweli umenishinda, sikuwezi...........!!!!!!!!Sooo sad! Is this the peak of your reasoning, And criticism ability?
Tafuta kitabu kinaitwa "History Of USA"... Kimeelezea mengi juu ya uvumbuzi Wa America...kiufupi kwenye hicho kitabu mvumbuzi anayetajwa ni muitaliano mmoja hivi wakuitwa Amerigo Vespucci na sio Christopher Columbus kama wengi tunavyoaminishwa.So who discover america?
Dah yaani nimecheka ,sijui huwa mnawaza nini mimi hili sikulifikiria kabisaKwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Kawaida tu mbona mkuuDah yaani nimecheka ,sijui huwa mnawaza nini mimi hili sikulifikiria kabisa
hii comment ni ya kukaribishia ramadhani very interestingKwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe ni Great thinker ama great sinker!?Maraisi wa kwanza wa marekani kabla ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
Mbona shiling hamsini ya Tanzania ina picha ya raisi wa awamu ya pili na bado yupo hai.Pia kitu kingine ili Raisi awekwe kwenye dola au MTU wa kawaida wanaagalia mchango wake kwa Taifa.Pia hawekwi mtu ambae ni mzima hadi afariki.Maana yake wanasema ukimueka kama ni mzima halafu akaja kupata skendo hapa katikati na yupo kwenye pesa itakua aibu ya Dunia na inaeza kuathiri uchumi wao.
huyu nae anasifa IPI ?? mkuuView attachment 775262 Harriet Tubman