Wazo zuriHilo swala la kupora/kuchora ramani linatoka wapi? Choo cha wateja si wakiweke kule nje getini wanapokaa walinzi? Choo kisiwe kwenye main structure. Kiwe choo tu cha nje.
Kansani unapoenda unaenda kukata gogo u kusaliBank unaenda kuweka/ kuchukua hela au kukata gogo?
Nmejiuliza hao wanaozungumzia kupupu huko bank, afu tumia tafsida buana mi nipo nakula hapa....Kwani choo kinatumika kunya tu? Ushawahi kubanwa na mkojo hadi kibofu kinauma?
Sio lazima kiwe mle ndani, kwani kwenye viwanja vya ndege kuna CCTV camera? mbona hududma hii ipo? Itakavyokuwa lakini ni huduma muhimuWakiweka choo pia inabidi waweke CCTV camera ili msifanye mipango ya uvamizi
πππππππππ,Kwani shule unaenda kusoma au kukata gogo ama kukojoa