Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

Wakatoliki ndio waliona maandiko yaliyopo yanatosha kwa mafundisho wangeweka kila kitu biblia isingewezekana kubebwa ingekuwa ni kitabu kikubwa sana kufika hata tani moja.
Mambo mengine yapo maktaba za siri za Vatican,mengine watu wa level ya chini hawatakiwi kuyafahamu.
 
Biblia ni utapeli wa wazungu... missionary walikuja kuwa pumbaza wakaiteka miji na tawala za enzi wakabeba thamani wakawaachia kitabu na wakawapa yesu wa kizungu.. wakawaaminisha kwa sanamu na filamu yenye kuwaingizia kipato...

“Malaika alikuja duniani akapenda wanawake wa duniani akazini nao wakatokea watu wenye miraba 10” Nonsense upofu mpka kwenye fikra

Utapeli utapeli utapeli
 
Nampenda Mungu na namuamini Mungu yupo ila hii story ya safina na nuhu tulipigwa
Lakini ilithibitishwa na yesu pia ...pale alipo sema 👉kama ilivyo kuwa zama za nuhu ndivyo itakavyo kuwa kizazi hiki mpaka pale nuhu alipoingia kwenye safina na mlango kufungwa ndivyo itakapo kuwa kwa kizazi hiki...
 

Mwa 6:1-12​

Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao, wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua. BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini. Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa. BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo. BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya. Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA. Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu. Nuhu akazaa wana watatu wa kiume, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Dunia ikaharibika mbele za Mungu, dunia ikajaa dhuluma. Mungu akaiona dunia, na tazama, imeharibika; maana kila mwenye mwili amejiharibia njia yake duniani.
 

Mwa 6:1-12​

Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao, wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua. BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini. Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa. BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo. BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya. Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA. Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu. Nuhu akazaa wana watatu wa kiume, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Dunia ikaharibika mbele za Mungu, dunia ikajaa dhuluma. Mungu akaiona dunia, na tazama, imeharibika; maana kila mwenye mwili amejiharibia njia yake duniani.
Inakuaje Bwana amefeli kwa kile alicho kitengeneza? Vip kama kuna program zingine anaendelea kufeli hayapo kwenye hadithi hizo za wazungu
 
1.Vitabu hivi vinavyoitwa vya Mungu vina taratibu za kusoma kwake....kuna baadhi ya maandiko unaweza usome na usielewe chochote bila ya msaada!
2.baadhi ya vitabu hivyo vimepunguzwa sana yale maandiko sababu ingekuwa ni mibuku isobebeka kwa sababu mengi mule ni maneno ya watu
3.kama nilivyosema hapo juu yataka msaada wa wasomi kuelewa matumizi ya LUGHA, NYAKATI NA MAHALI, unadhani iligharikishwa DUNIA nzima kwamaana ya GIMBA lote hili? Mungu anataratibu za kupeleka muonyaji mahala penye shida mkikataa anawaramba, pekua habari za lotu na wengineo...kumbuka zama hizo dunia haikuwa kijiji ilikuwa dunia dunia kweli...ukizaliwa msanga utafia msanga chanika tu kufika ni muhali..!
4.Malaika unamtambuaje kupitia hiko kitabu chako? Kumbuka walipopita kwa Ibrahim na kumpasha habari za uzao na kumwambia kule wanapoenda aliwatayarishia CHAKULA KINONO walikula? Kwa nini hawakula? Je Unadhani wanaweza kutomba na kutombwa?
4.chochote unachokiona ama unaaamini kipo kati ya waandamu basi asili ya yake ni umbo moja la Bwana Adamu na Manzi wake Hawa...na kilichotokea ni kutawanyika tu duniani na maumbo rangi na vimo NI KUTOKANA NA MAZINGIRA.....!
FUNGUKA...halafu we kwanza hayo MAJITU UNATATAKA YA NINI...Si umsome Yesu vile kaishi na wewe uishi japo robo yake vile aliishi mji wako usalimike🤪
 
Back
Top Bottom