Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Tangu mwanzo hadi ufunuo sijawahi ona biblia imetamka wazi kuwa manefili yalitokana na uzao wa mtu fulani sijawahi ona hilo andiko.Badala yake maandiko yanakuwa yanaibuka ghafla tu na kuwataja wanefili.
Sote tuna soma mwanzo 6 hadi9 na kuona ya kwamba Mungu aliingamiza dunia na viumbe vyake vyote isipokuwa waliokuwa ndani ya safina pekee yaani kwa upande wa binadamu ni familia ya Nuhu pekee ndiyo ilipona.
Sasa baada ya gharika hawa wanefili walitokea wapi tena ili hali biblia ina sema....
Mwanzo 7:23 Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa hai duniani: Binadamu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Vyote viliangamizwa duniani. Noa tu ndiye aliyesalimika na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina. 24Maji hayo yalidumu katika nchi siku 150.
Hivyo ni wazi kuwa kila chenye uhai kiliangamizwa kabisa kabisa.
Swali
Hawa wanefili baada ya gharika walitokea wapi tena?.
KARIBUNI
Sote tuna soma mwanzo 6 hadi9 na kuona ya kwamba Mungu aliingamiza dunia na viumbe vyake vyote isipokuwa waliokuwa ndani ya safina pekee yaani kwa upande wa binadamu ni familia ya Nuhu pekee ndiyo ilipona.
Sasa baada ya gharika hawa wanefili walitokea wapi tena ili hali biblia ina sema....
Mwanzo 7:23 Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa hai duniani: Binadamu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Vyote viliangamizwa duniani. Noa tu ndiye aliyesalimika na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina. 24Maji hayo yalidumu katika nchi siku 150.
Hivyo ni wazi kuwa kila chenye uhai kiliangamizwa kabisa kabisa.
Swali
Hawa wanefili baada ya gharika walitokea wapi tena?.
KARIBUNI