Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #81
Naunga mkono. Inaonekana viumbe wa mwanzo walikuwa wataga mayai. Dinosours walikuwepo miaka 200m iliyopita na ni wataga mayai.Mutation hizo za kuweza kuzaa na sio kutaga mayai zilitoka miaka zaidi ya milioni 100 iliyopita
Achilia mbali kuzaliwa.Kwanini binadamu hawatagi mayai? Zipi faida za kuzaa dhidi ya kutaga?
Walikuwa wanatagahivi dinosaurs wanazaa au wanataga?.
I don't know exactly kwa terms ya amniotes sijawah sikia effect ya oxytocin kwa amniotes hawa wanaotaga mayaiBila shaka mayai ya kware ukiyachanganya na mayai ya kuku yatahatamiwa na kutotolewa,je kati ya vifaranga wa kware na kuku kutakuwa na social bond?
Ng'ombe na binadamu wote wanazaa. Ulichoeleza hakionyeshi faida za kuzaa dhidi ya kutaga.Achilia mbali kuzaliwa.
Mwanaadamu ndiye kiumbe ambaye anachua muda mrefu zaidi kukua baada ya kuzaliwa ukilinganisha na viumbe wengine.
Mfano ng'ombe akizaliwa tu siku hiyohiyo atatembea kufuata maziwa ya make na kunyonya.
Ila mwanaadamu anazaliwa akiwa hajitambui na wala hakuna lolote analoweza kijifanyia, na inamchukua kipindiki kirefu mpaka aje kusimama mwenyewe....
Sasa kama unaakili utayatazama haya kwa mazingatio na kuona jinsi ulivyokuwa dhaifu na utarudi kuwa dhaifu.
Hivyo ndivyo mola wako alivyokuumba ili upate mazingatio.
Point yangu ipo juu hapo post #78Ng'ombe na binadamu wote wanazaa. Ulichoeleza hakionyeshi faida za kuzaa dhidi ya kutaga.
Ndege sio mabaki ya dinosaurs ila wame evolve from reptiles (dinosaurs wakiwemo) kama sie tulivyo evolve from birdsWalikuwa wanataga. Maana inasemwa hawa ndege wa leo ni mabaki ya Dinosaurs.
Aisee
Kichwa Cha Familia hiki
Baba kaenda kutafuta.
Au wanaona upo busy na simu sebuleni wanasema baba atakua anachat na madalali wa nyanya Ilula.
Evolution ya cns ni tofauti na reproduction evolutionKitu pekee naona ni kuwa wanyama wanaozaa wanaakili kuliko wanaototolewa. Je ukuaji wa akili ndiyo umefanya wengine wazae na wengine watage?
Mamba huwa wakubwa kuliko binadamu lakini wanataga mayai. Kwa mantiki hiyo mayai ya binadamu yangekuwa madogo kuliko ya mamba. Huo ingekuwa rahisi kupitisha mayai kuliko mtoto mdogo?Kwa viumbe wote wanaotaga, huwa yai linapotagwa halikui nje ya mwili wa kiumbe husika, Bali linakulia ndani katika size maalumu Kisha linakuja kudevelop nje baada ya kutagwa na kutoa kifaranga, na ukubwa wa kifaranga unategemea na ukubwa wa yai.
Sasa tukija kwa mwanaadamu yaani atage yai ambalo ndani yake atoke kichanga kwa ukubwa huu tunaoufahamu, huoni hiyo kazi ngumu zaidi ya hiyo ya kuzaa?
Maana kiungo kikubwa kwa kichanga huwa ni kichwa sasa imagine mwili wote wa kichanga uwe ndani ya yai halafu alitage!!!
Labda utasema mayai yawe madogo, maana yake ukubwa wake usizidi ukubwa wa kichwa cha kichanga anapozaliwa(maana ndio upana ambao uke anaweza kitanuka), sasa hivyo vichanga vitakuwa na ukubwa gani?
Hukufikiria
Kwenye evolution sisi hatuhusiani na ndege. Na sayqnsi inasema descendants wa Dinosours leo ni ndege.Ndege sio mabaki ya dinosaurs ila wame evolve from reptiles (dinosaurs wakiwemo) kama sie tulivyo evolve from birds
Tunahusiana na nani,,?? Tuna lineage ile ile ya from fish hadi kuwa mamalsKwenye evolution sisi hatuhusiani na ndege. Na sayqnsi inasema descendants wa Dinosours leo ni ndege.
Tuna share 60% of genes na birds[emoji41]Kwenye evolution sisi hatuhusiani na ndege. Na sayqnsi inasema descendants wa Dinosours leo ni ndege.
Mbona hata wewe unataga vizuri tuu, haunyi?Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa! Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Kwenye top ten ya wanyama wenye akili wanaotaga wapo wawili. Kwenye top five hakuna anayetaga. Hakuna uhusiano wa kuzaa na CNS development?Evolution ya cns ni tofauti na reproduction evolution
Kwa evolution tuna common ancestor lakini si binadamu kutoka kwa ndege(aves)Tunahusiana na nani,,?? Tuna lineage ile ile ya from fish hadi kuwa mamals
Sababu ya common ancestor.Tuna share 60% of genes na birds[emoji41]