Inawezekana watu wanatumia uzoefu wa misiba mingine punde ilipotokea hali ilikuwaje na wanaona mambo yanaenda tofauti kwa mzee wetu ukizingatia leo ni siku ys tatu.
Watu wanampa rais nguvu asizokuwa nazo. Vivyo hivyo kwa chama na serikali.
Profesa Sarungi mtu wa watu, kaishi na watu vizuri, ana familia kubwa.
Mfano asipotokea mtu yeyote wa serikali wala chama kumzika, yeye Profesa atapungukiwa nini? Familia yake itapungukiwa nimi?
Kwa nini tunaifanya serikali na rais kama ni vitu gulani vyenye umuhimu ambao havina?
Mbona hatusemi uongozi wa Simba haujatokea kumzika Mzee wao aliyekuwa shabiki mkubwa sana wa Simba?
Kwangu mimi uwepo wa Simba kwenye msiba ni muhimu kuliko uwepo wa serikali.
From Mo Dewji.
"Mohammed Dewji
Owner & President | MeTL Group
Tanzania has lost an exceptional leader, and I have lost a dear friend. Professor Philemon Sarungi was not only a distinguished surgeon and statesman but also a devoted member of the Simba Sports Club family.
His passion for the club ran deep—he was a loyal supporter who championed Simba’s growth and success. As the Director-General of Muhimbili National Hospital, he ensured that Simba players received the best medical care whenever they needed treatment, always looking after their well-being. His dedication to the club was above and beyond—he truly cared for the players, their welfare, and the club’s legacy. His dedication was recognized when I had the honor of presenting him with the Simba Lifetime Achievement Award, a well-deserved tribute to his lasting impact on the club.
Beyond football, Prof. Sarungi was a towering figure in Tanzania’s healthcare and public service sectors. A highly skilled surgeon and educator, he shaped the country’s medical field and later served in key ministerial roles, including Health, Education, Transport, and Defense. His contributions to the nation were profound, leaving a legacy of excellence, leadership, and service.
His loss is deeply felt, but his influence will live on. May his soul rest in eternal peace 🙏🏽"