Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HatersChadema ni chama Cha misala na hekaheka za kesi so wanadhani Wakiwa na Wafuasi wengi mawakili watawasaidia kwenye kesi zao zisizoisha 🤣🤣
Vingine mawakili hawawezi kuwasaidia kuingia Ikulu
Hilo ndilo jibu sahihi linalokufaa kwa level yako.Ungejibu tuu. Kutukana kîla Mtu anajua
Mimi sijawahi ona wanasheria wa ccm wakishinda kesi.1. Kwa nini wawe na Kesi?
2. Kwa nini mara Kwa mara CHADEMA inashinda Kesi Mahakamani?
Serikali haioni kama kama Siku za mbeleni ikikosa uungwaji mkono na Chama muhimu cha wanasheria itapata Hasara katika uendeshaji WA nchi, ukizingatia nchi inaongozwa na Sheria?
Vipi mikataba mibovu
Maisha ni kula na kufurahi. Msimamo wako mkali huku unaomba buku kwa washikaji uende mahakamani ni Upumbavu
Haki ni pamoja na kutetea raia, rasilimali za nchi n.k, Malisa ni CHADEMA anachangisha pesa watu wanatibiwa bila kujali vyama ama dini zao, alipokamatwa Olesabaya CHADEMA walishinikizwa apelekwe mahakamani kama sheria inataka. Lisu amesaidia watu wangapi nchi hii bila kujali vyama vyao?CHADEMA waliwahi kutenda Haki Wapi Mkûu?
Mkuu mbona una hasira zana kama mbogo wewe ndio Nkuba?Hilo ndilo jibu sahihi linalokufaa kwa level yako.
Sisi wakristo tumeambiwa kwenye biblia Mjibu mpumbavu kwa kadili ya upumbavu wake
CCM wanapenda rushwaMimi sijawahi ona wanasheria wa ccm wakishinda kesi.
Sijui wao walisomea wapi hao akina Venus Star
Mambo yote tunahangaika kwa ajili ya kujaza tumbo.Yaani wewe huwezi kuwaza jambo lolote nje ya kujaza tumbo?.
Huo ni umaskini mbaya sana.
CCM ni chama cha majangili tupu1. Kwa nini wawe na Kesi?
2. Kwa nini mara Kwa mara CHADEMA inashinda Kesi Mahakamani?
Serikali haioni kama kama Siku za mbeleni ikikosa uungwaji mkono na Chama muhimu cha wanasheria itapata Hasara katika uendeshaji WA nchi, ukizingatia nchi inaongozwa na Sheria?
Vipi mikataba mibovu
Mimi sijawahi ona wanasheria wa ccm wakishinda kesi.
Sijui wao walisomea wapi hao akina Venus Star
Kuandika maandiko ya kwenye biblia ni hasira? 😀 😀 😀 😀 Mungu wangu!!Mkuu mbona una hasira zana kama mbogo wewe ndio Nkuba?
CCM ni chama cha majangili tupu
Mkuu una njaa sana si ajabu leo.umeamka na hasira kali.Mambo yote tunahangaika kwa ajili ya kujaza tumbo.
Kama unafanya jambl halikusaidii kujaza tumbo achana nalo.
Unless other wise dishi limeyumba.
PerfectJibu sahihi,
Jamii kubwa ya Chadema wanajitambua sawasawa na Jamii ya wanasheria. Ndege wafananao huruka pamoja.
99% ni majangili tupu ya mali za umma, taja kiongozi wa CCM hata mmoja mwadilifuSiamini kama watakuwa wôte majangili. Ila ukisema wengi waô ninaweza kukubali
Hilo ndilo jibu sahihi linalokufaa kwa level yako.
Sisi wakristo tumeambiwa kwenye biblia Mjibu mpumbavu kwa kadili ya upumbavu wake
Watu wamechoshwa na ufisadi wa CCMJibu sahihi,
Jamii kubwa ya Chadema wanajitambua sawasawa na Jamii ya wanasheria. Ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa hiyo tumeacha kuongelea mada unaanza kunijadili mimi?Mkuu una njaa sana si ajabu leo.umeamka na hasira kali.
Pambana ulipe madeni kaka nafsi yako itulie, inaonekana una msongo wa mawazo
Chadema imejipambanua kwa sifa njema. Anayeikataa chadema ni yule tu mpenzi wa mambo ya giza mambo ya Sheitwan laanaturahHaki ni pamoja na kutetea raia, rasilimali za nchi n.k, Malisa ni CHADEMA anachangisha pesa watu wanatibiwa bila kujali vyama ama dini zao, alipokamatwa Olesabaya CHADEMA walishinikizwa apelekwe mahakamani kama sheria inataka. Lisu amesaidia watu wangapi nchi hii bila kujali vyama vyao?