Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Ndio maana humu wamesema ficha upumbavu wako. Onesha hekima.😊
Kwako kwako Tusi NI nini?
Tusi NI Sifa mbaya.
Umeniita Mpumbavu Wala sijakukasirika😃 Sasa Mimi kuuliza Kile kichaa chako kama kimepona ñàona unapandisha Sukari Mkûu 😊
Wanapenda machafuko ya kisiasa wapate kesi za kutetea na kuchangisha nyumbu.Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Lusinde Mbunge, Kibatala Dalali.Unalinganisha Lusinde na Kibatala
Hata kwenye utawala wa Jiwe tulisubiri sana mwisho siku ilifika.Hiyo siku ni lini mkuu?
Alipo kufa ulipata nini? Mbona bado unalalama tu? 😀 😀 😀Hata kwenye utawala wa Jiwe tulisubiri sana ila siku ikafika.
Sawa! Nimefundishwa na mwalimu wangu wa Legal method namna ya ku reason ngoja ninyamazeLusinde Mbunge, Kibatala Dalali.
Kuna waliopata sio lazima uwe wewe, mfano Samia aliyeokota embe chini ya mnazi.Alipo kufa ulipata nini? Mbona bado unalalama tu? 😀 😀 😀
Kweli nyamaza maana hujui:Sawa! Nimefundishwa na mwalimu wangu wa Legal method namna ya ku reason ngoja ninyamaze
Tunakuulize wewe ulipata nini? Maana mpaka leo bado unalalamika tu. Na CCM bado ipo madarakani.Kuna waliopata sio lazima uwe wewe
Kwani mwabukusi ni chadomo?Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Huwezi kujua nilichopata ila Samia alipataTunakuulize wewe ulipata nini? Maana mpaka leo bado unalalamika tu. Na CCM bado ipo madarakani.
Wanapenda machafuko ya kisiasa wapate kesi za kutetea na kuchangisha nyumbu.
Hii ni conclusion unayotoa. Then, ili uweze kueleweka zaidi, onyesha grounds au premises zilizokufanya ufikie conclusion kwamba Chadema inaushawishi TLS. Mimi sioni hivyo. Ninachoona mimi ni kwamba Chadema ni miongoni mwa wale wanaotaka mabadiliko ili tuweze kuendelea mbele zaidi na kufikia Ile ndoto ya Nyerere 'ili tuendelee tunahitaji ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora'. Asiyetaka haya sijui anataka nini.Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Ndio maana humu wamesema ficha upumbavu wako. Onesha hekima.
Tusi ni kutaja vitu au maneno ya aibu kwenye jamii.
Hii ni conclusion unayotoa. Then, ili uweze kueleweka zaidi, onyesha grounds au premises zilizokufanya ufikie conclusion kwamba Chadema inaushawishi TLS. Mimi sioni hivyo. Ninachoona mimi ni kwamba Chadema ni miongoni mwa wale wanaotaka mabadiliko ili tuweze kuendelea mbele zaidi na kufikia Ile ndoto ya Nyerere 'ili tuendelee tunahitaji ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora'. Asiyetaka haya sijui anataka nini.
Halafu utegemee bandari isiuzwe kwa waarabu
Kwani mwabukusi ni chadomo?
Samia ni CCM pia na anaendekea miradi ya mtanguliz wakeHuwezi kujua nilichopata ila Samia alipata
Halafu utegemee bandari isiuzwe kwa waarabu