Kwanini CHADEMA wanaonekana wa muhimu kuliko vyama vingine awamu ya sita?

Sahihi
 
records keeping
 
Bw Mbowe amesema kuwa: "kauli za rais, Mama Samia Suluhu Hassan zinatuchanganya na anapaswa kulijua hili. Anapoongea nia yake ya kuenzi sera, mipango na tabia ya Magufuli, taifa linasinyaa na kuhuzunika
🤣🤣🤣kweli
 
Mangula alikuwa katikati ya washamba wa madaraka... Asingeweza kushauri chochote. Alipojaribu alipewa nyongo ya mamba!!
Duuh. Naskia Nyongo ya Mamba ikimwagwa kwenye Bahari Samaki wote kwishney.
 
Toka maktaba :

28 November 2019


Mahojiano na Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki Tanzania

2.4M views · 2 years ago
 
18 May 2022

Kada wa CCM Stephen Wassira akubali kuwa CHADEMA sasa ndiyo imefunika habari zote


Mzee Stephen Masatu Wassira asema shughuli zozote zinazohusu CHADEMA huwa zinafunika matukio makubwa yote nchini iwe mkutano wa Dodoma wa Kituo cha Demokrasia TCD wa wadau wa siasa n.k .....
 

Unatumia neno kuonekana chama kikiwa na wanachama zaidi ya 10M sio kuonekana ni hali halisi
 
Ukweli mtupu. Zile siasa za huko nyuma ni hayawani tu anaweza kuzifurahia. Dunia tunapita tutende yanayofaidisha jamii
Kuna wajinga wanazipigia debe. Siasa za kubomoleana majengo ya biashara, kuharibiana mashamba, kupigana risasi, kuwekana magerezani kwa kesi uchwara, zilikuwa ni uwendawazimu kama ule wa makaburu dhidi ya weusi kule Afrika Kusini.

Shukrani kwa Mungu tumepita huko.
 
Huenda walikula njama kwa pamoja kunaniliu kisha wanajifanyia tathimini wenyewe kwanza katika mafanikio kabla ya kukaribisha wageni baada ya mechi kuisha....whenever you spare your rod, you definitely spoil the child from toddler stage to maturity level.

Mashambulizi aliyokuwa akikabiliwa JPM wakati wa uhai wake kwa kutumia taarifa sahihi za ndani zilitoka kwa waliomzunguka mwenyewe ama alikuwa anajua au alipumbazwa na utii feki waliouonesha kwake huku wakimtafuna idogo kidogo ila kwa kasi sana kama kansa (cancer is a silent killer disease)

Any politician is a number one adverse criminal killing his own people with the pretext of empathy!!!
 
Kama wengine wanajirudisha nyuma, hawawezi kulazimishwa...
 
Vitaungana vyote pale muda wa HAKI na KWELI itakaposhika hatamu, Si vyama vidogo vya upinzani pekee, Bali hata CCM itaficha makucha. Na AMANI itatawala. Amen
 
Siasa sio lazima kupinga hovyo na kuandamana kila kukicha, ustaarabu na busara ndivyo vinavyoziongoza siasa makini zenye muelekeo mwema kwa nchi.
 
Zito anaumia sana
 
Comment makini sana hii. Wewe ni great thinker mkuu[emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544]
Mawazo ya kawaida sana hayo ya huyo muungwana, anawaza kwamba mwanasiasa makini wa upinzani ni yule mwepesi wa kupinga na kususa.

Tunakubaliana kutokukubaliana hiyo ni sifa ya chama makini cha siasa, kutofautiana kwetu ndio nguvu yetu inapokuwa.
 
Mtajuana wenyewe bwana. Sisi watanzania wa kawaida hayatuhusu.
 
Mawazo ya kawaida sana hayo ya huyo muungwana, anawaza kwamba mwanasiasa makini wa upinzani ni yule mwepesi wa kupinga na kususa.

Tunakubaliana kutokukubaliana hiyo ni sifa ya chama makini cha siasa, kutofautiana kwetu ndio nguvu yetu inapokuwa.
Sahihi ndio maana tulishangaa awamu iliyopita ukiwa mpinzani basi ulistahili kutoishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…