Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

sisi kama wasukuma tunawubiri 2025 kama kawaida kampeni ni kisukuma tu, ili Sukuma gang ieleweke vizuri
 
Usifikiri Wasukuma ni wajinga hawaelewi huu mchezo wako wa kijinga kutaka kutumia kabila lao kwa malengo yako ya kipumbavu. Humpati mtu utabaki na hao wajinga wajinga wenzako masalia ya yule Mhutu dhalim.
Jamani kuuliza swali unaanza kubwatuka hivi. Kama hujui jawabu lake waache wenzako CHADEMA wanajawabu lake.
 
Kama siyo jamii nzima ya wasukuma ni jamii ipi ya wasukuma? Na kwanini sasa mfanye hivyo. Huoni kuwa mnawachafua wasukuma kwa ujumla wao? Je, nyie CHADEMA wasukuma wamewakosea nini?

Kwasababu Mbowe ni mchaga tuwaite Chaga gang mtafurahi?

..ukisema ITALIAN MAFIA walengwa sio Waitaliano wote.

..vivyo hivyo SukumaGang walengwa sio Wasukuma wote.

..pia ChagaGang haimaanishi Wachaga wote.

..MsogaGang haimaanishi kila mtu anayeishi au anayetokea Msoga.
 
..ukisema ITALIAN MAFIA walengwa sio Waitaliano wote...
Sasa hizo gang zingine hazipo. Umeziweka wewe.

Hapa tunaongelea jambo ambalo lipo. Tena jambo hilo ni ovu na la kutubagua watanzania.

Tunaongelea mnapo waita wasukuma kuwa sukuma gang maana yake ni nini? CHADEMA nipeni jawabu.
 
Sasa hizo gang zingine hazipo. Umeziweka wewe. Hapa tunaongelea jambo ambalo lipo. Tena jambo hilo ni ovu na la kutubagua watanzania.

Tunaongelea mnapo waita wasukuma kuwa sukuma gang maana yake ni nini? CHADEMA nipeni jawabu.

..wabaguzi ni hao SukumaGang waliokuwa wakifanya siasa za kikabila bila haya mpaka wanahutubia kwa kilugha ktk sherehe za uhuru wa Tanganyika.
 
..wabaguzi ni hao SukumaGang waliokuwa wakifanya siasa za kikabila bila haya mpaka wanahutubia kwa kilugha ktk sherehe za uhuru wa Tanganyika.
Kwahiyo ndio sababu yenu kuanza kuwaita wasukuma kuwa ni kundi la harifu? Nyie CHADEMA, mnatafuta sababu za kuwachafua wasukuma. Sababu zenu ni mfu kabisa.
 
Mods mna ushirika na CCM kuigombanisha Chadema na Wasukuma.

Asubuhi kuna mshirika wenu mwingine alianzisha uzi wa kuigombanisha Chadema na KKKT.

Nina uhakika mnazisoma na mnajua kabisa kuwa huu ni uchochezi lakini kwa kuwa inayohujumiwa ni Chadema mumeuchuna tu,this is not fair
 
View attachment 2486388
Yaani mnawaita wasukuma group of criminals?
It has more just one meaning, lakini kwangu binafsi Sukuma gang ni kikundi cha criminals na mifano ni Sabaya, Bashite, wale waliommiminia risasi Lissu, wewe mwenyewe unayelalamika hapa JF pamoja na kundi lote la wasiojulikana.
 
It has more just one meaning, lakini kwangu binafsi Sukuma gang ni kikundi cha criminals na mifano ni Sabaya, Bashite, wale waliommiminia risasi Lissu, wewe mwenyewe unayelalamika hapa JF pamoja na kundi lote la wasiojulikana.
Hiyo mifano haiondoi maana ya walengwa kuwa walikuwa ni wasukuma. Yaani wasukuma wasipate mafasi yoyote ya kazi maana mmeshawati kuwa ni majambazi.

Inauma sana kuanza kuwabagua watanzania kwa makabila yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…