Demokrasia inategemea kwa kiasi kikubwa factors 3 zifuatazo hili iweze kuleta positive impacts
1). Historia na asili ya watu wa jamii husika, kwa watu ambao wamezoea kutawaliwa kwa mtindo wa kifalme, mfano kama waarabu leo hii ukiwapelekea demokrasia hawawezi kuwa katika chain ile ile ya maendeleo, lazima watayumba.
2). Ufahamu/elimu na ethics, hili hiyo demokrasia yako iwe applicable kwa urahisi ni lazima watu wawe na ufahamu wa kutosha na pia vile vile watakaochaguliwa wawe na Nia ya dhati, Sasa kwa afrika hapa ni raia wangapi wanaojua demokrasia ni kitu gani? Na viongozi wangapi waadilifu tulionao?
3).Uchumi wa jamii husika, demokrasia Ina thrive kwenye jamii ambayo tayari wameshafika level Fulani hivi ya kiuchumi, yaani hawana Tena njaa, Sasa hapa kwetu kwanzia wapiga kura tu wenyewe Wana njaa kama nini wanajua kabisa kiongozi Fulani ni fisadi lakini wakihongwa hela ya chumvi tu wanaenda kumpigia kura huyo huyo.. Sasa hapo maendeleo yataletwa na hiyo demokrasia saa ngapi??
Kimsingi Demokrasia sio main indicator ya utawala Bora, na neno utawala Bora likoo too subjective.
Nachoona Wewe Bado umekalili terminologies za Civics ya Form Two na umekuwa nazo mpaka leo hii, hujataka kabisa hata ku-unlearn hili kupata uhalisia na undani wa hicho ulichofundishwa huko shuleni.