Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Sijajua watu wanafukua wapi hela, Kila siku huku Dar Nakutana Na land cruiser v8 zenye condition nzuri tena Gari binafsi zenye Plate number D, najiuliza na hii mishahara midogo ya taasisi za kibongo ya laki 8 kwa mwezi, watu wanawezaje miliki Na ku-maintain gari ya Tshs million 80 - million 200 plus?
Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na Tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?
Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na Tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?