MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Dar ni kitovu cha biashara, asilimia 90 ya shughuli zote ni za watu binafsi. Kuna watanzania zaidi ya 200,000 wenye zaidi ya 1m USDollars, yaani bilioni 2.3. Hivyo basi hata number ya V8 haitoshi, wengi ni mabahili.