Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

Sijajua watu wanafukua wapi hela, Kila cku huku dar Nakutana Na land cruiser v8 zenye condition nzuri tena Gari binafsi zenye Plate number d, najiuliza na hii mishahara midogo ya taasisi za kibongo ya laki 8 kwa mwezi, watu wanawezaje miliki Na ku-maintain gari ya Tshs million 80 - million 200 plus?

Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?
Bro kuna watu wanalipwa mshahara zaidi ya mbunge wataachaje kumiliki magari kama hayo
 
Mtuache na V8 zetu na defender zetu..

Nyie mnazijua viiiieieee..[emoji318][emoji318]
 
Viongozi wote wa CCM wana V8 unajua Dar kuna viongozi wangapi wa CCM sasa hivi?
images (56).jpeg
 
Sijajua watu wanafukua wapi hela, Kila cku huku dar Nakutana Na land cruiser v8 zenye condition nzuri tena Gari binafsi zenye Plate number d, najiuliza na hii mishahara midogo ya taasisi za kibongo ya laki 8 kwa mwezi, watu wanawezaje miliki Na ku-maintain gari ya Tshs million 80 - million 200 plus?

Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?
Kwa akili yako ndogo ,kweli kwa Dar hilo ni jambo la kushangaza? Wakazi zaidi ya mil.5?

Pili kwa Dar sidhani kama wanaomiliki hayo magari wengi wao ni wafanyabiashara sio wafanyakazi japo nao wapo.

Huku mikoani nako wapo ila sio wengi na ni wafanyabiashara sio watumishi.
 
Bongo watu wana hela mzee wa kazi kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake..Ukiwa mtu wa kuweka rohoni yale unayoyaona Dar kila siku utaumia moyo wako cha msingi ridhika na ulichonacho

View attachment 2051683
Sio tuu magari, mimi huwa nikiona Mji ulivyojaa maghorofa halafu almost 90% ni ya watu binafsi hapo ndio huwa naona mikoani tunasindikiza maisha, so huwa sipendi kuja Dar.
 
Dar ni kitovu cha biashara, asilimia 90 ya shughuli zote ni za watu binafsi. Kuna watanzania zaidi ya 200,000 wenye zaidi ya 1m USDollars, yaani bilioni 2.3. Hivyo basi ata number ya V8 haitoshi, wengi ni mabahili.
Mkuu hata Africa nzima wenye $1m na kuendelea hawafiki 200,000. Tanzania wako kama 5,000 hivi.
 
Mkuu hata Africa nzima wenye $1m na kuendelea hawafiki 200,000. Tz wako kama 5,000 hivi.
Bro, means $1M kwa hapa Tanzania hawafiki hata laki moja??
Wachache hivyo, mbona naona idadi yako ndogo sana.

Japo sina mkwanja huo, ila naona madon wengi wapo ila kimya kimya wanakula mema ya nchi.
 
Back
Top Bottom