Village fooler
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 706
- 1,425
Nikipata pesa nitanunua v8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah endelea kusafirisha mirungi ila ukinaswa hutoboi!Mawazo ya kimaskini haya achana nayo
Akili za kimaskini na wivu. Yule jamaa aliwajaza sana ujinga. Tafuta pesa acha makasirikoBiashara haramu zmierudi kwa spidi ya ajabu ukifuatilia sana utakuta kuna dili chafu wanafanya, wapigaji wamerudi kwa kasi ya ajabu awamu hii…
But why massawe jamani[emoji23][emoji23]Prado yako Massawe usifananishe na huyo “Kakadu” mzee baba! Hio prado ya 1999 ndio ilikuwa na huo uhuni wa kuchomoka ball joint.
Mtu uwezo wake kununua prado massawe 3rd hand halafu anaipondea “KAKADU”
Hayo matatizo ni prado zile za zamani, zile prado mchaga!Hakuna gari hapo. Haitulii barabarani, ugonjwa wa kuchomoka tairi ukiwa speed kubwa. Prado ni [emoji706][emoji706][emoji706] sitaki hata kusikia hizo gari.
Ni lini nchi hii biashara haramu iliisha? acha kudanganya watuBiashara haramu zmierudi kwa spidi ya ajabu ukifuatilia sana utakuta kuna dili chafu wanafanya, wapigaji wamerudi kwa kasi ya ajabu awamu hii…
Hahahahaha muite hata sanga basiMtu uwezo wake kununua prado massawe 3rd hand halafu anaipondea “KAKADU”
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah unataka kumvuta “KAKADU” mjini [emoji28] wakati huo kutakuwa kuna kitu kinaitwa Toyota Bz4 hio itakuwa ni ndoto ya watu wengi maana ni kama Tesla kutoka Toyota.
Watakwenda Fully electric na wamejipanga mpaka kufikia 2030 waache production ya ICE cars! Zitakuwepo zile hydrogen cars ila kwa sie wa soko la mtumba tutaendelea kumenya tu gari zilizope scrape yard za Japan.
Hahahah gari za 1999 nyingi zina Alias ya Massawe sababu kimsingi huwezi kumkosa nayo hio gari huyo Massawe!
Mifisiemu hiyoNi lini nchi hii biashara haramu iliisha? acha kudanganya watu
hahaha Ili upime Kwamba wabongo Wana Hela wewe utaona wanavyolalamika Hali mbaya ila huwezi kuona wamelala njaa,au watoto zao wamekonda Kwa utapia mlo,hawana mavazi nkHahahahah mzungu alicheleweshwa sana huyo😅!
Huku watu wanajenga majengo mpaka ya billion 3 kwa pesa zao binafsi hawaombi hata sh.100 kwa mtu! Kuna watu ni mafogo yani sema wako Low Key kichizi hutakaa ujue yani.
Ambao ni maskini ni kundi kubwa ila liko maeneo ya vijijini sio rahisi kwa wao kusikika maana wanakuwa covered na wenye kipato cha kati na cha juu. Mijini humu asilimia kubwa watu wana Mawe😅
Hajawahi kuipanda hata ile TRJ120 tu! Wanaita Prado Diamond ile... Apple lake sio mchezo iko very comfortable yani. Hii KAKADU na maboresho yaliofanyika itakuwa bora zaidi pasi na shaka.Hayo matatizo ni prado zile za zamani, zile prado mchaga!
Ila hizi ni za sasa ni balaa
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Keko kila ijumaa kuna party na watu wamekula sare za vijorahahaha Ili upime Kwamba wabongo Wana Hela wewe utaona wanavyolalamika Hali mbaya ila huwezi kuona wamelala njaa,au watoto zao wamekonda Kwa utapia mlo,hawana mavazi nk
Yaani Ili ujue wabongo jau nenda uswazi wanaishi Kwenye slums ila matumizi wanayotumia ni ghali Sana imagine kina mwajuma Kila siku hawakosi shughuli na Hela ya vijora ipo na party ya uswazi Ina menu grade one vyuku na pilau Hapo makreti ya Bia kama 5 hivi,
Sasa hua najiuliza wabongo wanapata wapi pesa za anasa?
Jibu ni Kwamba ni wapambanaji na pesa ipo ila uswahili tu!
Wivu gani hapo wewe mke wa muuza madawa ya kulevya, huna taarifa ya kwamba wizi, ujanja na biashara haramu zimeongezeka sana kwa miezi ya hivi karibuni…Akili za kimaskini na wivu. Yule jamaa aliwajaza sana ujinga. Tafuta pesa acha makasiriko
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Utajiri ni mchanganyiko wa mambo mengi mkuu, positive mindset, determination, capital, risking. Kwenye capital ndio kuna mgawanyiko hapo; human capital na financial capital!Watz hatuna tu macho.Niliwaambia classmates zangu tukiwa shuleni ambao wengi sasa wapo USA,UK,Nk wakiwa wamechukua uraia wa huko kabisa kwamba Mimi siwezi nikaondoka tza nikaacha utajiri wote huu.Usipotajirika Tza huwezi tajirika popote
Na rafiki zangu wa Thailand na Srilanka wao ni ndege ni kama uber wanakaa tza wanakusanya madini vijijini wanajaza hao kwao wiki wanarudi wanakaa mwezi tza mzigo ukijaa hao kwao.
Tza ni shambani wanayapeleka madini kwao kuyaongeza thamani kisha wanauza ulaya kwa pesa ndefu.
Usipotajirika TANZANIA utakuwa masikini milele
Nature ya Waafrika wote inatokana na kabila la Wagogo.Matajiri wa taifa hili wengi wanakaa dar mkuu
hatari Sana kiufupi bongo Hela ipo ya kutosha imetulia inakungoja ni ujanja wako tu hapa mjini huwezi kosa Hela wewe kusanya mawe Yako Tani 5 Kwa kuokoteza halafu tangaza nauza mawe hapa huwezi kosa wateja katu,Kila kitu ni biashara bongo Hadi Dini yaani wewe huoni kina shila eti nao ni manabii na Wanakusanya sadaka mpaka 1million per Sunday😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Keko kila ijumaa kuna party na watu wamekula sare za vijora