Utajiri ni mchanganyiko wa mambo mengi mkuu, positive mindset, determination, capital, risking. Kwenye capital ndio kuna mgawanyiko hapo; human capital na financial capital!
Ndani ya human capital kuna swala linaitwa connections. Askari,Wanajeshi,Matajiri,Wakurugenzi na zaidi ya hao.
Financial capital ndio pesa yenyewe sasa. Hapa ni hela ama cash money.Ukisikia pesa inaleta pesa ndio hivyo sasa usidanganyike na vitabu vya rich dad poor dad utachelewa maisha ni real sio story.
Ukivikosa hivyo ama ukawa huna access navyo jua utaendelea kuwa kapuku tu. Utajiri hauji kama hauna hivyo vitu hapo. Labda urithishwe mali kama Mo Dewji!