Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

Mkuu yangu ni ya 2010 na nimeuza maana iliwahi nitokea hiyo ishu mara 2, mara ya kwanza Naelekea Dodoma, na Mara ya Pili naelekea Mtwara. SINA HAMU NAYO. Sijui shida ni nini au kwakuwa sio mtaalam wa magari ila PRADO TX hapana.
Mhhh lazima uliuziwa mbovu. Hakuna gari comfortable kama Prado za kuanzia mwaka 2000.
 
Watz hatuna tu macho.Niliwaambia classmates zangu tukiwa shuleni ambao wengi sasa wapo USA,UK,Nk wakiwa wamechukua uraia wa huko kabisa kwamba Mimi siwezi nikaondoka tza nikaacha utajiri wote huu.Usipotajirika Tza huwezi tajirika popote
Na rafiki zangu wa Thailand na Srilanka wao ni ndege ni kama uber wanakaa tza wanakusanya madini vijijini wanajaza hao kwao wiki wanarudi wanakaa mwezi tza mzigo ukijaa hao kwao.
Tza ni shambani wanayapeleka madini kwao kuyaongeza thamani kisha wanauza ulaya kwa pesa ndefu.
Usipotajirika TANZANIA utakuwa masikini milele
Nipe mchongo man na mm napiga hizi mbishe ila sijatoka tuu
 
Embu iweke vizur hiki kipande,ni nan alikuwa na houseboy shoga?

"Halafu zipo pia za mchongo refer kesi ya sabaya ile aliinunua kwa mwarabu 60mill mpaka ikaja kujulikanika kwamba jamaa alikuwa na houseboy shoga."



Gusa link hiyo mkuu utaikuta hiyo habari ya sabaya kuishi na shoga,chini screenshot na link utakutana na V8 ya mill 60

·

Screenshot_20211221-115916.jpg
 
Sasa Mjomba Kama bongo Maisha Ni marahisi hivi kwanini wewe usifanye huo mchongo mpk ukawa unatafuta kazi ya kua mchanganya cocktail huko mahotelini mkuu?
Sasa mkuu wangu wa kupuliza nikipata mchongo wa kuchanganya koktal unadhani nitalala njaa?
Najua Mimi nikishapata huo mchongo nitaweza endesha maisha na kutengeneza chanel nyingine huko huko
Halafu kingine tupe heshima yetu wachanganya koktal tushatoa watu wa kada Mbali Mbali Hadi Marais na matajiri wakubwa kumbuka Joseph Kabila kabla hajaenda Kongo kua Rais alikua mchanganya koktal Kwenye hotels hapa bongo,Tuna heshima yetu piga salute Kwa Rais na Dj Andy Rajoelina kutoka pale Antananarivo Madagascar
Note: Sina mke,Wala mchumba Sina majukumu makubwa ya kunifanya niwe na matumizi makubwa ya fedha imagine nikipiga deals zangu nikamake 8k per month na tip za hapa na pale nitakua sipo Kwenye kundi la wanyonge according to me!
Did you get me!
You know!
😁😁😁😁
 
Sasa mkuu wangu wa kupuliza nikipata mchongo wa kuchanganya koktal unadhani nitalala njaa?
Najua Mimi nikishapata huo mchongo nitaweza endesha maisha na kutengeneza chanel nyingine huko huko
Note: Sina mke,Wala mchumba Sina majukumu makubwa ya kunifanya niwe na matumizi makubwa ya fedha imagine nikipiga deals zangu nikamake 8k per month na tip za hapa na pale nitakua sipo Kwenye kundi la wanyonge according to me!
Did you get me!
You know!
😁😁😁😁
Hahah nimekusoma mkuu,no pun intended.All the best mkuu.
 
Ukiwa mjini unaweza hisi matajir ni wengi kuliko maskini
 
Ndo maana baada ya UHURU wakafata sera za ujamaa na ujamaa ukazaa udikteta.
Ujamaa na udikteta ni pacha Ili kuwadhibiti watawaliwa.
Thus awataki katiba mpya itawabana kuwatawala wananchi.
Afrika kuna watawala wenzetu hawana watawala Wana viongozi.
Thus huwezi kuta wanachezea kodi za wananchi.Watawala wa kiafrica baada ya kuzibomoa nchi zao wakawapropanda waafrika eti matatizo ya afrika yamesababishwa na wazungu lengo kuu ni kujificha na lawama ya aibu ya kudai UHURU kwa Mbwembe huku wakiwananga wakoloni baada ya UHURU tutakuwa mbali zaidi,wakaprovu failure mbaya sana mara mia ya mkoloni mwenyewe.Check mugabe,savimbi,banda nk ni wasomi wakubwa tu level ya phd wakazitumia vibaya phd zao kuzibomoa nchi zao zilizojengwa vizuri na wakoloni.
Always African leaders dies in foreign hospital hii ni shame sababu awaboreshi mifumo ya Afya ya nchi zao checkup na matibabu nje.
Hata mwendakuzimu alifia nje.
Nje wapi mkuu??
 
Sijajua watu wanafukua wapi hela, Kila cku huku dar Nakutana Na land cruiser v8 zenye condition nzuri tena Gari binafsi zenye Plate number d, najiuliza na hii mishahara midogo ya taasisi za kibongo ya laki 8 kwa mwezi, watu wanawezaje miliki Na ku-maintain gari ya Tshs million 80 - million 200 plus?

Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?
Tumekuja mapumziko ya Krismass na mwisho wa mwaka hapa mjini. Sikukuu zikiisha tunarudi zetu shamba.
 
3.Export,yaani kucheza na soko la India, China na Kenya kujua wanataka nini.India na China population zao ni kubwa sana na wanahitaji Sana vitu vingi toka TANZANIA uwe mtundu tu wa kusaka taarifa kwenye mitandao.
Wakenya wanaitumia Sana fursa hio kupitia TANZANIA Shamba la bibi wanakuja wananunua Tza wanaexport,mfano maparachichi,matunda,madini nk.
4.Ukiagiza nje mashine za kuzalisha vifaa vya ujenzi mbadala
sasa hao si ni matajiri tayari ?

Mtu anaeweza ku import mashine za vifaa vya ujenzi mbadala au ku export maparachichi na madini huyo tayari ana milioni around 300 na kuendelea.....

japo sina hakika sana, lakini sioni unawezaje kuanza mradi wa ku export vitu perishable kama matunda kwa mtaji wa milioni 50, mia, mia 50
 
sasa hao si ni matajiri tayari ?

Mtu anaeweza ku import mashine za vifaa vya ujenzi mbadala au ku export maparachichi na madini huyo tayari ana milioni around 300 na kuendelea.....

japo sina hakika sana, lakini sioni unawezaje kuanza mradi wa ku export vitu perishable kama matunda kwa mtaji wa milioni 50, mia, mia 50
Madini sio lazima uwe tajiri tayari mfano dhahabu za mtoni ni ugali wako,koleo,gunia,umemaliza.madini mengi Tza ni ugali wako tu na dagaa Mdogo mdogo ukipata pesa ndo unanunua vifaa,na technology imekua vipo vingi vya kisasa hela ndogo.
Parachichi kwa milioni 50 still ni nyingi bado kuanzia.
Utajiri ni nguvu na akili na sio Pesa.
Tza maeneo ya kujichimbia madini bila hata kibali yamejaa tele ufiki hata shimo la choo unapata.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliona makala yao moja hivi!

Wana mambo ya kishirikina balaa,
Yaap ushirikina na umasikini vinaendana.
Ushirikina unapunguza uwezo wa kufikiri.
 
Hakuna gari hapo. Haitulii barabarani, ugonjwa wa kuchomoka tairi ukiwa speed kubwa. Prado ni [emoji706][emoji706][emoji706] sitaki hata kusikia hizo gari.
Hizi gari Ni kichomi,
Tatiz lankuchomoka tairi linazihusu zile za 2010 kushuka.

Nadhan hizi za kisasa Ugonjwa wake ni kukosa kutulia barabaran, Hii Ni kwasababu body Ni kubwa afu gari ni nyepesi mno.

Yaan wamechakachua vyuma, bodi Ni nyanya mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom