Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

Africa hakuna Masikini Kwanza ujue hilo. Bongo hapa hakuna Ombaomba anayefunga hesabu 0tsh kwa siku....huku Africa Kuna mgawanyo usio sawa wa raslimali pamoja na Uongozi mbovu. So usishangae hayo magari yakiwa mengi dar.... Watu wana hela sema wewe hujajua chimbo nawe ukaneemeke.
Hiyo Congo wameiiba tangu enzi na enzi na bado haijaisha. Madini everywhere ni kama wametoa tone la maji baharini.
So mwamba tafuta chanel tu utaona zinavyomwagika upande Wako pia
 
Ukitaka uishi kwa raha dar lizika na ulichonacho ,unaweza kuwa unahangaika kujenga room tatu au mbili kwa mbinde afu anakuja jiran yako anajenga ghorofa kwa speed ya 5g mpaka anahamia ww hata lenta hujafunga .

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Hahahahahahah ndio maisha yalivyo dar! Kwa hali hio uchawi ni ngumu kuisha😅 mtu kapandisha losheni yake moja rum 6 full furnished bila kupumua yani ngoma ndani ya miezi 3 watu washahamia😅
 
Shida kubwa ya afrika imekosa mifumo bora ya uongozi.
Ni afrika pekee ndipo viongozi wake Wana Kinga ya kutokushtakiwa ikiwa na maana ya ruhusa ya kufanya chochote kwa raia wao ikiwemo ufisadi.Afrika mtawala ni mungu,kwa wenzetu kiongozi,raisi ni mtumishi wa watu ukifanya ufisadi,wizi,nk unaondolewa hadhi yako ya uraisi au uongozi unashughulikiwa bila huruma ikibidi kupotea kabisa.
Thus wao Wana maendeleo.
Africa viongozi huku ni kama Miungu watu yani mtu akishapewa madaraka akili za kibinadamu anaziwacha pale anapoingia mlango wa ofisini tu😅!

Ni kujineemesha kwa kwenda mbele kwa kila fursa anayoona iko usawa wake yani na kejeli nyingi tu kwa wananchi sema tu ni vile tumeumbiwa upole ila kwa nchi ambazo wananchi ni vichaa upuuzi kama unaofanyika nchini hapa hawawezi uvumilia hata kwa week 1 tu lazma kiumane.

Yani mtu anafanya ufisadi kwenye hela za umma na still atatoa jibu jepesi tu akiulizwa na sababu ana backup ya askari anajua hatoguswa. Raisi nae unakuta wala hana habari na mtu😅
 
L

Hahahah gari za 1999 nyingi zina Alias ya Massawe sababu kimsingi huwezi kumkosa nayo hio gari huyo Massawe!
Rav 4 Massawe, Prado Massawe pamoja na Suzuki Massawe!
Mkuu yangu ni ya 2010 na nimeuza maana iliwahi nitokea hiyo ishu mara 2, mara ya kwanza Naelekea Dodoma, na Mara ya Pili naelekea Mtwara. SINA HAMU NAYO. Sijui shida ni nini au kwakuwa sio mtaalam wa magari ila PRADO TX hapana.
 
Hahahahahahah ndio maisha yalivyo dar! Kwa hali hio uchawi ni ngumu kuisha[emoji28] mtu kapandisha losheni yake moja rum 6 full furnished bila kupumua yani ngoma ndani ya miezi 3 watu washahamia[emoji28]
Acha tu ,unakaa unamwangaliaaa wewe hata hujui unajipindua vipi umalize kijumba chako ,yeye mafundi hawalaliii .Dar ukifikiria sanaa unaweza punguza siku za kuishi ni bora kufurahia maisha ya saizi yako tu.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu yangu ni ya 2010 na nimeuza maana iliwahi nitokea hiyo ishu mara 2, mara ya kwanza Naelekea Dodoma, na Mara ya Pili naelekea Mtwara. SINA HAMU NAYO. Sijui shida ni nini au kwakuwa sio mtaalam wa magari ila PRADO TX hapana.
Factory defects tu, atleast moja ya gari katika 1 million inaweza kuleta defects. Ikawa ina shida flani mkuu ila sio kwamba zote. Ulibahatika kupata ambayo ni problematic one.

Sababu pamoja na kumponda mjerumani humu ila kuna ambao wanapata gari za mjerumani ambazo sio sumbufu yani unakuta mtu ana bmw ila haijawahi sumbua hata yani ila mwengine anapata gari kichaa kama hio yako.

Kuna mwamba amenipa experience yake na Crown kuwa ilikuwa inaua compressor kila mara kabadili mara 4 yani! Mwisho kaamua kuuza tu ila jiulize crown ziko ngapi Dar na kama kuna ambayo ina shida ya compressor mara kwa mara! Utaambulia jibu kuwa ni gari imara sana tu ukiitunza na haisumbui watu ila mmoja anaweza kuwa na bad luck akapata ambayo ni korofi.
 
Acha tu ,unakaa unamwangaliaaa wewe hata hujui unajipindua vipi umalize kijumba chako ,yeye mafundi hawalaliii .Dar ukifikiria sanaa unaweza punguza siku za kuishi ni bora kufurahia maisha ya saizi yako tu.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Eeh mi huwa naita kukamua kwa uwezo yani. Usifosi maana unaweza ukapotea au ukaishi na sonona tu!
 
hatari Sana kiufupi bongo Hela ipo ya kutosha imetulia inakungoja ni ujanja wako tu hapa mjini huwezi kosa Hela wewe kusanya mawe Yako Tani 5 Kwa kuokoteza halafu tangaza nauza mawe hapa huwezi kosa wateja katu,Kila kitu ni biashara bongo Hadi Dini yaani wewe huoni kina shila eti nao ni manabii na Wanakusanya sadaka mpaka 1million per Sunday
Bongo nyosso!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa Mjomba Kama bongo Maisha Ni marahisi hivi kwanini wewe usifanye huo mchongo mpk ukawa unatafuta kazi ya kua mchanganya cocktail huko mahotelini mkuu?
 
Africa viongozi huku ni kama Miungu watu yani mtu akishapewa madaraka akili za kibinadamu anaziwacha pale anapoingia mlango wa ofisini tu[emoji28]!

Ni kujineemesha kwa kwenda mbele kwa kila fursa anayoona iko usawa wake yani na kejeli nyingi tu kwa wananchi sema tu ni vile tumeumbiwa upole ila kwa nchi ambazo wananchi ni vichaa upuuzi kama unaofanyika nchini hapa hawawezi uvumilia hata kwa week 1 tu lazma kiumane.

Yani mtu anafanya ufisadi kwenye hela za umma na still atatoa jibu jepesi tu akiulizwa na sababu ana backup ya askari anajua hatoguswa. Raisi nae unakuta wala hana habari na mtu[emoji28]
Ni kwa sababu hakuna mwenye moral authority ya kumkemea mwenzake.Viongozi wameingia madarakani kimichongo, wananchi wenyewe wako kimichongo michongo mwisho wa siku tunaenda kimichongo hivyo hivyo tu.
 
Sasa Mjomba Kama bongo Maisha Ni marahisi hivi kwanini wewe usifanye huo mchongo mpk ukawa unatafuta kazi ya kua mchanganya cocktail huko mahotelini mkuu?
Hahahahah maisha maraisi kwenye Keyboard mkuu ukimwagwa field kitaani with bare hands uambiwe pambana uzalishe 1M tu kwa mwezi ndio utajua hujui!😅

Yani pambana mwisho wa mwezi uwe una 1M kibunda mkononi bila shughuli maalum ndio utajua kama Dar maisha ni maraisi au mawaziri mkuu!
 
Hahahahah maisha maraisi kwenye Keyboard mkuu ukimwagwa field kitaani with bare hands uambiwe pambana uzalishe 1M tu kwa mwezi ndio utajua hujui![emoji28]

Yani pambana mwisho wa mwezi uwe una 1M kibunda mkononi bila shughuli maalum ndio utajua kama Dar maisha ni maraisi au mawaziri mkuu!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] jamaa wanavyoandikaga kirahisi rahisi tu wanaweza kuleta Sonona kwa watu wkt ukweli Hali Ni taiti tu mzee.
 
Back
Top Bottom