Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Keko kila ijumaa kuna party na watu wamekula sare za vijora
Sasa n Dar sio mkoani jaman wee mpare, khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wana pesa bhana, tuache utan, mtu anakuja chuo anakutembelea chuo na mkoko wa maan, unabaki kusema "hii"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa sababu polepole yupo huko na ma viete yake!
 
Dar ni kitovu cha biashara, asilimia 90 ya shughuli zote ni za watu binafsi. Kuna watanzania zaidi ya 200,000 wenye zaidi ya 1m USDollars, yaani bilioni 2.3. Hivyo basi hata number ya V8 haitoshi, wengi ni mabahili.
Wazee wa Muji wamerudi Upya sasa
 
Bro, means $1M kwa hapa Tanzania hawafiki hata laki moja??
Wachache hivyo, mbona naona idadi yako ndogo sana.

Japo sina mkwanja huo, ila naona madon wengi wapo ila kimya kimya wanakula mema ya nchi.
Kuna mtu kaingiza Tuareg 2 kwa mpigo, silver na nyingine black.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…