Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Utakapojua siku ya Saba ya juma ipi hautabishana sana.maandiko yanasema ht baada ya uumbaji Mungu alipumzika yaani siku ya Saba (JUMAMOSI),hata siku ya kwanza ya juma (JUMAPILI) Yesu alifufuka yaani JUMAPILI.
 
Hiyo ilikuwa zamani babu siku hizi mambo ni tofauti. SDA ya sasa imeshakengeuka na kuwa kuungana na RC kwa mambo mengi sana kiasi kwamba leo hii ukitafuta tofauti ya muSDA na muRC tofauti labda utaipata siku ya kuabudu mmoja anaabudu Jumamosi na mwingine Jumapili
 
Inasemekana katoriki ni mama wa machukizo ndani ya makanisa mengi, katoriki ndiye alibadilisha siku ya kumuabudu Allah, inafahamika katoriki siyo dini ni serikali inayotumia dini kujikweza na kujiimarisha kwa kuhadaa, katoriki ndiye kasemwa kwenye kitabu cha Ufunuo 17...

Yaani SDA ukimwambia juu ya RC ni sawa na Black tiger mwenye njaa na akamuona mamba mtoni.

SDA na RC hawawezi kukaa kwenye mimbari moja, yaani SDA anaweza kupasua hapo, ni vita kali 😄!.
Allah ninani tena huko usabaton
 
Ninacho kiona Wasabato wanasisitiza watu warudi katika solar scripture yaani ,watu wafuate maandiko matakatifu as per bible na sio mawazo ya watu na wanapiga kote ,kote sio
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Kwahiyo hatutumii muda wetu kumuabudu Mungu tunatafuta kuwashambulia tunaoona hawako sahihi? Ulishawahi kuona mo anamshambulia bakhresa? Kila mtu afanye yake kwani lazima umshambulie mtu? Wasabato Kama haya ndiyo mnayojifuza makanisani mwenu basi mnaona mpo defeated that's why you talk shit about us
 
Short and clear .wasabato wanaamini kupitia kitabu cha ufunuo kwenye biblia kuwa alama ya mnyama kuna Marekani na katoliki wataungana kupitisha amri ya kusali jumapili na hapo ndio kutatokea Mateso kwa washika sabato...Rumi ya zamani ilitesa wakristo na Roma ya sasa itakuja tesa tena wakristo
Nani Ana muda wa kuwatesa wasabato, hamna mtu mwenye muda na kuwatesa . tuwatese ili iweje ?
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Yaani ukatae kitabu ulichokianfika mwenyewe, Yuu can't be reious kijana. Hivi unajua biblia imeandikwa na wakatoliki? Ingekuwa wanaogopa kitabu Chao wenyewe si wangekichoma moto hata nyie msingekiona!! Shida yenu ni elimu ndogo tu
 
Wasabato wanapinga mfumo wa upapa(papal system) hivyo VATICAN ni adui moja kwa moja , nimebahatika kukaa nao karibu, wanaamini katika kupumzika siku ya jumamosi (ya Saba) .

Note :wanawake wa kisabato wanaongoza kwa nywele natural [emoji16]
Kweli nywele zao natural but wanatafunika kama cake tu. [emoji23]

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
SDA sio wakristo. Kwa ufupi achana na wasabato wa kilokole ambao wanajiongoza kwa biblia tu, fatilia misingi ya usabato kuanzia ubatizo wao utagundua si Wakristo.

Kanisa aliloanzisha Kristo ni Kanisa Katoliki tu ambalo liligawanyika karne ya kumi na kutokea Kanisa la Orthodox, nje ya hapo ni uasi tu, kuanzia Padre Martin Luther, King Hery VIII n.k
 
Angalia mtazamo wa Wasabato juu ya ubatizo.

Baptism is also used in church membership categories, but this is not an issue of salvation. It’s just an administrative method of keeping up with a large family of believers.
 
Sisi tunasoma pia na Agano jipya..kwanini hao wasabato hawalitaki agano jipya?.ikiwa hilo agano la kale lilikua sheria nyingi zilikua za Mussa..ambazo Yesu alipokuja aliziboresha..
Wapi Wasabato wamesema hawalitaki Agano Jipya?
 
Bikla Ukatoliki Dunia hii isingekuwa salama. Mfumo wote wa Dunia wameutengeneza wao, kuanzia kalenda hadi Bibilia yenyewe wameandika wao
Kwamba wameiandika afu hawaifati?
 
Siku ya kwanza ya juma ni jumamosi ndugu. Mosi ni moja , pili ni mbili na tatu ni tatu so hao wasabato wenyewe nilitegemea wawe wanasali ijumaa kama wafuasi wa Mudi
Kwamba Pasaka ikoje
Yesu alikufa lini na Akafufuka lini ?
 
"Ijumaa" kuu ni siku aliyokufa yesu,,kwenye biblia kuna mtu alienda kuuomba mwili wa yesu siku hiyo ili sabato ikiingia isiukute mwili msalabani,siku ya tatu ya umauti wake, yaani siku ya kwanza ya juma (jumapili yesu akafufuka) hata pasaka ndo maana inakuwaga jpili. Soma biblia utajua vingi na utabreak Free kutoka kwenye cheni za wazungu na waarabu
Ukishawaweka hapo hawawezi kukujibu kitu
 
Utakapojua siku ya Saba ya juma ipi hautabishana sana.maandiko yanasema ht baada ya uumbaji Mungu alipumzika yaani siku ya Saba (JUMAMOSI),hata siku ya kwanza ya juma (JUMAPILI) Yesu alifufuka yaani JUMAPILI.
Hii hoja hawataki isikia kabisa
 
Back
Top Bottom