Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Angalia mtazamo wa Wasabato juu ya ubatizo.

Baptism is also used in church membership categories, but this is not an issue of salvation. It’s just an administrative method of keeping up with a large family of believers.
Usipoamini na kubatizwa huendi Mbinguni
 
Nimekaa na kutafakari sana Kwa nini wasabatho wanalipiga vita sana kanisa katoliki na hiyo vita siyo kwa makanisa mengine?

Wajuzi mnijuze!

View attachment 2757316
kulingana na imani ya kisabato wao husema kanisa katolik ni mama ni kanisa kahaba mama wa machukizo yote....🤣😅😆🤣😅😇.....piah wanasema kuwa kanisa katoliki ndiyo tajiri kuliko yote dunian...🤕🤕🤕🤕......piah ni kanisa pekee linalomiliki balozi duniani kote...ie..ubalozi wa vatican....piah wanasema system ya upapa ndo uamua nani awe raisi wa nchi zote duniani...🤣🤣😅🤣😅.....wanasema kuwa barabara zote hurudi roma.....wanaongezea kusema kuwa jesuits..masonic....illuminant...wote kiongozi wao ni roma....kutoka kwa historia ni kanisa pekee lenye hatia ya kuua mamilion na mamilion ya watu karne ya 16 17 na 18....nmewasikia wakisema roman latoliki ya kidini itatawala dunia tena....NADHANI HIZI POINT ZINATOSHA KUNIPATIA MKE WA BINTI WA KISABATO🥳🥳🥳
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Hakuna dhehebu lipo sahihi dunia nzima.
 
Usipoamini na kubatizwa huendi Mbinguni
Wao wanabatiza lakini hawaamini ubatizo ni njia ya wokovu bali ni ishara au alama ya wokovu! Wanasema wokovu unaletwa na damu ya Yesu tu sio ubatizo! Hivyo kwao ubatizo hauna faida yoyote zaidi ya ishara ya imani tu na kuwa member wa Kanisa [emoji1787]
 
Katoliki kanisa lenye mambo ya kushangaza.

Kanisa linaruhusu kunywa pombe ila linakataza viongozi wake wa ibada kufunga ndoa.

Kuna siku nilienda kwenye mkutano baraza la maaskofu kurasini.. nikakuta mapadri wapo kwenye mkutano wao.. muda wa lunch ulivyofika. Mapadri wakaanza kula pombe kwa raha zao. Watu wanakula bia za kutosha
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Na hata hivyo huijui biblia, BIBLIA imesema Ibada ni siku ya 7 na siku ya 1, sasa nakusuangaa mno
 
...mapapa... Yaan wanasapoti vitu vya ajabu ajabu aisee
 
Hao ni watumwa wa agano la kale.mbaya zaidi sheria zilikua nyingi tu na zingine hawazifuati. Yesu alikuja kuziboresha mana zilikua mzigo kweli kweli. Ndomana kwenye mahubiri ya Yesu hatusikii mambo ya kutokula nguruwe sijui na vijisheria sheria vya ajabu. Sema tu wasabato kama waislam tu kila siku kushikilia sheria ambazo zilikua mahsusi kwa waisrael sasa sijui wanajiita wakristo kwa msingi upi while bado wanashikilia hzo sheria

Yesu hajawahi kuboresha sheria hata Moja. Yesu alileta Injili.
Yesu hawezi kuleta sheria Kwa sababu hakuwahi kukutana na Mungu live kama inavyoripotiwa Kwa Musa.
Musa yeye ndiye alipewa menu, sheria, Kanuni zinaitwa Torati.

Hao wengine waliofuata walikuja kufafanua hizo sheria
M
 
SDA walipotoshwa vibaya sana kuhusu mnyama 666 wanamshutumu eti papa ndie mnyama.
Wakati papa mwenyewe yupo chini ya mnyama akienda kinyume nae anauwawa.
Mnyama ni mfumo wa kidunia unaocontrol watu na kuipeleka dunia kulingana na beat zake.
Mara watakuja na ajenda za ugaidi mara corona mara ushoga mara sijui global warming nk.
Sasa papa Hana mamlaka ya kucontrol agenda za Duniani.
Kuhusu dini moja hakuna kitu kama Hicho huwezi ukaziunganisha dini zote ziwe moja Kila dini Ina ideology yake isiyofanana.
Hata hilo jengo la Chrislam lililopo Abudhab yaan msikiti, kanisa na sinagogi kujengewa ndani ya eneo moja haimaanishi kuunganisha dini hizo.
Dini moja ni mfumo mmoja wa kiimani unaowaunganisha watu wote Duniani kwa jambo moja la kumtukuza shetani wengine wanasema mchezo mpira ndio dini moja.
Thus kwenye mpira hakunaga Mtu anasinzia hata uchezwe masaa kumi lakini nyumba za ibada dk 40 nyingi Mtu anasinzia
 
Aliyekwambia Catholic Church ni dhehebu ni nani? Dhehebu kutokea Kanisa lipi?
Nitakujibu bila shaka Ila kwa kujirizisha kasome historia ya mtaguso mkuu wa Kwanza uliofanyika tarehe 20 mei 325- tarehe 25 julai 325.

Jibu:kabla ya mtaguso mkuu wa Kwanza uliofanyika tarehe 20 mei 325- tarehe 25 julai 325, huko nikea, lilikua kanisa Lakini baada ya huu mtaguso, kutokana na mambo waliokubaliana likawa dhehebu kwa sababu wameliacha Neno la MUNGU na kufuata kanuni zao wenyewe kama ilivyosema katika Marko 7:13. Na ilibidi itokee hili ili litimie neno la alilosema Mungu kwa ufunuo wa Yohana katika kitabu cha ufunuo wa Yohana sura ya 17.

Hili linathibitisha wazi kua wameliacha Neno la MUNGU na Roho mtakatifu kuondoka kabisa. Angalia Leo mambo yaliyokinyume na bible (askofu kutokuoa, mwanamke kuhubili,utatu mtakatifu,kuwaomba wafu, n.k)
 
Wao wanabatiza lakini hawaamini ubatizo ni njia ya wokovu bali ni ishara au alama ya wokovu! Wanasema wokovu unaletwa na damu ya Yesu tu sio ubatizo! Hivyo kwao ubatizo hauna faida yoyote zaidi ya ishara ya imani tu na kuwa member wa Kanisa [emoji1787]
Maneno mengi hauna hoja hata moja,
Lete ushahidi jumapili ni siku ya sabato/ ya kuabudu
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Padre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
 
Yesu hajawahi kuboresha sheria hata Moja. Yesu alileta Injili.
Yesu hawezi kuleta sheria Kwa sababu hakuwahi kukutana na Mungu live kama inavyoripotiwa Kwa Musa.
Musa yeye ndiye alipewa menu, sheria, Kanuni zinaitwa Torati.

Hao wengine waliofuata walikuja kufafanua hizo sheria
M
Kufafanua kvp? Unajua maana ya ufafanuzi? Ok mi toka nisome sheria zote za Yesu alotaja sheria mbili tu za msingi. Mpende Mungu wako na mpende Jirani yako. Hii ndo sheria ya kristo. Zipo kanuni nyingi alizotoa kama kusamehe na zingine. Niambie masheria ya kiisrael au ya kimusa ambayo Yesu aliongelea au alifafanua kamaa usemavyo na pili sabato mnayoongelea ni ipi ile ya waisrael kufanya kaz siku sita na kupumzika ya saba au ile ya Mungu kuumba na kupumzika siku ya saba?
 
Romani katoliki linaitwa church na mengine yanaitwa churches.
Kwa maana yote ni matawi ya ukatoliki ikiwemo Uislam.
 
Kwa hiyo Kuna dhehebu linaitwa katoliki pia Kuna mdudu anaitwa Mbuzi katoliki

Hivi vitu uhusiano wake upoje ?
 
Padre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
Kwaio ni member wa CHAPUTA POLITICAL PARTY
 
Back
Top Bottom