Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili huwezi kulithibitisha hata kidogo. Mimi nikuulize swali kama WAKATORIKI NI waandishi WA bible mbona hawaifuati? Bible imekataza mwanamke asihubiri mbona wao wanahubiri?, askofu imempasa awe na mke mmoja mbona hawaoi? Bible inasema hata maraika asiabudiwe mbona hao ndio wamewafanya ndio WA kuwaomba?Wa katoliki ndio waandishi wa Biblia, achana na wale original Author kina Luka, Mathayo etc.
Hii Biblia tunayosoma leo ni product ya katoliki huu ndio ukweli.
Ili unielewe hata kwenye Uislamu Quran haijaandikwa na Mungu, imeandikwa na kuchapwa na binadamu.
Watu wengi wanapenda tu kujitowa akili.
Padre neno la kilatini lenye maana ya babaPadre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
Mkuu naweza nikapata no zako PM?Kuendelea kutumia biblia na kuupinga ulatoliki ni upumbavu wa hali ya juu.
Sawa nitakutumia.Mkuu naweza nikapata no zako PM?
Biblia ni kitabu ambacho unaweza PATA Imani zaidi ya tano humo ndani,agano la kale ni vitabu vya wayahudi,agano jipya masela nondo wakaamua kubumba vyaoKuendelea kutumia biblia na kuupinga ulatoliki ni upumbavu wa hali ya juu.
NashukuruSawa nitakutumia.
Kabsa mkuu ila ukwel hauwezi kufutika kuwa roma ndio walio itunza kwa mamia ya miaka.Biblia ni kitabu ambacho unaweza PATA Imani zaidi ya tano humo ndani,agano la kale ni vitabu vya wayahudi,agano jipya masela nondo wakaamua kubumba vyao
Hahahaha mnapenda kujifariji,ATI ukiwemo uislam..Romani katoliki linaitwa church na mengine yanaitwa churches.
Kwa maana yote ni matawi ya ukatoliki ikiwemo Uislam.
SureKabsa mkuu ila ukwel hauwezi kufutika kuwa roma ndio walio itunza kwa mamia ya miaka.
Bangi hizi, Rais anapovunja katiba kwamba hajaapa kwa mujibu wa katiba?Hili huwezi kulithibitisha hata kidogo. Mimi nikuulize swali kama WAKATORIKI NI waandishi WA bible mbona hawaifuati? Bible imekataza mwanamke asihubiri mbona wao wanahubiri?, askofu imempasa awe na mke mmoja mbona hawaoi? Bible inasema hata maraika asiabudiwe mbona hao ndio wamewafanya ndio WA kuwaomba?
ndugu yangu nakupenda mno usitetee dhehebu tetea neno la Mungu hakika itakua salama katika ufalme wa Mungu Amini Tu hilo.
Na ukiwapa hoja wanaishia kusemaKwa sababu nyingi,miongoni mwanzo ni katoliki ni dini dhaifu kimisingi hata kwa biblia,yaani Haina uhusiano wowote na biblia,pili wakatoliki hawasomi,hawawezi Jenga hoja dhidi ya mtu,hawajui chochote ni kondoo
Unajua utawala wa Roma ulivamia kanisa kwa mbele, so bible ilikusanywa na wenyenia njema ikaangukia kwa waovu.Bangi hizi, Rais anapovunja katiba kwamba hajaapa kwa mujibu wa katiba?
Haya tuambie vitabu na nyaraka za Biblia vimekusanywa na nani na kuwekwa kuwa kitabu kimoja?
Muujiza wa kwanza wa Yesu kwenye harusi kana alifanya nini?Katoliki kanisa lenye mambo ya kushangaza.
Kanisa linaruhusu kunywa pombe ila linakataza viongozi wake wa ibada kufunga ndoa.
Kuna siku nilienda kwenye mkutano baraza la maaskofu kurasini.. nikakuta mapadri wapo kwenye mkutano wao.. muda wa lunch ulivyofika. Mapadri wakaanza kula pombe kwa raha zao. Watu wanakula bia za kutosha
Baba wa kiroho Kwa tafsiri ya ukatoliki kwa wsio Wakatoliki umuita mchungaji maana wote majukumu Yao sawaPadre neno la kilatini lenye maana ya baba
Lakini wanaoanaInasemekana katoriki ni mama wa machukizo ndani ya makanisa mengi, katoriki ndiye alibadilisha siku ya kumuabudu Allah, inafahamika katoriki siyo dini ni serikali inayotumia dini kujikweza na kujiimarisha kwa kuhadaa, katoriki ndiye kasemwa kwenye kitabu cha Ufunuo 17...
Yaani SDA ukimwambia juu ya RC ni sawa na Black tiger mwenye njaa na akamuona mamba mtoni.
SDA na RC hawawezi kukaa kwenye mimbari moja, yaani SDA anaweza kupasua hapo, ni vita kali 😄!.
SDA ni dhehebu sawa. Tu shia,mohamedian,au sunniHuyo SDA kaandikiwa biblia na nani?
Hakuna ibada ya misayoyote ya kanisa katoliki ambayo inakosa injiri ndio yanafuata mahubiri ya kuifafanuwa injiri, sasa somo laq kwanza na somo la pili linasomwa kutoka wapi kama siyo kwenye vitabu vya biblia? kimsingi ibada nzima iko hapo kwenye injiri.Huwa naishia kuwapuuza wale wanaoshupaza shingo na kusema RC hawatumii biblia
Shida ni kwamba, wao wanapondea kitu wasichokijua kabisa, hawajawahi kuuishi ukatoriki zaidi ya kusikia story mitaani tu.
Sasa ukae kitako kwa kutulia, nikupe elimu hii tu au nikupe historia ya kanisa ili ukawafundishe na wengine?Unajua utawala wa Roma ulivamia kanisa kwa mbele, so bible ilikusanywa na wenyenia njema ikaangukia kwa waovu.
Jina lenyewe tu linasema kila kitu,
" Roman catholic" kwanini iwe Roman ? Kwanini isiwe Christian catholic?
Unajua usabato ulianza lini na ulianzishwa na nani na kwa niniUkitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..
Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.